Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.
Akili ni kile kinachobakia baada ya kutoa vyote ambavyo umejifunza darasani, na hiki ndio huwa kinakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri.
Haishangazi sana kukuta mtu wa darasa la saba na prof likatokea jambo wote wakawaza sawa na kutoa suluhu moja maana yake akili ziko sawa ingawa mmoja ni prof...
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.
Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na...
Fursa za uwekezaji
Teknolojia ya mbao na bidhaa zisizo za mbao zinatupa fursa nyingi za uwekezaji kama Taifa. Mianzi nchini kwetu ni kitu cha kawaida lakini ni malighafi inayotumika kuongeza minyororo wa thamani wa bidhaa za mbao na kukuza uchumi kwenye mataifa yaliyoendelea kama china...
FALSAFA YA JULIUS NYERERE: UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KAMA MSINGI WA MAENDELEO YA KIJAMII KATIKA AFRIKA
Imeandikwa na: Mwl.RCT
I. Utangulizi
Uwajibikaji na utawala bora ni muhimu sana katika kuleta maendeleo ya kijamii, hasa katika nchi za Kiafrika. Julius Nyerere aliamini katika uwajibikaji...
Redemption song
Zion train
African unite
Stand up
Kwanini nmemkumbuka Bob Marley? Ni kutokana na sekeseke la DUBAI PORTS WORLD. Gwiji huyu wa jamaica mistari yake ilijaa falsafa za ukombozi wa mtu mweusi kwa kiwango kikubwa.
Lakini ukitazama baadhi ya viongozi wetu na ulevi wa madaraka...
Yaani sijui nani katuroga!
Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele!
Kwanini yaani!
Eti ooh,
Kamati ndio itakuwa!
Kamati my foot!
Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu...
Saidoo hawezi akawa mchezaji bora, magoli 17. kafunga Hat trick 2, goli tano Kwenye mechi moja Maana yake magoli zaidi ya 11 kafunga kwenye mechi 3, na kamfunga nani, Swali la 2!
Fiston Mayele anadeserve kuwa MVP kwa kuwa goli analofunga mechi moja moja ndiyo Wanakuwa Mabingwa.
Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu. Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi, hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao.
Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora.
Ahsanteni.
Mpaka sasa ubao wa wafungaji bora NBC Premier league unasoma hivi:
𝗠𝗔𝗬𝗘𝗟𝗘➖16
𝗦𝗔𝗜𝗗𝗢➖15
Leo Mayele atakuwa dimbani dhidi ya TZ Prisons huku Saido atakuwa dimbani dhidi ya Coastal Union. Unatabiri nini?
Kula Odds za Sokabet hizo Upige Mkwanja!
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la muhogo, kuna brigedi za kijeshi ambazo tayari zimeungana na wananchi, wazalendo wanasema wamefikia...
Katika pitapita zangu, nimekutana na post ya Fiston Mayele kwenda kwa Feisal Salum akimtakia kila la kheri baada ya kusaini kuchezea Azam.
Mayele akaambatanisha video inayoonyesha assist aliyopata kutoka kwa Feisal katika mechi dhidi ya Coastal Union.
Cha kushangaza zaidi ni kuwa goli lile...
Mabadiliko kuhusu uwajibikaji au utawala bora katika nyanja mbalimbali kama elimu, afya, malezi, teknolojia, na sheria linaweza kuwa na athari kubwa katika kuboresha huduma na maendeleo katika maeneo hayo. Hapa chini nimeandika andiko linalojumuisha maoni na mawazo kadhaa kuhusu mabadiliko hayo...
Katika enzi ambayo ina sifa ya kuongezeka kwa mahitaji ya uwazi na utendakazi wa maadili, dhana za uwajibikaji na utawala bora zimekuwa msingi wa kuleta mabadiliko chanya katika nyanja mbalimbali. Kuanzia utawala na elimu hadi huduma za afya na fedha, jamii duniani kote zinashuhudia mabadiliko...
Utawala bora na uwajibikaji; Ni mamlaka na haki ya kuongoza kwa kufuata taratibu za kikatiba, na kujitoa katika kufanya mambo yote yaliyo majukumu anayotakiwa kufanya kiongozi au mtu yeyote aliye na dhamana katika eneo husika. Uwazi, usawa, Uhuru wa vyombo vya habari pamoja na uwajibikaji ni...
Habari za wakati huu ndugu zangu waTanzania
Kabla hatujaenda mbali hebu kitazame mwenyewe chombo kinavyovutia
Katika ulimwengu wa Heavy duty blenders, blender zenye nguvu bas kwa uimara huwezi acha kuwataja Kenwood blenders, bas kwa kutambua umuhimu na faida za blender katika maisha yetu ya...
Watanzania wenzangu, mara chache sana nakuja kwenye hili jukwaa. Leo nilikaa na kufikiri sana. Nikaona nije na hili swali.
Je, kipi ni bora kati ya Demokrasia na Utawala wa kifalme?
Kwa Nchi yetu kipi kitatupeleka mbele zaidi? Tunaona kila mtawala anayekuja anakuja either kutafuta fursa...
Ni matamanio ya kila nchi kuwa na maendeleo ya kiasi cha juu sana hata kufikia hatua ya kujitegemea. Hivyobasi,ili nchi iweze kupata maendeleo hayo inapaswa kuwa na viongozi wazuri wanaowajibika.Uongozi na uwajibikaji ni maswala mawili tofauti yanayotegemeana kwani kiongozi mzuri ni yule...
Utawala ulio boraa ni mchakato ambao una lengo la kukuza ufanisi, uwazi, uwajibikaji, na ushirikishwaji katika utendaji wa serikali. Katika kujenga utawala bora, ni muhimu kuwa na mabadiliko yanayochochea maendeleo katika nyanja zote, ikiwemo uwajibikaji. Hapa chini nimeandika andiko ambalo...
Wazo la kuwa na sarafu moja ya Afrika limekuwa likijadiliwa tangu mwanzoni mwa miaka ya 1980, na jitihada zimefanywa katika miongo iliyofuata kuelekea lengo hilo.
Matumizi ya sarafu moja katika bara la Afrika yanaweza kuwa na athari kubwa katika kukuza uwajibikaji na utawala bora.
Hapa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.