Yanga acheni utapeli, Mechi za Club bingwa hazitakiwi kuwa na watazamaji

kasenene

JF-Expert Member
Jun 6, 2008
1,632
2,413
Nimeona na kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo Club ya Yanga wakitangaza viingilio vya mechi yao ya Jumapili ili khali wakijua wazi kuna zuio kutoka CAF kwa vilabu vyoote vinavyoshiriki michuano ya CAF kutoingiza watazamaji..

Jambo la kushangaza pamoja na maagizo hayo bado Club ya Yanga wamejifanya kuziba masikio kwa kigezo kuwa wameandika barua ya kuomba waruhusiwe waingize watazamaji (sijui wanatumia vigezo gani kwani pamoja na zuio hilo la CAF pengine Yanga alimaarufu Utopolo hawafahamu kuwa nchi yetu ipo kwenye list ya nchi ambazo zimewekewa mstari mwekundu kwa kushindwa kukabiliana vyema na janga la Corona hivyo hata kama CAF wangeruhusu baadhi ya Club kuingiza watazamaji sio za kwetu Tanzania kutokana na uzembe wetu katika kukabiliana na gonjwa la Corona.

Agalizo: tunajua mamlaka za serikali wanaona haya yanataka kufanywa na Yanga, wasikae kimya na kusubiri wawapige ela wananchi na baadae kuwadanganya kuwa ticketi zilizokatwa zitatumika mechi ya watani wa jadi December manake najua ndio akili yao kwani wanajua wazi wanigeria watawatoa na wameshakula ela ya wananchi wanafanyaje.. pia kelele zinazoendelea sasa za kuwaadaa wananchi lengo ni kuendelea kuuza jezi.
 
Nimeona na kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo Club ya Yanga wakitangaza viingilio vya mechi yao ya Jumapili ili khali wakijua wazi kuna zuio kutoka CAF kwa vilabu vyoote vinavyoshiriki michuano ya CAF kutoingiza watazamaji..

Jambo la kushangaza pamoja na maagizo hayo bado Club ya Yanga wamejifanya kuziba masikio kwa kigezo kuwa wameandika barua ya kuomba waruhusiwe waingize watazamaji (sijui wanatumia vigezo gani kwani pamoja na zuio hilo la CAF pengine Yanga alimaarufu Utopolo hawafahamu kuwa nchi yetu ipo kwenye list ya nchi ambazo zimewekewa mstari mwekundu kwa kushindwa kukabiliana vyema na janga la Corona hivyo hata kama CAF wangeruhusu baadhi ya Club kuingiza watazamaji sio za kwetu Tanzania kutokana na uzembe wetu katika kukabiliana na gonjwa la Corona.

Agalizo: tunajua mamlaka za serikali wanaona haya yanataka kufanywa na Yanga, wasikae kimya na kusubiri wawapige ela wananchi na baadae kuwadanganya kuwa ticketi zilizokatwa zitatumika mechi ya watani wa jadi December manake najua ndio akili yao kwani wanajua wazi wanigeria watawatoa na wameshakula ela ya wananchi wanafanyaje.. pia kelele zinazoendelea sasa za kuwaadaa wananchi lengo ni kuendelea kuuza jezi.
Kwa hiyo unataka kusema kua 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 hawajui wanachokifanya?
 
Wewe jamaa una matatizo ya kufikiria. Yanga ingekuwa wamepukurupuka basi ungeona wakitoa taarifa za upatikanaji wa tiketi tokea mapema sana, tokea jumanne au jumatano ingekuwa tayari wamepost tiketi zinapopatikana na za sh ngapi. Lakini imekuwa kimya kwa muda mrefu ili kufatilia ruksa kutoka CAF. Hivyo mpaka imefikia leo kupost kuhusu tiketi maana yake ruhusa iliyokuwa unasubiriwa kutoka CAF wameshapewa. Usijifanye wewe mjuaji wa Covid-19 kuliko hao CAF
 
Nimeona na kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo Club ya Yanga wakitangaza viingilio vya mechi yao ya Jumapili ili khali wakijua wazi kuna zuio kutoka CAF kwa vilabu vyoote vinavyoshiriki michuano ya CAF kutoingiza watazamaji..

Jambo la kushangaza pamoja na maagizo hayo bado Club ya Yanga wamejifanya kuziba masikio kwa kigezo kuwa wameandika barua ya kuomba waruhusiwe waingize watazamaji (sijui wanatumia vigezo gani kwani pamoja na zuio hilo la CAF pengine Yanga alimaarufu Utopolo hawafahamu kuwa nchi yetu ipo kwenye list ya nchi ambazo zimewekewa mstari mwekundu kwa kushindwa kukabiliana vyema na janga la Corona hivyo hata kama CAF wangeruhusu baadhi ya Club kuingiza watazamaji sio za kwetu Tanzania kutokana na uzembe wetu katika kukabiliana na gonjwa la Corona.

Agalizo: tunajua mamlaka za serikali wanaona haya yanataka kufanywa na Yanga, wasikae kimya na kusubiri wawapige ela wananchi na baadae kuwadanganya kuwa ticketi zilizokatwa zitatumika mechi ya watani wa jadi December manake najua ndio akili yao kwani wanajua wazi wanigeria watawatoa na wameshakula ela ya wananchi wanafanyaje.. pia kelele zinazoendelea sasa za kuwaadaa wananchi lengo ni kuendelea kuuza jezi.
Mpaka leo asbh Haji Manara anatoka kwenye viunga vya Wasafi Media, Caf hawakuwa wametoa maelekezo yoyote juu ya mashabiki kama wataingia au lah licha ya Club ya Yanga kuwaandikia barua Caf kupitia TFF barua 3 lakini Caf hawakutoa majibu yoyote.
 
Nimeona na kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo Club ya Yanga wakitangaza viingilio vya mechi yao ya Jumapili ili khali wakijua wazi kuna zuio kutoka CAF kwa vilabu vyoote vinavyoshiriki michuano ya CAF kutoingiza watazamaji..

Jambo la kushangaza pamoja na maagizo hayo bado Club ya Yanga wamejifanya kuziba masikio kwa kigezo kuwa wameandika barua ya kuomba waruhusiwe waingize watazamaji (sijui wanatumia vigezo gani kwani pamoja na zuio hilo la CAF pengine Yanga alimaarufu Utopolo hawafahamu kuwa nchi yetu ipo kwenye list ya nchi ambazo zimewekewa mstari mwekundu kwa kushindwa kukabiliana vyema na janga la Corona hivyo hata kama CAF wangeruhusu baadhi ya Club kuingiza watazamaji sio za kwetu Tanzania kutokana na uzembe wetu katika kukabiliana na gonjwa la Corona.

Agalizo: tunajua mamlaka za serikali wanaona haya yanataka kufanywa na Yanga, wasikae kimya na kusubiri wawapige ela wananchi na baadae kuwadanganya kuwa ticketi zilizokatwa zitatumika mechi ya watani wa jadi December manake najua ndio akili yao kwani wanajua wazi wanigeria watawatoa na wameshakula ela ya wananchi wanafanyaje.. pia kelele zinazoendelea sasa za kuwaadaa wananchi lengo ni kuendelea kuuza jezi.
Haji
Screenshot_20210910-221138_Instagram.jpg
 
Nimeona na kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo Club ya Yanga wakitangaza viingilio vya mechi yao ya Jumapili ili khali wakijua wazi kuna zuio kutoka CAF kwa vilabu vyoote vinavyoshiriki michuano ya CAF kutoingiza watazamaji..

Jambo la kushangaza pamoja na maagizo hayo bado Club ya Yanga wamejifanya kuziba masikio kwa kigezo kuwa wameandika barua ya kuomba waruhusiwe waingize watazamaji (sijui wanatumia vigezo gani kwani pamoja na zuio hilo la CAF pengine Yanga alimaarufu Utopolo hawafahamu kuwa nchi yetu ipo kwenye list ya nchi ambazo zimewekewa mstari mwekundu kwa kushindwa kukabiliana vyema na janga la Corona hivyo hata kama CAF wangeruhusu baadhi ya Club kuingiza watazamaji sio za kwetu Tanzania kutokana na uzembe wetu katika kukabiliana na gonjwa la Corona.

Agalizo: tunajua mamlaka za serikali wanaona haya yanataka kufanywa na Yanga, wasikae kimya na kusubiri wawapige ela wananchi na baadae kuwadanganya kuwa ticketi zilizokatwa zitatumika mechi ya watani wa jadi December manake najua ndio akili yao kwani wanajua wazi wanigeria watawatoa na wameshakula ela ya wananchi wanafanyaje.. pia kelele zinazoendelea sasa za kuwaadaa wananchi lengo ni kuendelea kuuza jezi.
Hilo tangazo sio la yanga ni wahuni wameghushi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nimeona na kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo Club ya Yanga wakitangaza viingilio vya mechi yao ya Jumapili ili khali wakijua wazi kuna zuio kutoka CAF kwa vilabu vyoote vinavyoshiriki michuano ya CAF kutoingiza watazamaji..

Jambo la kushangaza pamoja na maagizo hayo bado Club ya Yanga wamejifanya kuziba masikio kwa kigezo kuwa wameandika barua ya kuomba waruhusiwe waingize watazamaji (sijui wanatumia vigezo gani kwani pamoja na zuio hilo la CAF pengine Yanga alimaarufu Utopolo hawafahamu kuwa nchi yetu ipo kwenye list ya nchi ambazo zimewekewa mstari mwekundu kwa kushindwa kukabiliana vyema na janga la Corona hivyo hata kama CAF wangeruhusu baadhi ya Club kuingiza watazamaji sio za kwetu Tanzania kutokana na uzembe wetu katika kukabiliana na gonjwa la Corona.

Agalizo: tunajua mamlaka za serikali wanaona haya yanataka kufanywa na Yanga, wasikae kimya na kusubiri wawapige ela wananchi na baadae kuwadanganya kuwa ticketi zilizokatwa zitatumika mechi ya watani wa jadi December manake najua ndio akili yao kwani wanajua wazi wanigeria watawatoa na wameshakula ela ya wananchi wanafanyaje.. pia kelele zinazoendelea sasa za kuwaadaa wananchi lengo ni kuendelea kuuza jezi.
Tuko kwenye msiba
 
Hivi kwa nini ukiwa shabiki wa yanga unakuwa huna akili? Huwa najiuliza sana mfano mdogo tu biashara united pamoja na ugeni wao wamekamilisha itc za wachezaji wao lkn mabingwa wa kihistoria wanashindwa halafu mashabiki wanachekacheka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom