hiram
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 266
- 393
Mara zote simba akiwa nafasi ya pili kwenye ligi maneno ya mashabiki wao ni "Nyie tangulieni na baiskeli za miti! Mwaka jana mlianza hivyo hivyooo baadae tukawapindua!"
Simba anapokuwa anaongoza ligi maneno ya mashabiki wake ni "KILA MTU SHINDE MECHI ZAKE"
Sasa mimi niko na hili la pili la KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
Simba ana alama 37 bado mechi 13 akishinda zote atapata alama 39 na jumla atakuwa na alama 76 ili Yanga atangazwe bingwa kwa mahesabu ya hivi sasa anatakiwa awe na alama 77 tayari ana alama 45 kwa hiyo bado alama 32 ambazo anaweza kuzipata kwa mechi 11
Hata hivyo iwapo atamfunga Simba katika mechi ya watani wa jadi basi itahitajika mechi kumi tu (10).
Simba anapokuwa anaongoza ligi maneno ya mashabiki wake ni "KILA MTU SHINDE MECHI ZAKE"
Sasa mimi niko na hili la pili la KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
Simba ana alama 37 bado mechi 13 akishinda zote atapata alama 39 na jumla atakuwa na alama 76 ili Yanga atangazwe bingwa kwa mahesabu ya hivi sasa anatakiwa awe na alama 77 tayari ana alama 45 kwa hiyo bado alama 32 ambazo anaweza kuzipata kwa mechi 11
Hata hivyo iwapo atamfunga Simba katika mechi ya watani wa jadi basi itahitajika mechi kumi tu (10).