bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    "Ni bora ukose Mali lakini upate Akili”. Huu usemi kwa Tanzania ni kweli au Shida ni CCM?

    Akili ni kile kinachobakia baada ya kutoa vyote ambavyo umejifunza darasani, na hiki ndio huwa kinakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri. Haishangazi sana kukuta mtu wa darasa la saba na prof likatokea jambo wote wakawaza sawa na kutoa suluhu moja maana yake akili ziko sawa ingawa mmoja ni prof...
  2. benzemah

    Rais Samia amerejesha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni bila woga

    Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe. Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na...
  3. T

    SoC03 Teknolojia ya mbao na bidhaa zisizo na asili ya mbao kwa uchumi endelevu, ustawi jamii na mazingira bora

    Fursa za uwekezaji Teknolojia ya mbao na bidhaa zisizo za mbao zinatupa fursa nyingi za uwekezaji kama Taifa. Mianzi nchini kwetu ni kitu cha kawaida lakini ni malighafi inayotumika kuongeza minyororo wa thamani wa bidhaa za mbao na kukuza uchumi kwenye mataifa yaliyoendelea kama china...
  4. Mwl.RCT

    SoC03 Falsafa ya Julius Nyerere: Uwajibikaji na Utawala Bora kama Msingi wa Maendeleo ya Kijamii katika Afrika

    FALSAFA YA JULIUS NYERERE: UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KAMA MSINGI WA MAENDELEO YA KIJAMII KATIKA AFRIKA Imeandikwa na: Mwl.RCT I. Utangulizi Uwajibikaji na utawala bora ni muhimu sana katika kuleta maendeleo ya kijamii, hasa katika nchi za Kiafrika. Julius Nyerere aliamini katika uwajibikaji...
  5. Librarian 105

    Uraibu wa Bob Marley ina maana ni bora kuliko ulevi wa madaraka wa viongozi wetu?

    Redemption song Zion train African unite Stand up Kwanini nmemkumbuka Bob Marley? Ni kutokana na sekeseke la DUBAI PORTS WORLD. Gwiji huyu wa jamaica mistari yake ilijaa falsafa za ukombozi wa mtu mweusi kwa kiwango kikubwa. Lakini ukitazama baadhi ya viongozi wetu na ulevi wa madaraka...
  6. CK Allan

    Ni Tanzania pekee baada ya ligi kwisha kamati inakaa kuchagua mfungaji Bora, kwanini kanuni isiwe wazi mwanzoni mwa msimu?

    Yaani sijui nani katuroga! Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele! Kwanini yaani! Eti ooh, Kamati ndio itakuwa! Kamati my foot! Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu...
  7. S

    Shaffih Dauda: Saido hawezi kuwa Mchezaji Bora

    Saidoo hawezi akawa mchezaji bora, magoli 17. kafunga Hat trick 2, goli tano Kwenye mechi moja Maana yake magoli zaidi ya 11 kafunga kwenye mechi 3, na kamfunga nani, Swali la 2! Fiston Mayele anadeserve kuwa MVP kwa kuwa goli analofunga mechi moja moja ndiyo Wanakuwa Mabingwa.
  8. Boss la DP World

    Mayele atoa elimu kuhusu mfungaji bora. Huyu hapa.

    Venus Star na makolo wengine hawataki kabisa kusikia ukweli huu unao wauma mno.
  9. Nominee

    Kanuni ya mfungaji bora wa ligi kuu NBC inasemaje? Tuwekeeni vifungu

    Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu. Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi, hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao. Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora. Ahsanteni.
  10. D

    Mayele atapokonywa ufungaji bora 2022/23 na Saido?

    Mpaka sasa ubao wa wafungaji bora NBC Premier league unasoma hivi: 𝗠𝗔𝗬𝗘𝗟𝗘➖16 𝗦𝗔𝗜𝗗𝗢➖15 Leo Mayele atakuwa dimbani dhidi ya TZ Prisons huku Saido atakuwa dimbani dhidi ya Coastal Union. Unatabiri nini? Kula Odds za Sokabet hizo Upige Mkwanja!
  11. Mwiba

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la muhogo, kuna brigedi za kijeshi ambazo tayari zimeungana na wananchi, wazalendo wanasema wamefikia...
  12. SAYVILLE

    Mayele apost kukumbushia yeye ni mfungaji bora

    Katika pitapita zangu, nimekutana na post ya Fiston Mayele kwenda kwa Feisal Salum akimtakia kila la kheri baada ya kusaini kuchezea Azam. Mayele akaambatanisha video inayoonyesha assist aliyopata kutoka kwa Feisal katika mechi dhidi ya Coastal Union. Cha kushangaza zaidi ni kuwa goli lile...
  13. D

    SoC03 Mabadiliko kuhusu uwajibikaji au utawala bora katika nyanja mbalimbali kwenye Elimu, Afya, Malezi, Teknolojia, Sheria

    Mabadiliko kuhusu uwajibikaji au utawala bora katika nyanja mbalimbali kama elimu, afya, malezi, teknolojia, na sheria linaweza kuwa na athari kubwa katika kuboresha huduma na maendeleo katika maeneo hayo. Hapa chini nimeandika andiko linalojumuisha maoni na mawazo kadhaa kuhusu mabadiliko hayo...
  14. Ammarah

    SoC03 Kuwezesha Mabadiliko: Kuongezeka kwa Uwajibikaji na Utawala Bora katika Nyanja Mbalimbali

    Katika enzi ambayo ina sifa ya kuongezeka kwa mahitaji ya uwazi na utendakazi wa maadili, dhana za uwajibikaji na utawala bora zimekuwa msingi wa kuleta mabadiliko chanya katika nyanja mbalimbali. Kuanzia utawala na elimu hadi huduma za afya na fedha, jamii duniani kote zinashuhudia mabadiliko...
  15. L

    SoC03 Mambo yanayochochea utawala bora na uwajibikaji katika nyanja mbalimbali

    Utawala bora na uwajibikaji; Ni mamlaka na haki ya kuongoza kwa kufuata taratibu za kikatiba, na kujitoa katika kufanya mambo yote yaliyo majukumu anayotakiwa kufanya kiongozi au mtu yeyote aliye na dhamana katika eneo husika. Uwazi, usawa, Uhuru wa vyombo vya habari pamoja na uwajibikaji ni...
  16. Beberu

    KENWOOD blender bora na za kuaminika zinauzwa bei ya kutupwa

    Habari za wakati huu ndugu zangu waTanzania Kabla hatujaenda mbali hebu kitazame mwenyewe chombo kinavyovutia Katika ulimwengu wa Heavy duty blenders, blender zenye nguvu bas kwa uimara huwezi acha kuwataja Kenwood blenders, bas kwa kutambua umuhimu na faida za blender katika maisha yetu ya...
  17. FisadiKuu

    Kipi bora kati ya Demokrasia na Utawala wa kifalme kwa Mustakabali wa Nchi yetu?

    Watanzania wenzangu, mara chache sana nakuja kwenye hili jukwaa. Leo nilikaa na kufikiri sana. Nikaona nije na hili swali. Je, kipi ni bora kati ya Demokrasia na Utawala wa kifalme? Kwa Nchi yetu kipi kitatupeleka mbele zaidi? Tunaona kila mtawala anayekuja anakuja either kutafuta fursa...
  18. M

    SoC03 Namna utawala bora na uwajibikaji vilivyo muhimu katika maendeleo

    Ni matamanio ya kila nchi kuwa na maendeleo ya kiasi cha juu sana hata kufikia hatua ya kujitegemea. Hivyobasi,ili nchi iweze kupata maendeleo hayo inapaswa kuwa na viongozi wazuri wanaowajibika.Uongozi na uwajibikaji ni maswala mawili tofauti yanayotegemeana kwani kiongozi mzuri ni yule...
  19. I

    SoC03 Utawala Bora katika jamii au nchi

    Utawala ulio boraa ni mchakato ambao una lengo la kukuza ufanisi, uwazi, uwajibikaji, na ushirikishwaji katika utendaji wa serikali. Katika kujenga utawala bora, ni muhimu kuwa na mabadiliko yanayochochea maendeleo katika nyanja zote, ikiwemo uwajibikaji. Hapa chini nimeandika andiko ambalo...
  20. Zaitun kessy

    SoC03 Matumizi ya sarafu moja kama njia ya kuleta mabadiliko katika uwajibikaji na utawala bora katika nchi za Afrika

    Wazo la kuwa na sarafu moja ya Afrika limekuwa likijadiliwa tangu mwanzoni mwa miaka ya 1980, na jitihada zimefanywa katika miongo iliyofuata kuelekea lengo hilo. Matumizi ya sarafu moja katika bara la Afrika yanaweza kuwa na athari kubwa katika kukuza uwajibikaji na utawala bora. Hapa kuna...
Back
Top Bottom