bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwa niliyoyashuhudia jana kwenye usaili wa tra,nashauri bora hizi ajira ziwe zinasimamiwa na PSRS tu.

    Habari za asubuhi wakuu. Jana nilikua miongoni mwa watanzania tuliobahatika kuhudhuria usahili wa mamlaka ya mapato Tanzania,kituo changu cha usahili kilikua kule sabasaba.nilifanya nafasi za Tax management officer ii na Customs officer ii. Kuna dosari nyingi sana niliziona nikahisi ni either...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane Vipindi na Watangazaji Bora katika TV kwa Miaka ya nyuma

  3. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Edibily Lunyamila - Moja ya wachezaji bora Nchi iliwahi Pata. Yupo wapi?

    Nenda kawaulize waganda wenye miaka kuanzia 45 kuja mbele. Wanamfahamu vizuri sana. Jamaa alikuwa na kipaji. Wakati tu haukuwa sahihi. Yanga miaka hiyo Yanga kweli kweli... Tuna wachezaji tunapiga mtu goals kiukweli kweli. Si masikhara.
  4. The Transporter

    JamiiForums Tanzania Msaada wapi kwa kupata cover bora za computer kwa DSM

    naomba msaada sehemu au mahali gani naweza kwenda kubadirisha cover ya Laptop kwa DSM ,Nina changamoto laptop HP imedondoka .
  5. X

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni bora mwanaume anayenunua kuliko anayehudumia

    Hapa kwenye uzi tunapozungumzia mwanaume tunazungumzia makundi yote 3, walio kwenye ndoa, ambao bado hawajaoa na vijana wanaojitafuta. Walio kwenye ndoa wengi wanakuwa na mpango wa kando yaani mchepuko au michepuko wanaoihudumia kama mke wa pili. Wanaume ambao hawajaoa na vijana wanaojitafuta...
  6. D

    JamiiForums Tanzania AI inazidi kuwa bora. Hizi ni baadhi ya nyimbo za kiswahili zilizotengenezwa kwa AI

    Remix ya wimbo wa Goodlucky Gosbert Nipe: Hii lyrics pia ziliandikwa na chatgpt Tupia nyimbo zako ulizounda kwa AI Hii ni IDM but ya kiingereza lyrics zimeandikwa na chat gpt
  7. baggio23

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ubunifu Bora ni Muhimu kwa Biashara Yako ! Wasiliana nasi leo GraphixPro Wakali wa Graphic designing Tanzania

    📢 Kwa Nini Ubunifu Bora Ni Muhimu kwa Biashara Yako? Ubunifu mzuri si anasa—ni silaha ya mafanikio kwa biashara yako! 🎯 ✅ Unakutofautisha na washindani ✅ Inavutia wateja zaidi ✅ Inajenga uaminifu ✅ Inasaidia kuuza zaidi 🚀 GraphixPro tunakusaidia kuboresha chapa yako kwa ubunifu wa hali ya juu...
  8. Heritage123

    JamiiForums Tanzania Website 10 Bora za Kujifunza Digital Skills Mwaka 2025

    Website 10 Bora za Kujifunza Digital Skills Mwaka 2025 Katika dunia ya leo, kujifunza ujuzi wa kidigitali si chaguo tena; ni hitaji. Kama unataka kujiendeleza kitaaluma au kuanza safari ya kujitegemea kifedha mtandaoni, kuwa na ujuzi wa kidigitali ni muhimu. Hapa kuna website 10 bora...
  9. O

    JamiiForums Tanzania Wavumbuzi bora wa Afrika wanaowania Tuzo za Uhandisi 2025. Tanzania tunakwama wapi?

    Wavumbuzi 16 kutoka nchi saba za Afrika wanawania Tuzo ya Ubunifu katika masuala ya Uhandisi Afrika kwa mwaka 2025 ambapo nchi 30 zilituma maombi. Tuzo hii ilianzishwa mwaka 2014, na ni tuzo kubwa zaidi ya ubunifu wa uhandisi barani Afrika, ikitoa ufadhili, uongozi, na mafunzo ili kuwasaidia...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hadi sasa sijaona online outlet hapa TZ ilio bora katika uandaaji wa content na habari hadimu zaidi hawa wanaitwa "The Chanzo". Tunasubiria TV chanel.

    https://youtu.be/oOR7rZHenKg?si=3XnIsvujJ8Er5PQp
  11. Sakwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi bora za wakati wote, za kweli hapa jukwaani

    Aslaam aleykum ! Katika kipindi nilichokuwa humu hawa ni miongoni mwa watu wenyewe visa na mikasa ya kweli na wana vipawa vya kusimulia, Ingekuwa jeshini walikuwa wanapewa nyota na bibi na bwana mabegani,wasimuliaji hawa ni kama ifuatavyo 1 LWANDA MAGERE ,huyu mtu atengwe dunia yake ili tulaza...
  12. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Bora stars wamefungwa. Maana machawa wa CCM Wamevuka Mipaka kwa propaganda

    Ingetokea wameshinda. Yaani ingekiwa samia Samia samia. Makelele kibao. Kwa kweli tusingepumua. Kwa sasa.CCM hawana agenda maalumu tofauti na propaganda kuhadaa watu. Mara wajishike kwa wasanii. Mara.chadema wanaleta ebora kifupi ni siasa za maji taka. Ila.mambo haya yana mwisho wake hasa...
  13. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Nitajie mada yako bora kabisa hapa Jf katika Robo ya kwanza ya mwaka 2025

    Me yangu hii nimei understand sana chuma ni kutoka kwa mtibeli Robertinho.. Thread 'Mambo Makuu yanayoonyesha kuwa wewe ni mwanaume dhaifu na uliyekata tamaa' Mambo Makuu yanayoonyesha kuwa wewe ni mwanaume dhaifu na uliyekata tamaa Kwanini NIMEIPENDA?? Kwa sasa nimerudi kwenye kiini changu...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuduishe Kisowile (Kudu_ze_Kudu): Tunajenga Tanzania bora kwa pamoja, kajiandikishe upate nafasi ya Kupiga Kura

    Tunajenga Tanzania bora kwa pamoja! Jiandikishe kwenye Daftari la Kudumu la Kupiga kura ili kushiriki kikamilifu katika Demokrasia. Dkt. Kuduishe Kisowile Influencer wa Mtandaoni (Kudu_ze_Kudu)
  15. B

    JamiiForums Tanzania Biashara na vyumba vya kupanga kipi bora katika kuwekeza

    Ndugu wa tz habari zenu, Leo naomba mnisaidie mawazo na nyie km nipo sawa au na mm nakosea, Kaka angu alieniachia kuzaliwa ni muajiriwa serikalini sekta ya afya, Aliniomba ushauri kua anataka kuchukua mkopo bank afungue duka la nafaka, Anasema kaenda Bank kuuliza rate ya riba anasema ni kubwa...
  16. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lema: Kuchagua mama bora kwa ajili ya wanao ni muhimu zaidi kuliko kuchagua mke mrembo kwa ajili yako

    "Choosing a good mother for your kids is more important than choosing a beautiful wife for yourself... Please say it again !!!" Godbless Lema
  17. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kati ya bati za ALAF na ANDO zipi ni bora kuliko nyingine?

    Wataaalam wa uezekaji mnaweza kutusaidia Kwa hili. Na vigezo vya ubora ni vipi? Jee Gauge 28(Geji 28) ya Ando ndiyo geji hiyo hiyo Kwa ALAF. Yani kipimo cha geji ni kimoja kwa mabati yote? Kama kipimo cha geji kwa mabati yote ni kimoja, Sasa nini kinacholeta utofauti kwenye mabati toka kwenye...
  18. Nauza Akili

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wangu watano bora serikali ya Mama Samia

    Tunapoelekea uchaguzi Mkuu na kuvunja bunge na serikali,hawa ndio mawaziri wangu bora,ukimtoa Waziri Mkuu mzee wetu Meja. 1. Juma Aweso waziri wa maji haitaji kuelezewa sana kazi yake inaonekana. 2. Innocent Bashungwa huyu ni kiraka anafit wizara yoyote utakayompa he's very Giniasi 3. Dotto...
  19. kiss ov love

    JamiiForums Tanzania Kati ya Oven na Air fryer kipi ni bora?

    Wakuu ninaomba kwa wenye utaalamu wa hivi vitu wanijulishe nataka kifaa cha kuchomea nyama kipi ni bora kati ya hivyo hapo juu? Kwaajili ya matumizi yangu binafsi ya nyumbani.
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwana FA ampongeza Wallace Karia, asema ni "Kiongozi bora kwenye Historia ya TFF"

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma, maarufu Mwana FA amwaga pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Wallace Karia "Nimpongeze Wallace Karia kwa kazi kubwa anayoifanya kwenye mpira wa Tanzania, Kitakwimu hakuna viongozi wa TFF waliofanya vizuri kama...
Back
Top Bottom