Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,339
51,863
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!

Anaandika, Robert Heriel.

Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa jasho, neno Kula Kwa jasho linamaanisha "kutafuta" ili utafute basi itakupasa usijue kitu unachokitafuta kipo wapi na utakipata lini.

Mzazi unaanzaje kumruhusu Binti yako umpendaye akatafute maisha ambayo hajui yako wapi na atayapata lini, huo ni upumbavu, na kutokumpenda binti yako.

Binti anapaswa akishakua anaandaliwa mazingira ya kuolewa, Kama atakuwa amebahatika kupata kazi basi Alhamdulullah!

Kumruhusu binti akatafute maisha inamaanisha umeruhusu binti yako afanye umalaya,

1. Binti aombe kazi akiwa nyumbani kwako au nyumbani Kwa Ndugu yako unayemuamini bila kujali umri wa binti yako.

2. Usimruhusu binti kupanga chumba na kujitegemea ikiwa hana kazi maalumu, hajaajiriwa.
Mzazi ni Bora umuajiri binti yako mwenyewe ikiwa Ajira zinasumbua kuliko binti ajiajiri mwenyewe akiwa mbali na hapo nyumbani.

3. Binti akifikia umri wa kuolewa, hakikisheni anaolewa iwe Kwa Kupenda mwenyewe au kutokupenda.
Mwambieni umri wa kuolewa umefika, Kama anamchumba amlete nyumbani. Kama hana mwambie mnampa muda Fulani amlete mchumba akishindwa mwambieni mtamtafutia ninyi wenyewe.

4. Ni marufuku binti kufanya kazi za kujidhalilisha utu wake, au zenye mazingira ya kuudhalilisha utu wake. Kama Muziki wa kidunia. Sio binti anafanya vitu vya kipuuzi puuzi na kuanika uchi wake kwenye majukwaa Kama mwendawazimu.

5. Kama binti atapata kazi ya kuajiriwa mbali na nyumbani, akapanga nyumba basi muambieni mtampatia ndugu mdogo WA kuishi naye na kumsaidia kazi.

6. Ni vizuri umuozeshe binti yako Kwa kijana mnayeheshimiana hii itapunguza uonevu, unyanyasaji na hata kutalakiana kusiko Kwa muhimu.
Sio binti aokote wahuni wahuni wa uko mjini wasio ijua hata Imani na maana ya ndoa.

7. Mfanye binti yako akuelewe unataka nini kwake. Hii itapunguza mifarakano baina yako na yeye. Binti Yako asipokuelewa atakuwa mbaya zaidi.

8. Mtiishe mama yake na kumfanya mama yake awe Mke Bora ili aige kutoka Kwa Mama yake.
Mke wako akikushinda basi hata watoto wako watakushinda, hakikisha mkeo umemshepu vile unavyotaka ili isikusumbue katika malezi ya binti zako.
Madhara ya kushindwa kumtiiisha Mkeo utayaona Kwa watoto wako.

9. Usikubali mtu amchezee Binti Yako ungali upo hai.
Hakikisha Jambo hilo binti yako analifahamu. Hiyo itamfanya hata yeye asikubali mtu yeyote amchezee.

Ikiwa utashindwa kumlinda binti yako na kumpigania Kwa nguvu zote basi hata yeye atashindwa kujilinda na kujipigania.
Kitu chochote kisicholindwa kamwe hakiwezi ijua thamani yake. Hivyo hata chenyewe hakitaweza kujilinda.

10. Mfanye binti yako asiwe na Shaka juu ya Maisha. Mwambie hapo nyumbani ni kwao. Asiwe na presha ya kujitegemea kwani mwanamke hapaswi kuwa na fikra hizo. Mwambie, mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake.
Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake.

Kuruhusu mwanamke kutafuta maisha NI Kumtupa kwenye shimo lenye nyoka wakali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Safarini kuelekea Arusha,
 
Safari njema…

Ila uhuni/ umalaya ni tabia ya mtu tu, hata kama yuko nyumbani anaweza akafanya vile vile unless uwe unashinda nae asubuhi mpk usiku…

Imagine baba na mama wote mnatoka kurudi ni jioni/ usiku… na yeye si atatoka kurudi atawafanyia timing.


Muhimu ni malezi..
 
Hayo yalikuwa ni ya enzi za Ujima na yaliwezekana kipindi hicho.

Ila sasa mambo yamebadilika, huwezi kumchagulia binti mtu wa kuolewa nae na wala huwezi kumlazimisha kuolewa.

Kwa kifupi uliyoyaandika karibia yote hayawezekani.
 
Safari njema…

Ila uhuni/ umalaya ni tabia ya mtu tu, hata kama yuko nyumbani anaweza akafanya vile vile unless uwe unashinda nae asubuhi mpk usiku…

Imagine baba na mama wote mnatoka kurudi ni jioni/ usiku… na yeye si atatoka kurudi atawafanyia timing.


Muhimu ni malezi..

Umalaya ni tabia
Lakini tabia hudhibitiwa mapema utotoni.

Malezi ndio kila kitu kwenye Maisha ya binadamu.

Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha mpaka atakapokuwa Mzee.

90% ya tabia mbovu za vijana ni malezi mabovu kutoka Kwa wazazi. Hiyo ipo hivyo popote pale Duniani
 
Hayo yalikuwa ni ya enzi za Ujima na yaliwezekana kipindi hicho.

Ila sasa mambo yamebadilika, huwezi kumchagulia binti mtu wa kuolewa nae na wala huwezi kumlazimisha kuolewa.

Kwa kifupi uliyoyaandika karibia yote hayawezekani.

Kwako na Kwa watu masikini ndio hayawezekaniki.

Ila Familia zote kubwa zinatumia kanuni hizo,
Mtoto umzae mwenyewe alafu akushinde labda uwe umeamua mwenyewe.

Matajiri wote na watawala huchagulia watoto wao watu wa kuwaoa au kuolewa nao.

Jambo linalowashinda wengi/masikini ndilo hilohilo wanalolifanya wachache waliofanikiwa
 
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!

Anaandika, Robert Heriel.

Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa jasho, neno Kula Kwa jasho linamaanisha "kutafuta" ili utafute basi itakupasa usijue kitu unachokitafuta kipo wapi na utakipata lini.

Mzazi unaanzaje kumruhusu Binti yako umpendaye akatafute maisha ambayo hajui yako wapi na atayapata lini, huo ni upumbavu, na kutokumpenda binti yako.

Binti anapaswa akishakua anaandaliwa mazingira ya kuolewa, Kama atakuwa amebahatika kupata kazi basi Alhamdulullah!

Kumruhusu binti akatafute maisha inamaanisha umeruhusu binti yako afanye umalaya,

1. Binti aombe kazi akiwa nyumbani kwako au nyumbani Kwa Ndugu yako unayemuamini bila kujali umri wa binti yako.

2. Usimruhusu binti kupanga chumba na kujitegemea ikiwa hana kazi maalumu, hajaajiriwa.
Mzazi ni Bora umuajiri binti yako mwenyewe ikiwa Ajira zinasumbua kuliko binti ajiajiri mwenyewe akiwa mbali na hapo nyumbani.

3. Binti akifikia umri wa kuolewa, hakikisheni anaolewa iwe Kwa Kupenda mwenyewe au kutokupenda.
Mwambieni umri wa kuolewa umefika, Kama anamchumba amlete nyumbani. Kama hana mwambie mnampa muda Fulani amlete mchumba akishindwa mwambieni mtamtafutia ninyi wenyewe.

4. Ni marufuku binti kufanya kazi za kujidhalilisha utu wake, au zenye mazingira ya kuudhalilisha utu wake. Kama Muziki wa kidunia. Sio binti anafanya vitu vya kipuuzi puuzi na kuanika uchi wake kwenye majukwaa Kama mwendawazimu.

5. Kama binti atapata kazi ya kuajiriwa mbali na nyumbani, akapanga nyumba basi muambieni mtampatia ndugu mdogo WA kuishi naye na kumsaidia kazi.

6. Ni vizuri umuozeshe binti yako Kwa kijana mnayeheshimiana hii itapunguza uonevu, unyanyasaji na hata kutalakiana kusiko Kwa muhimu.
Sio binti aokote wahuni wahuni wa uko mjini wasio ijua hata Imani na maana ya ndoa.

7. Mfanye binti yako akuelewe unataka nini kwake. Hii itapunguza mifarakano baina yako na yeye. Binti Yako asipokuelewa atakuwa mbaya zaidi.

8. Mtiishe mama yake na kumfanya mama yake awe Mke Bora ili aige kutoka Kwa Mama yake.
Mke wako akikushinda basi hata watoto wako watakushinda, hakikisha mkeo umemshepu vile unavyotaka ili isikusumbue katika malezi ya binti zako.
Madhara ya kushindwa kumtiiisha Mkeo utayaona Kwa watoto wako.

9. Usikubali mtu amchezee Binti Yako ungali upo hai.
Hakikisha Jambo hilo binti yako analifahamu. Hiyo itamfanya hata yeye asikubali mtu yeyote amchezee.

Ikiwa utashindwa kumlinda binti yako na kumpigania Kwa nguvu zote basi hata yeye atashindwa kujilinda na kujipigania.
Kitu chochote kisicholindwa kamwe hakiwezi ijua thamani yake. Hivyo hata chenyewe hakitaweza kujilinda.

10. Mfanye binti yako asiwe na Shaka juu ya Maisha. Mwambie hapo nyumbani ni kwao. Asiwe na presha ya kujitegemea kwani mwanamke hapaswi kuwa na fikra hizo. Mwambie, mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake.
Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake.

Kuruhusu mwanamke kutafuta maisha NI Kumtupa kwenye shimo lenye nyoka wakali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Safarini kuelekea Arusha,
Sikuiz ni 50 kwa 50 waache nao wakatafute kwa jasho
 
Kwako na Kwa watu masikini ndio hayawezekaniki.

Ila Familia zote kubwa zinatumia kanuni hizo,
Mtoto umzae mwenyewe alafu akushinde labda uwe umeamua mwenyewe.

Matajiri wote na watawala huchagulia watoto wao watu wa kuwaoa au kuolewa nao.

Jambo linalowashinda wengi/masikini ndilo hilohilo wanalolifanya wachache waliofanikiwa
Duuh mbona unaongea maneno makali ndugu. "Maskini" unapiga kwenye mshono
 
Kwako na Kwa watu masikini ndio hayawezekaniki.

Ila Familia zote kubwa zinatumia kanuni hizo...

Kuna familia bana wamefanya hili, tukashangaaa ila ndiyo hivyo!! Watu tukabaki kusema wana mambo ya kale sana, ila imeunganishwa familia yenye mafanikio na familia iliyofanikiwa zaidi! Hatari

Ila jamaa yangu aliyekuwa anadate kale kabinti kaumia kinoma maana alijiweka kama ndiyo mkewe ajaye!!
 
Maisha ya kizamani hayo.

Kwanini usimruhusu binti ajitegemee??
Akifika umri wa mtu mzima wacha akapambane huko, kukaa ndani kama yai na kusubili kuletewa kila kitu kunamlemaza.

Hao ndo wakiolewa na bahati mbaya waume zao wakafariki mapema baada ndoa hushindwa kuendesha famili kwakua na misingi mibovu, hawezi kitu chochote kile ye kazoea kulishwa kama kinda la ndege.

Ushauri wako unatengeneza kizazi cha wanawake waoga wasioweza kthubutu na kuchangamkia fursa, wanawake waoga wasioweza kutunza familia zao wala kulea watoto wao.
 
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!

Anaandika, Robert Heriel.

Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa jasho, neno Kula Kwa jasho linamaanisha "kutafuta" ili utafute basi itakupasa usijue kitu unachokitafuta kipo wapi na utakipata lini.

Mzazi unaanzaje kumruhusu Binti yako umpendaye akatafute maisha ambayo hajui yako wapi na atayapata lini, huo ni upumbavu, na kutokumpenda binti yako.

Binti anapaswa akishakua anaandaliwa mazingira ya kuolewa, Kama atakuwa amebahatika kupata kazi basi Alhamdulullah!

Kumruhusu binti akatafute maisha inamaanisha umeruhusu binti yako afanye umalaya,

1. Binti aombe kazi akiwa nyumbani kwako au nyumbani Kwa Ndugu yako unayemuamini bila kujali umri wa binti yako.

2. Usimruhusu binti kupanga chumba na kujitegemea ikiwa hana kazi maalumu, hajaajiriwa.
Mzazi ni Bora umuajiri binti yako mwenyewe ikiwa Ajira zinasumbua kuliko binti ajiajiri mwenyewe akiwa mbali na hapo nyumbani.

3. Binti akifikia umri wa kuolewa, hakikisheni anaolewa iwe Kwa Kupenda mwenyewe au kutokupenda.
Mwambieni umri wa kuolewa umefika, Kama anamchumba amlete nyumbani. Kama hana mwambie mnampa muda Fulani amlete mchumba akishindwa mwambieni mtamtafutia ninyi wenyewe.

4. Ni marufuku binti kufanya kazi za kujidhalilisha utu wake, au zenye mazingira ya kuudhalilisha utu wake. Kama Muziki wa kidunia. Sio binti anafanya vitu vya kipuuzi puuzi na kuanika uchi wake kwenye majukwaa Kama mwendawazimu.

5. Kama binti atapata kazi ya kuajiriwa mbali na nyumbani, akapanga nyumba basi muambieni mtampatia ndugu mdogo WA kuishi naye na kumsaidia kazi.

6. Ni vizuri umuozeshe binti yako Kwa kijana mnayeheshimiana hii itapunguza uonevu, unyanyasaji na hata kutalakiana kusiko Kwa muhimu.
Sio binti aokote wahuni wahuni wa uko mjini wasio ijua hata Imani na maana ya ndoa.

7. Mfanye binti yako akuelewe unataka nini kwake. Hii itapunguza mifarakano baina yako na yeye. Binti Yako asipokuelewa atakuwa mbaya zaidi.

8. Mtiishe mama yake na kumfanya mama yake awe Mke Bora ili aige kutoka Kwa Mama yake.
Mke wako akikushinda basi hata watoto wako watakushinda, hakikisha mkeo umemshepu vile unavyotaka ili isikusumbue katika malezi ya binti zako.
Madhara ya kushindwa kumtiiisha Mkeo utayaona Kwa watoto wako.

9. Usikubali mtu amchezee Binti Yako ungali upo hai.
Hakikisha Jambo hilo binti yako analifahamu. Hiyo itamfanya hata yeye asikubali mtu yeyote amchezee.

Ikiwa utashindwa kumlinda binti yako na kumpigania Kwa nguvu zote basi hata yeye atashindwa kujilinda na kujipigania.
Kitu chochote kisicholindwa kamwe hakiwezi ijua thamani yake. Hivyo hata chenyewe hakitaweza kujilinda.

10. Mfanye binti yako asiwe na Shaka juu ya Maisha. Mwambie hapo nyumbani ni kwao. Asiwe na presha ya kujitegemea kwani mwanamke hapaswi kuwa na fikra hizo. Mwambie, mwanamke ananyumba mbili, Kwao na Kwa mume wake.
Wakati mwanaume hana nyumba hata moja. Hata alizojenga sio zake.

Kuruhusu mwanamke kutafuta maisha NI Kumtupa kwenye shimo lenye nyoka wakali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Safarini kuelekea Arusha,
Sikuizi ni 50 kwa 50 waache nao wakatafute kwa jasho
 
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!

Anaandika, Robert Heriel.

Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha...

Point namba 5, hiyo ni ngumu! Binti akianza kazi mpe maneno ya kumuongoza, kuanza maisha kwa kumpa majukumu nadhani haiko sawa! Unless, akianza maisha hakikisha mzazi kuna hatua za awali umemvusha. Siyo anawaza kununua kitanda tayari ana ndugu analea 😀😀🤣
 
Namba 3 unasema binti akifika umri wa kuolewa basi aolewe iwe ni kwa kupenda au kwa kulazimishwa, tena ukasisitiza ikiwa hajapata wa kumuoa basi wazazi wamtafutie mwanaume.

Namba 6 unadai mzazi ahakikisha mtoto wake anaolewa na mtu anayeeelewana nae, anaempenda na mwenye kujuia thamani ya ndoa, unadhani huyo mtu anaweza kupatikana tukiamua kutumia hiyo stratagy ya 3?

Huoni kama hizo aya mbili tayari hazirandani? Kwanza umri wa binti kuolewa ni upi, maana mimi sidhani kama upo fixed.
 
Back
Top Bottom