binti

Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Binti yangu yupo darasa la 6 tu lakini maziwa yameshalala na yanaendelea kukua kwa kasi ya ajabu!

    Mada hapo juu yahusika. Ni binti mwenye miaka 12 tu lakini hii kasi ya ukuaji wake inanistua mno. Nilizungumza na mama yake ili amchunguze kama ameshaanza haya mambo, mama yake amemchunguza vya kutosha tu na amejiridhisha pasipo na shaka kuwa hata hajaanza. Sikumuamini mama yake, nikamtuma kwa...
  2. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Dola, mdhibitini Barbara la sivyo ataleta sintofahamu kubwa huko mbeleni

    Huwezi kuongelea siasa ya nchi yetu Tanzania pasi na kuwepo vilabu vya Yanga na Simba na huo ndiyo ukweli. Sasa ndani ya Taasisi ya Simba kuna huyo binti Babra ambaye ndiye CEO wa klabu ile hakika ndani ya muda mchache ameshagombana na kila aliyehisi ni kirusi kwenye nafasi yake! Utulivu...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Atupwa jela miaka 30 kwa kumbaka binti yake wa miaka wa miaka 6

    Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemhukumu Kumbuka Mhotelwa kifungo cha miaka 30 jela na kulipa fidia ya Tsh. Milioni Moja baada ya kumtia hatiani kwa kumbaka mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 6. Mhotelwa mwenye umri wa miaka 30 na mkulima akiwa ni mkazi wa Kitwiru, Wilaya ya Iringa...
  4. big dreamer

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Elon Musk aliyebadili jinsia na kuwa binti, ataka kubadili jina kuepuka uhusiano na baba yake

    Binti wa tajiri Elon Musk aliyebadili jinsia yake amewasilisha ombi la kubadilisha jina lake kulingana na utambulisho wa jinsia yake mpya na kwasababu anasema "Siishi au nisingependa kuwa na uhusiano na baba yangu mzazi kwa njia yoyote ile, kwa umbo au muundo." Ombi la kubadilisha majina yake...
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mwana JF, Binti Mdada Mzuri Mrembo, Juliana Shonza, leo ametokelezea sana na amechangia vizuri!. Mshuhudie kupitia Bunge Live!

    Wanabodi Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali. Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo...
  6. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni vigumu sana kuishi na Binti asiye ndugu yako wa damu pamoja. Hivi wake zetu mnalitambua hili?

    Habari wana JF, Waanaume tumeumbwa na macho ya matamanio na ndio mara nyingi hutupelekea kufanya maamuzi mengi ambayo yanakuwa sio sahihi. Hivi mwanaume rijali anawezaje kaa na binti wa kazi ambaye amekomaa na kakamilika vizuri? Kihalisia ni ngumu sana na wengi huishia kuwafanya wake wenza, je...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Ruvuma: Afikishwa mahakamani kwa kuzaa na binti yake. Alimlaghai kwa kumwambia anamtibu kupitia uume wake

    Mkazi wa kijiji cha Luhagala, kata ya Litumbandyosi wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma, Aleyanda Mdendemi (54) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wake wawili na kuzaa na mmoja kati yao. Akisomewa mashtaka hayo na mwendesha mashtaka wa polisi, Inspekta...
  8. my name is my name

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unamjuaje binti alieanza michezo ya kikubwa?

    Hivi unawezaje kumtambua binti alieanza michezo ya kikubwa au alieanza sex? Namaanisha binti ambaye yupo kwenye teenage.
  9. Kiokotee

    JamiiForums Tanzania Natafuta Binti Wa Kulinda Shamba!

    Shamba lipo Dar Akitoka Kanda ya Ziwa itakuwa poa. Sifa: Anaejitambua. Asiwe na Mume labda Mtoto 1 Awe Hajasoma sana,Std 7 Awe tayari kupima Afya Kazi Yake; Kupikia Wafanyakazi wa Shamba Kuhudumia mifugo Usafi wa Nyumba Ulinzi wa eneo husika. Eneo Husika: Ekari 3 Nyumba 2 Kuku,Bata,Mbwa...
  10. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Baba aliyepoteza binti mauaji ya Watoto 19 kuishtaki kampuni ya silaha iliyotumika kuua

    Baba wa mtoto wa miaka 10 aliyeuawa Texas katika shambulizi la lililoua watoto 19 na watu wazima wawili anataka kuishitaki Kampuni ya Daniel Defense ambayo silaha zake ndizo zilizotumika. Alfred Garza ameitaka kampuni hiyo itoe taarifa kuhusu utangazaji wa biashara zao kwa vijana na watoto...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti jiepushe na mambo haya usije kuuawa kwenye mapenzi au ndoa

    Kwema Wakuu! Baada ya kushauri Vijana wa Karne hii ya 21+ mambo ya kuzingatia ili wasijekuuwa na kujiweka matatizoni, Leo nitamalizia na Wanawake ili mambo haya yapungue. Andiko hili nitaliandika Kwa makundi mawili ya watu(wanawake) kundi la Wafuata mifumo ya Kiimani, kundi la pili ni...
  12. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wamepewa silaha kubwa Sana lakini wengi wao hawatumii

    Habari wanajf Unajua Mungu kamuumba Mwanamke nakawaekea silaha kubwa sana, Mwanamke akitumia hizo silaha anaweza kuwin moyo wa mwanaume kirahisi kabisa na Mwanaume kumtii yeye huna haja hata ya kwenda kwa mganga wakati mganga ni wewe mwenyewe. Nyinyi wanawake mna nguvu kubwa kuliko hata sisi...
  13. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Mazingira niliyokutana na huyu binti sikuamini kama atakuwa hivi

    Habari wanajf Ndugu zanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano. Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi. Kama binadamu wengine nikawa...
  14. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Raila Odinga, Rosemary ni mfano wa kuigwa

    Rosemary ni Binti mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Mhesh Raila Odinga Ni mfano wa kuigwa kwa namna anavyojishughulisha kiuchumi bila kujali nafasi kubwa ya Babake anayeongoza kwa kura za maoni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya Agosti 2022. Hongera Kwake
  15. chimamii

    JamiiForums Tanzania Nipokeeni binti mrembo

    Habari zenu mabwana na mabibi, nimekuja jukwaani kushirikiana nanyi. Nikaribisheni basi kwa bashashaa!
  16. Vugu-Vugu

    JamiiForums Tanzania Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

    Nawasalimu kwa jina la JMT, Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki, Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi, Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi...
  17. nyboma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana tafuteni pesa, wikiendi iliyopita binti wa chuo alichonifanyia kwa hotel Dar itabaki kuwa sehemu pendwa ya starehe

    Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla. Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa khalfani n.K
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilipeleka Posa kwa binti mrembo, nimeitwa Kisabengo

    Kwema Wakuu! Tokea Tangazo la Walamba Asali kujitangaza kuwa Mzinga wa nyuki umejaa pomoni ukifurika asali, wakasema huu ndio wakati wa Kula masega ya asali na asali yake. Nilidhamiria kujiunga na umoja wa familia za Walamba Asali kivyovyote. Wapo walionibeza kuwa ninapenda mserereko, wengine...
  19. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu binti atanifanya niwe masikini

    Nimetembelewa na mdada mrembo (pisi kali kweli), kwa sasa anakaribia wiki kukaa hapa kwangu. Anategemea by jumapili ijayo aweze kuondoka. Tangu amefika kwangu, hela imekuwa haitulii. Kila siku hela inatoka tu, na mbaya zaidi anaujauzito wangu unaokaribia mwezi. Leo atakuambia, naomba hela ya...
  20. 666 chata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilighairi kumuoa binti baada ya kugundua amekeketwa

    Wakati flani, miaka kadhaa nyuma nilikutana na binti mrembo, mdogo na mzuri haswa, alikua anatokea kabila flani la watu wa kaskazini wale ambao wapo kama wazungu hivi. Alikua ana utulivu wa akili, mpole na ananitii sana, shida ikawa ni ngumu sana kwenye kufanya mapenzi, nimeshapanga appointments...
Back
Top Bottom