Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo.
🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA:
✅ Uhimilishaji kwa nguruwe
✅ Matibabu ya wanyama
✅ Chanjo
✅ Upasuaji
✅ Ramani za mabanda
✅...