Watia nia Jimbo la Bukoba Mjini wambana Mbunge Byabato kugawa mitungi ya gesi, naye ajibu

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Mh. Byabato akijibu tuhuma za kugawa mitungi 70 kwa wapiga kura wake bika kukamilika. August 2. 2022 aligawa mitungi 100 nayo bila kukamilika Neema Lugangira viti maalum Kagawa 300 ikiwa imekamilika. Wadau wanauliza kulikoni Mbunge na Waziri agawe mitungi 170 bila kukamilika? Wakati burners na kibebeo gharama yake ni tshs 15,000 tu.

Hapa chini ni Majibu kutoka kwa Mh. Byabato dhidi ya tuhuma zake kutoka Havana Cuba
Salaam nyingi toka Cuba🙏🏿

Msihangaike na wengine, maswali haya niyabebe mimi🙏🏿

Ufafanuzi kidogo kuhusu mitungi ya gesi.

1. Aliyetoa gesi zote mnazoona Wah. wabunge wanagawa ni Mhe Dkt Samia S. Hassan. Wabunge wote 400+ tulipewa gesi.

2. Wabunge walipewa mitungi ya kugawa kwa wananchi mbali mbali kulingana kwa makundi fulani na umuhimu wake, ili kuweka hamasa ya matumizi ya gesi, nyongeza ya idadi ni binafsi.

3. Ombi hili liliasisiwa na sisi (January na Byabato) tukiwa Wizara ya Nishati ili kutimiza azma ya Mhe Rais ya kupika kwa Nishati safi.

4. Kama nilivyosema mimi (siku ya kuanza kugawa mitungi Bukoba-Sokoni pale mwaka jana nadhani), mitungi haikuwa na burner, ni gesi na kile kitako cha juu tu, anayepewa anaweza kuongeza thamani ili atumie, na tunaamini hawashindwi.

Hivyo, yote yanayofanyika katika gesi ni muendelezo wa azma hiyo ya Mhe Samia

Hakuna wizi wowote katika hili, jitihada za mtu mmoja mmoja na kwa wakati tofauti zinatofautiana, kwa upande wangu mitungi yote nimegawa zaidi ya 170 mpaka sasa(kwa awamu ya kwanza kwa watu mbali mbali Bukoba wazi wazi na kimya kimya) haikuja na burner, sio kwamba zilikuwepo then mimi nikaenda kuziuza kama kaka yangu mmoja alivyoandika sehemu😂😂😂. Mimi sijafikia kiwango hicho cha kupoteza heshima na uaminifu katika jamii, ndio maana niko hapa Mwenyezi Mungu anaendelea kunibariki.

Yaani kuniwazia tu hivyo (kuwa nimeuza burner) inaonyesha ufinyu wa fikra kwa mtu huyo kama ananiwazia mimi kiongozi wa ngazi na kariba yangu kuweza kufanya hivyo, sasa acha kuwaza, kuandika kabisa mawazo hayo finyu ni kuonesha utovu wa nidhamu kwa viongozi na kujionyesha wewe ni mtu wa namna gani, na tunaendelea kutizama tu, tunaona bado mafunzo hayajatosha🙏🏿.

Zoezi la gesi kwangu mimi (labda na kwa wengine) ni endelevu, nitaendelea kugawa maana kwa upande wangu ninatimiza maelekezo ya Mhe Rais, nitagawa sana kwa ratiba yangu na wakati wangu na makundi mbali mbali ili kuendelea kutoa hamasa. Nasisitiza nitagawa sana mitungi ya mama.

Kwa kumalizia, nampongeza dada yangu Mhe Neema kwa kuweza kupata burner na kuzigawa pamoja na mitungi kwa wananchi wenzangu wa Bukoba Mjini, kipindi mimi nagawa sikubahatika kufanya yote maana kupanga ni kuchagua na uwezo wangu wa kipindi hicho haukutosha kwa mambo niliyokuwa nayo kwa nafasi ya Mbunge wa Jimbo, bajeti yangu na uwezo wangu naujua na naupanga mwenyewe.

Inshallah katika awamu zijazo, nikifanikiwa kupata burner pia, nitazigawa juu ya mitungi, nisipopata (kwa msaada au kununua), nitagawa tena mitungi bila burners, na hili kwangu sio tatizo sana la kunifanya nisigawe mitungi ya Mama maana wengi wanaosema ni wizi na kulalamika kuhusu burners wao hawatumii hata mitungi hii, wanatumia mitungi mikubwa, naamini wahitaji ambao ninawalenga na kuwapatia hawana neno na burner, wangetamani kupata mtungi kwanza, mengine wakajihimu pia.

Naamini maswali mengi na duku duku za hapa na pale kuhusu mitungi zitakuwa zimepata mwanga kidogo humu. Ruksa pia kuwapatia andiko hili wale ambao hawako humu ilihali wanapenda sana kufuatilia kundi letu hili zuri lenye staha na uvumilivu🙏🏿

Salaam nyingi kutoka hapa Havana Cuba katika mkutano wa mkubwa wa kidunia wa G77+China🙏🏿🙏🏿

Spana za kutosha kutoka kwa aliyekuwa mshindi wa kwanza kura za maoni bw. Ashraf D. Kalumuna

Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako 70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1. Kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2. Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3. Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani, yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi?

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa Ikikupendeza Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300 Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi 100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
Mh pongezi zako Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako 70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1. Kama uligawa Mitungi 70, jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je, uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri impe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3. Umesema alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4. Umesema siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani, yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi hana sukari, hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa ikikupendeza Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira.

Kagawa mitungi 300 kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi 100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.

Screenshot_20230917-050020_WhatsApp.jpg
 
Vitu vyote hivi umeandika usiku huu?

Mwanangu umeashwa ?

Hiyo mitungi ya gesi wakawape wakimbizi huko ili wapunguze kukata miti ya kuni na mkaa.

Wa Tanzania tunayo.
Yaani ni kero 😁Watanzania tunachezewa sana na Wanasiasa!
 
ni byabato pekeyake ndio kakufanya uwe hivi? pole aise
Mh. Byabato akijibu tuhuma za kugawa mitungi 70 kwa wapiga kura wake bika kukamilika. August 2. 2022 aligawa mitungi 100 nayo bila kukamilika Neema Lugangira viti maalum Kagawa 300 ikiwa imekamilika. Wadau wanauliza kulikoni Mbunge na Waziri agawe mitungi 170 bila kukamilika? Wakati burners na kibebeo gharama yake ni tshs 15,000 tu.

Hapa chini ni Majibu kutoka kwa Mh. Byabato dhidi ya tuhuma zake kutoka Havana Cuba
Salaam nyingi toka Cuba🙏🏿

Msihangaike na wengine, maswali haya niyabebe mimi🙏🏿

Ufafanuzi kidogo kuhusu mitungi ya gesi.

1. Aliyetoa gesi zote mnazoona Wah. wabunge wanagawa ni Mhe Dkt Samia S. Hassan. Wabunge wote 400+ tulipewa gesi.
2. Wabunge walipewa mitungi ya kugawa kwa wananchi mbali mbali kulingana kwa makundi fulani na umuhimu wake, ili kuweka hamasa ya matumizi ya gesi, nyongeza ya idadi ni binafsi.
3. Ombi hili liliasisiwa na sisi (January na Byabato) tukiwa Wizara ya Nishati ili kutimiza azma ya Mhe Rais ya kupika kwa Nishati safi.
4. Kama nilivyosema mimi (siku ya kuanza kugawa mitungi Bukoba-Sokoni pale mwaka jana nadhani), mitungi haikuwa na burner, ni gesi na kile kitako cha juu tu, anayepewa anaweza kuongeza thamani ili atumie, na tunaamini hawashindwi.

Hivyo, yote yanayofanyika katika gesi ni muendelezo wa azma hiyo ya Mhe Samia

Hakuna wizi wowote katika hili, jitihada za mtu mmoja mmoja na kwa wakati tofauti zinatofautiana, kwa upande wangu mitungi yote nimegawa zaidi ya 170 mpaka sasa(kwa awamu ya kwanza kwa watu mbali mbali Bukoba wazi wazi na kimya kimya) haikuja na burner, sio kwamba zilikuwepo then mimi nikaenda kuziuza kama kaka yangu mmoja alivyoandika sehemu😂😂😂. Mimi sijafikia kiwango hicho cha kupoteza heshima na uaminifu katika jamii, ndio maana niko hapa Mwenyezi Mungu anaendelea kunibariki.

Yaani kuniwazia tu hivyo (kuwa nimeuza burner) inaonyesha ufinyu wa fikra kwa mtu huyo kama ananiwazia mimi kiongozi wa ngazi na kariba yangu kuweza kufanya hivyo, sasa acha kuwaza, kuandika kabisa mawazo hayo finyu ni kuonesha utovu wa nidhamu kwa viongozi na kujionyesha wewe ni mtu wa namna gani, na tunaendelea kutizama tu, tunaona bado mafunzo hayajatosha🙏🏿.

Zoezi la gesi kwangu mimi (labda na kwa wengine) ni endelevu, nitaendelea kugawa maana kwa upande wangu ninatimiza maelekezo ya Mhe Rais, nitagawa sana kwa ratiba yangu na wakati wangu na makundi mbali mbali ili kuendelea kutoa hamasa. Nasisitiza nitagawa sana mitungi ya mama.

Kwa kumalizia, nampongeza dada yangu Mhe Neema kwa kuweza kupata burner na kuzigawa pamoja na mitungi kwa wananchi wenzangu wa Bukoba Mjini, kipindi mimi nagawa sikubahatika kufanya yote maana kupanga ni kuchagua na uwezo wangu wa kipindi hicho haukutosha kwa mambo niliyokuwa nayo kwa nafasi ya Mbunge wa Jimbo, bajeti yangu na uwezo wangu naujua na naupanga mwenyewe.

Inshallah katika awamu zijazo, nikifanikiwa kupata burner pia, nitazigawa juu ya mitungi, nisipopata (kwa msaada au kununua), nitagawa tena mitungi bila burners, na hili kwangu sio tatizo sana la kunifanya nisigawe mitungi ya Mama maana wengi wanaosema ni wizi na kulalamika kuhusu burners wao hawatumii hata mitungi hii, wanatumia mitungi mikubwa, naamini wahitaji ambao ninawalenga na kuwapatia hawana neno na burner, wangetamani kupata mtungi kwanza, mengine wakajihimu pia.

Naamini maswali mengi na duku duku za hapa na pale kuhusu mitungi zitakuwa zimepata mwanga kidogo humu. Ruksa pia kuwapatia andiko hili wale ambao hawako humu ilihali wanapenda sana kufuatilia kundi letu hili zuri lenye staha na uvumilivu🙏🏿

Salaam nyingi kutoka hapa Havana Cuba katika mkutano wa mkubwa wa kidunia wa G77+China🙏🏿🙏🏿

Spana za kutosha kutoka kwa aliyekuwa mshindi wa kwanza kura za maoni bw. Ashraf D. Kalumuna

Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura
tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi
kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri
Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako
70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema
Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1.kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3.Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema
Uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani
Yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi????? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi
Hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema
Kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa

Ikikupendeza
Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300
Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza
Muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema
Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi
100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura
tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi
kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri
Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako
70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema
Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1.kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3.Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema
Uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani
Yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi????? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi
Hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema
Kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa

Ikikupendeza
Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300
Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza
Muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema
Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi
100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
 
Sio kesi ila waTz tunapenda kudeka dadeq, hebu wananchi acheni upuuzi, nunueni hizo burner wenyewe bana, mnadai hizo burner as if ni haki yenu
 
Mh. Byabato akijibu tuhuma za kugawa mitungi 70 kwa wapiga kura wake bika kukamilika. August 2. 2022 aligawa mitungi 100 nayo bila kukamilika Neema Lugangira viti maalum Kagawa 300 ikiwa imekamilika. Wadau wanauliza kulikoni Mbunge na Waziri agawe mitungi 170 bila kukamilika? Wakati burners na kibebeo gharama yake ni tshs 15,000 tu.

Hapa chini ni Majibu kutoka kwa Mh. Byabato dhidi ya tuhuma zake kutoka Havana Cuba
Salaam nyingi toka Cuba🙏🏿

Msihangaike na wengine, maswali haya niyabebe mimi🙏🏿

Ufafanuzi kidogo kuhusu mitungi ya gesi.

1. Aliyetoa gesi zote mnazoona Wah. wabunge wanagawa ni Mhe Dkt Samia S. Hassan. Wabunge wote 400+ tulipewa gesi.
2. Wabunge walipewa mitungi ya kugawa kwa wananchi mbali mbali kulingana kwa makundi fulani na umuhimu wake, ili kuweka hamasa ya matumizi ya gesi, nyongeza ya idadi ni binafsi.
3. Ombi hili liliasisiwa na sisi (January na Byabato) tukiwa Wizara ya Nishati ili kutimiza azma ya Mhe Rais ya kupika kwa Nishati safi.
4. Kama nilivyosema mimi (siku ya kuanza kugawa mitungi Bukoba-Sokoni pale mwaka jana nadhani), mitungi haikuwa na burner, ni gesi na kile kitako cha juu tu, anayepewa anaweza kuongeza thamani ili atumie, na tunaamini hawashindwi.

Hivyo, yote yanayofanyika katika gesi ni muendelezo wa azma hiyo ya Mhe Samia

Hakuna wizi wowote katika hili, jitihada za mtu mmoja mmoja na kwa wakati tofauti zinatofautiana, kwa upande wangu mitungi yote nimegawa zaidi ya 170 mpaka sasa(kwa awamu ya kwanza kwa watu mbali mbali Bukoba wazi wazi na kimya kimya) haikuja na burner, sio kwamba zilikuwepo then mimi nikaenda kuziuza kama kaka yangu mmoja alivyoandika sehemu😂😂😂. Mimi sijafikia kiwango hicho cha kupoteza heshima na uaminifu katika jamii, ndio maana niko hapa Mwenyezi Mungu anaendelea kunibariki.

Yaani kuniwazia tu hivyo (kuwa nimeuza burner) inaonyesha ufinyu wa fikra kwa mtu huyo kama ananiwazia mimi kiongozi wa ngazi na kariba yangu kuweza kufanya hivyo, sasa acha kuwaza, kuandika kabisa mawazo hayo finyu ni kuonesha utovu wa nidhamu kwa viongozi na kujionyesha wewe ni mtu wa namna gani, na tunaendelea kutizama tu, tunaona bado mafunzo hayajatosha🙏🏿.

Zoezi la gesi kwangu mimi (labda na kwa wengine) ni endelevu, nitaendelea kugawa maana kwa upande wangu ninatimiza maelekezo ya Mhe Rais, nitagawa sana kwa ratiba yangu na wakati wangu na makundi mbali mbali ili kuendelea kutoa hamasa. Nasisitiza nitagawa sana mitungi ya mama.

Kwa kumalizia, nampongeza dada yangu Mhe Neema kwa kuweza kupata burner na kuzigawa pamoja na mitungi kwa wananchi wenzangu wa Bukoba Mjini, kipindi mimi nagawa sikubahatika kufanya yote maana kupanga ni kuchagua na uwezo wangu wa kipindi hicho haukutosha kwa mambo niliyokuwa nayo kwa nafasi ya Mbunge wa Jimbo, bajeti yangu na uwezo wangu naujua na naupanga mwenyewe.

Inshallah katika awamu zijazo, nikifanikiwa kupata burner pia, nitazigawa juu ya mitungi, nisipopata (kwa msaada au kununua), nitagawa tena mitungi bila burners, na hili kwangu sio tatizo sana la kunifanya nisigawe mitungi ya Mama maana wengi wanaosema ni wizi na kulalamika kuhusu burners wao hawatumii hata mitungi hii, wanatumia mitungi mikubwa, naamini wahitaji ambao ninawalenga na kuwapatia hawana neno na burner, wangetamani kupata mtungi kwanza, mengine wakajihimu pia.

Naamini maswali mengi na duku duku za hapa na pale kuhusu mitungi zitakuwa zimepata mwanga kidogo humu. Ruksa pia kuwapatia andiko hili wale ambao hawako humu ilihali wanapenda sana kufuatilia kundi letu hili zuri lenye staha na uvumilivu🙏🏿

Salaam nyingi kutoka hapa Havana Cuba katika mkutano wa mkubwa wa kidunia wa G77+China🙏🏿🙏🏿

Spana za kutosha kutoka kwa aliyekuwa mshindi wa kwanza kura za maoni bw. Ashraf D. Kalumuna

Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura
tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi
kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri
Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako
70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema
Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1.kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3.Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema
Uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani
Yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi????? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi
Hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema
Kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa

Ikikupendeza
Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300
Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza
Muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema
Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi
100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura
tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi
kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri
Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako
70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema
Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1.kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3.Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema
Uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani
Yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi????? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi
Hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema
Kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa

Ikikupendeza
Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300
Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza
Muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema
Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi
100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
Hao wapiga kura waache kulialia kama hawaze kununua banner wairudishe mitungi hatuwezi kuwa na taifa la watu wanaolialia
 
Neema Ndiye mbunge ajaye wa Bukoba mjini amebarikiwa na Papa Francisco mwenyewe anayeketi Kitini pake Mtume Petro 😄
 
Hiyo mitungi ya gesi wakawape wakimbizi huko ili wapunguze kukata miti ya kuni na mkaa.
Wakimbizi sio wa kupewa mitungi, bali uraia. Kama wameshatimiza miaka 10 tangu waingie nchini, bora wapewe uraia ili wale watakao mudu maisha nje ya kambi waweze kwenda kujitafutia popote pale ndani ya nchi hii.
 
Mh. Byabato akijibu tuhuma za kugawa mitungi 70 kwa wapiga kura wake bika kukamilika. August 2. 2022 aligawa mitungi 100 nayo bila kukamilika Neema Lugangira viti maalum Kagawa 300 ikiwa imekamilika. Wadau wanauliza kulikoni Mbunge na Waziri agawe mitungi 170 bila kukamilika? Wakati burners na kibebeo gharama yake ni tshs 15,000 tu.

Hapa chini ni Majibu kutoka kwa Mh. Byabato dhidi ya tuhuma zake kutoka Havana Cuba
Salaam nyingi toka Cuba🙏🏿

Msihangaike na wengine, maswali haya niyabebe mimi🙏🏿

Ufafanuzi kidogo kuhusu mitungi ya gesi.

1. Aliyetoa gesi zote mnazoona Wah. wabunge wanagawa ni Mhe Dkt Samia S. Hassan. Wabunge wote 400+ tulipewa gesi.
2. Wabunge walipewa mitungi ya kugawa kwa wananchi mbali mbali kulingana kwa makundi fulani na umuhimu wake, ili kuweka hamasa ya matumizi ya gesi, nyongeza ya idadi ni binafsi.
3. Ombi hili liliasisiwa na sisi (January na Byabato) tukiwa Wizara ya Nishati ili kutimiza azma ya Mhe Rais ya kupika kwa Nishati safi.
4. Kama nilivyosema mimi (siku ya kuanza kugawa mitungi Bukoba-Sokoni pale mwaka jana nadhani), mitungi haikuwa na burner, ni gesi na kile kitako cha juu tu, anayepewa anaweza kuongeza thamani ili atumie, na tunaamini hawashindwi.

Hivyo, yote yanayofanyika katika gesi ni muendelezo wa azma hiyo ya Mhe Samia

Hakuna wizi wowote katika hili, jitihada za mtu mmoja mmoja na kwa wakati tofauti zinatofautiana, kwa upande wangu mitungi yote nimegawa zaidi ya 170 mpaka sasa(kwa awamu ya kwanza kwa watu mbali mbali Bukoba wazi wazi na kimya kimya) haikuja na burner, sio kwamba zilikuwepo then mimi nikaenda kuziuza kama kaka yangu mmoja alivyoandika sehemu😂😂😂. Mimi sijafikia kiwango hicho cha kupoteza heshima na uaminifu katika jamii, ndio maana niko hapa Mwenyezi Mungu anaendelea kunibariki.

Yaani kuniwazia tu hivyo (kuwa nimeuza burner) inaonyesha ufinyu wa fikra kwa mtu huyo kama ananiwazia mimi kiongozi wa ngazi na kariba yangu kuweza kufanya hivyo, sasa acha kuwaza, kuandika kabisa mawazo hayo finyu ni kuonesha utovu wa nidhamu kwa viongozi na kujionyesha wewe ni mtu wa namna gani, na tunaendelea kutizama tu, tunaona bado mafunzo hayajatosha🙏🏿.

Zoezi la gesi kwangu mimi (labda na kwa wengine) ni endelevu, nitaendelea kugawa maana kwa upande wangu ninatimiza maelekezo ya Mhe Rais, nitagawa sana kwa ratiba yangu na wakati wangu na makundi mbali mbali ili kuendelea kutoa hamasa. Nasisitiza nitagawa sana mitungi ya mama.

Kwa kumalizia, nampongeza dada yangu Mhe Neema kwa kuweza kupata burner na kuzigawa pamoja na mitungi kwa wananchi wenzangu wa Bukoba Mjini, kipindi mimi nagawa sikubahatika kufanya yote maana kupanga ni kuchagua na uwezo wangu wa kipindi hicho haukutosha kwa mambo niliyokuwa nayo kwa nafasi ya Mbunge wa Jimbo, bajeti yangu na uwezo wangu naujua na naupanga mwenyewe.

Inshallah katika awamu zijazo, nikifanikiwa kupata burner pia, nitazigawa juu ya mitungi, nisipopata (kwa msaada au kununua), nitagawa tena mitungi bila burners, na hili kwangu sio tatizo sana la kunifanya nisigawe mitungi ya Mama maana wengi wanaosema ni wizi na kulalamika kuhusu burners wao hawatumii hata mitungi hii, wanatumia mitungi mikubwa, naamini wahitaji ambao ninawalenga na kuwapatia hawana neno na burner, wangetamani kupata mtungi kwanza, mengine wakajihimu pia.

Naamini maswali mengi na duku duku za hapa na pale kuhusu mitungi zitakuwa zimepata mwanga kidogo humu. Ruksa pia kuwapatia andiko hili wale ambao hawako humu ilihali wanapenda sana kufuatilia kundi letu hili zuri lenye staha na uvumilivu🙏🏿

Salaam nyingi kutoka hapa Havana Cuba katika mkutano wa mkubwa wa kidunia wa G77+China🙏🏿🙏🏿

Spana za kutosha kutoka kwa aliyekuwa mshindi wa kwanza kura za maoni bw. Ashraf D. Kalumuna

Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura
tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi
kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri
Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako
70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema
Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1.kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3.Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema
Uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani
Yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi????? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi
Hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema
Kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa

Ikikupendeza
Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300
Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza
Muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema
Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi
100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
Mh pongezi zako
Nyingi hapo Cuba, ni kazi yenye tija unayoendelea nayo.

Wapiga kura
tumesoma andiko lako tuna machache ya kushauri, si lazima ujibu kila jambo wakati mwingine ukibaini una majibu mengi lakini una uchache wa majawabu kaa kimya tuliza mkono husiandike, au tuliza mdomo husiongee.

Kuhusu ufafanuzi
kupitia andiko lako kwa wapiga kura kuhusiana na pongezi za wapiga kura wako dhidi ya Mbunge mwenzako kutenda haki katika zoezi lake la ugawaji wa mitungi ya gesi 300 jimboni Bukoba, ambako nawe unasema uligawa mitungi 70 wazi bila viambata na mitungi mingine 100 uliigawa kimyakumya.

Yote kheri
Hongera kukiri mapungufu kwamba uligawa mitungi bila viambata ukitoa sababu ambazo zina tija kwa upande wako japo sina hakika sababu hizo kua na tija kwa mtumiaji wa mtungi husika wa gesi.

Mitungi yako
70 uliigawa tarehe 22 August 2022 ni muda mrefu sana, lakini kumbuka Mtungi bila viambata hauna tija kwa mtumiaji, tunakushauri mpe katibu wako viambata vya mitungi hiyo ambayo gharama yake ni Tsh 15,000×70 = 1,050,000 ili viambata vinunukiwe na vikabidhiwe kwa wote waliopewa mitungi hisiyokamilika.

Pili unesema
Baada ya kugawa mitungi hiyo 70 wazi mbele ya vyombo vya habari na wananchi kwa jimbo zima kwa maana ya kata 14, uligawa mitungi mingine 100 kimyakimya bila taarifa hapa nina hoja chache

1.kama uligawa
Mitungi 70,jimbo zima katika kata 14 ni Sababu ipi ilikufanya ugawe mitungi 100 isiyo na viambata kimyakimya na kina nani uliwapa? Je uliwagawia wapiga kura wako mitungi hisiyo na tija kimatumizi kwa kukosa viambata ili waitumie au waitunze majumbani mwao?

2.Tumekushauri
Umpe katibu wako pesa ya viambata vya mitungi 70 uliyokiri kuigawa ambayo ni Tsh 1,050,000 ili vinunuliwe. Je utakua tiyari kumpa huyo katibu wako kiasi kingine cha fedha cha mitungi 100 hisiyo na viambata ambayo umekili kuigawa kwa wapiga kura wako kimyakimya kiasi cha shilingi 15,000×100= 1,500,000 ili pesa hiyo ikanunue viambata wakagawiwe wapiga kura wote uliowagawia mitungi mitupu, ili badala ya mitungi yako kutunzwa stoo na kujaza nafasi ktk nyumba za watu ianze kutumika?

3.Umesema
Alietoa mitungi ya Gesi ni Mh mkuu nchi, uko sawa kabisa tunaungana na juhudi za Mh Rais katenda makubwa na mazuri katika nchi hii, awamu ya sita ni awamu ya mfano tunaendelea kuona mengi mazuri ikiwa ni pamoja na hili la mitungi ya Gesi na tunajua kwamba hii mitungi ni upendo wake kwa watanzania, ndio maana tupo macho haiwezekani Mh Rais atoe mitungi kamili kwa watanzania kupitia Mbunge alafu wewe ugawe mitungi bila viambata, haujatumwa ufanye hivyo hata kidogo. Haijalishi wewe ni nani sisi tutamsemea Rais wetu iwe mvua,liwe jua, mema atendayo kwa watanzania tutayasema na yeyote anaetaka kuchafua taswira yake tutamkemea mchana kweupe tumeona kuhusu ugawaji wa mitungi ya gesi tuanze na wewe kwakua umekiri mwenyewe kugawa mitungi bila viambata.

Pia, lazima
Unapotereza tukusahihishe hatuna shaka wewe ni kijana mzuri,ni kiongozi nje ya jimbo unafanya vizuri pia kama ulivyosema sema upo Cuba, ni kweli hatuna tatizo na hayo yote, lakini mazuri ya Cuba yawe mazuri na Bukoba jimboni kwako, thamini wanajimbo wako pia (wapiga kura)

Kuhusu
Kuhasisiwa kwa jambo hili ni kweli wizara uliyokua ukihudumu ilihusika tunawashukuru, pia usichanganye mambo January Makamba husimchanganye katika suala lako la kugawa mitungi bila viambata katika jimbo letu la Buloba, ebu muache anatenda mazuri na makubwa jimboni kwake Bumburi na katika nafasi yake mpya ya Uwaziri, tusimuongeele, wewe jibu hoja za jimbo letu la Bukoba mjini.

4.Umesema
Siku ya kugawa mitungi hiyo sokoni mwaka jana mitungi haikua na viambata, kama uligundua tatizo ikawaje ukagawa mitungi dhaifu bila ukamilifu? Unataka kutuaminisha kwamba kila Mbunge akiwemo Mh Neema Lugangira viambata alivyogawa alinunua mwenyewe? Kama ivyo ndivyo kwahiyo Mh Neema ana mapenzi ya dhati kwa wapiga kura wa jimbo lako kukuzidi wewe mbunge wetu wa jimbo adi yeye atupe mitungi kamili yenye viambata, wewe Mbunge wetu utupe mitungi pungufu?

Umesema
Uligawa bila viambata ili anaepewa anaweza kununua mwenyewe viambata kwa gharama yake ili auongezee thamani mtungi wake kuweza kuutumia 😀

Jamani
Yaani unapewa zawadi alafu ikugharimu!!!! Kweli tupo serous na kura za wananchi??

Mwananchi
Hana sukari,hana maarage, hana unga,hana chumvi ndani,hana mafuta ya taa, hana mkaa na kuni za siku hiyo, alafu mala paa atoe 15,000 ya kununua viambata vya zawadi ya Mtungi wa gesi????? Kutoka kwa Mbunge aliempigia kura 2020 yaani unamfanya mpiga kura awaze 2025 bila sababu ya muhimu.

Yaani mwananchi
Hajakuomba Mtungi wa gesi umeamua mwenyewe kumpa, ok unampa mtungi bila kiambata alafu unamwambia anunue mwenyewe kiambata ili akatumie zawadi ya Mtungi uliomzawadia kwa matakwa yako?

Unasema
Kuna watu wamekuvunjia heshma,si kweli sema wewe unaelekea kuwavunjia heshima waliokuchagua, haiwezekani uwagawie wananchi mitungi ya gesi bila viambata wataitumiaje? Wadau hawakukosei heshima wanakukumbusha kutopotea njia.

Unashauliwa

Ikikupendeza
Ebu muombe Mbunge mwenzako aliepewa mitungi kama wewe, kaendesha zoezi zuri jimboni kwako japo yeye ni Mbunge wa viti maalumu Mh Neema Lugangira,

Kagawa mitungi 300
Kwa upendo na heshima kwa wapiga kura wako wa Bukoba mjini, mitungi yote ina viambata wananchi mpaka ivi sasa mitungi hawajaifungia stoo wanaitumia.

Ikikupendeza
Muombe akushauri ni mfumo gani kautumia ili kufanikisha zoezi hilo, haujachelewa tunakushauri toa fedha kwa katibu wako kwa ajili ya viambata vya mitungi 70+100=170 jumla mitungi 170 vinunuliwe utaratibu kwa wote uliowagawia mitungi pungufu wapewe viambata vyao ili uwaruhusu kuitoa mitungi yako stoo itumike kama yalivyo malengo na matarajio ya wengi.

Umesema
Umegawa mitungi 170 mpaka sasa

70 umeigawa wazi
100 umegawa kimyakimya, ukasema zoezi ni endelevu basi mitungi iliyobaki weka utaratibu mzuri wenye tija ikibidi mshirikishe Mh Neema akupe mbinu za ufanisi alizozitumia, au itumie timu yake ya maandalizi maana kuangalizia mtihani si tatizo kama lengo ni kufaulu, shida itakuja pale utakapokamatwa unaangalizia.

Ahsante 👏🏽👏🏽👏🏽
TUKO PAMOJA SANA KUISEMEA BUKOBA YETU, BUKOBA NI YETU WOTU TUSHIKAMANE.
Wahaya wamekuwa omba omba kiasi hiki? Andiko reeeeefu bila maudhui
 
Oyaa mnazingua sana, umeshapewa mtungi wa gesi bure, unalalamikia burner!?, kweli!?,.. ndo maana Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia watanzania wengi ni wapumbavu sio wa kuwahurumia, ni watu walalamishi sana. Hiyo mitungi wasingepewa wangeenda kulalamika wapi!?
 
Stendi wamefikia wapi....

Kutoka kujenga stendi Hadi kugawa mitungi ya gesi...
Bukoba inaelekea wap nyie....
 
Back
Top Bottom