Grace Jerryson
New Member
- Jul 23, 2022
- 2
- 1
Habari zenu jamani. Natafuta Binti wa kazi, Eneo ni Dar es salaam (Mbweni) ! Binti awe na uwezo wa kusoma na kuandika, umri kuanzia miaka 18. Kazi ni ya kuish hukuhuku na nyumba haina watoto. Mshahara maelewano.
0692917101 (call or whatsap tu)
0692917101 (call or whatsap tu)