Geng Bingwa (Chinese: 耿冰娃; pinyin: Gěng Bīngwá; born January 3, 1994) is a Chinese figure skater. She won the silver medal in 2008 and 2011 at the Chinese Figure Skating Championships, and reached the free skate at five International Skating Union Championships.
Chelsea hawakubahatisha kubeba ubingwa wa UEFA, kwa maana hiyo watabeba tena back to back, kiuhalisia ulaya nzima hakuna kocha world class wa kubattle na Tuchel kimbinu, hilo limedhihirika last season, sababu alifungwa na makocha wenye cv ndogo wasio na tictics yaan makocha wanaofundisha soka la...
BAADA ya Simba kukabidhiwa kombe la ubingwa wa FA bila zawadi ya pesa, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema itakabidhiwa fedha wakati wowote.
Simba imetwaa ubingwa wa kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya kuichapa Yanga bao 1-0 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, juzi.
Baada...
Atakumbukwa hasa kwa jarida la siasa the weekly review miaka ya themanini na Documentary Making of the Nation inayooneshwa na kituo cha NTV Kenya. Mkenya wa kwanza kujiunga na chuo cha havard marekani aliposome fizikia(Nuclear physics)
Mungu amlaze pema peponi.
---
Hilary Ng’weno, the...
Hii ni kufuatia wananchi kuonesha shaka kuhusu afya ya Rais wao aliyepo madarakani kuonesha ana changamoto kubwa ya kumbukumbu.
Na sasa pia daktari bingwa Ronny Jackson aliyewahi kuwa daktari binafsi wa marais Barack Obama na Donald Trump walipokuwa madarakani, kuona ni muhimu Rais Joe Biden...
Hayati Rais Mstaafu 'Genius' Benjamin William Mkapa aliwahi kusema kuwa Siku zote Kupanga ni Kuchagua.
Mna Maamuzi mawili tu ya ama msipeleke Timu katika 'Derby' ya tarehe 3 July, 2021 ili Kanuni zifuatwe na Simba SC apewe alama (points) 3 na Goli 3 atangazwe 'Bingwa' rasmi.
Au muamue kupeleka...
Ni kweli mbinu za Thomas zitawasumbua makocha wengi barani Ulaya au ndo kakutana na ganda la ndizi?
---
Chelsea win the Champions League with a 1-0 victory over Manchester City in Porto Credit: Alexander Hassenstein/Uefa via Getty Images
Nothing less than a revolution against the Pep...
Inter Milan imetwaa ubingwa wa Italy baada ya miaka 11 kupita na kumaliza utawala wa Juventus ambayo imetwaa ubingwa kwa Mara kumi(10) mfululizi.
Mara ya mwisho inter kutwaa ubingwa ni msimu 2010/11 Chini ya kocha Mourinho na leo imetwaa ubingwa chini ya kocha Antonio Conte baada ya Atalanta...
Mimi ni shabiki wa timu ya simba Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wadau mbalimbali wakitaka kocha wa simbs amtumie Kagere badala ya Mugalu Ila wengi wanaendeshwa na mihemko. Naomba niwalinganishe watu wawili kagere Na Mugalu.
Kagere udhaifu
1. Kwanza hajui Kukaba
2...
Generalist nikiwa ' nawachana ' Yanga SC hapa JamiiForums huwa mnasema ' nawachukia ' kwakuwa Mimi ni Simba SC sasa leo kupitia Wasafi FM mwana Yanga SC Mwenzenu na Msemaji wenu wa zamani DC wa Arumeru Jerry Muro ' kawachana ' makavu kabisa.
Mkiambiwa Yanga SC kuna shida muwe mnatuelewa sawa...
Wakuu nipo mkoani Tanga nilikuja kwa shughuli maalum ya kushuhudia pambano Kali la kutafuta bingwa wa draft mkoa tanga fainali siku ya Jana jion ilitakiwa kupigwa Kati ya bwana Mtaleban dhidi ya dogo yassin.
Duru zote zilikua zinaonyesha kua bwana Mtaleban angeenda kuutema ubingwa wake wa mkoa...
Simba 4-1 as vital
Al merehk 2-2 alhaly kwa matokeo haya rasmi simba anakua kinara wa kundi kwan mechi ya mwisho watakapo kutana simba na alhaly ata kama simba atafungwa atabaki kua kinara kwani akuna wa kumfikia kwa point msimamo upo ivi
Simba p 13
Alhaly p 8
As vital P 4
All merekh p 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.