WAZEE WA SAMBA BALL, ni miaka 20 iliyopita tokea Brazil itwae Kombe la Dunia kwenye ardhi ya Japan na Korea ikiwa na nyota pendwa Ronaldo de Lima, Rivaldo, Cafu, Zee la mashuti Roberto Carlos, Dida, Gilbeto Silva bila kumsahau Ronaldinho Gaucho hakika Brazil ni taifa lililojaliwa vipaji lukuki vya soka toka soka linaanzishwa.
Kwa miaka za hivi karibuni Brazil imekuwa ikifanya uzembe kwa kutotwaa makombe pendwa na hii imewafanya mashabiki wailaumu sana, ukiangalia Brazil ni taifa ambalo % kubwa wachezaji wengi wanacheza Ulaya tena klabu vikubwa vinavyocheza ligi kubwa EPL, Laliga, Seria A nk.
Tokea Brazil ifahamike inajua soka na vipaji vya hali ya juu wachezaji wamekuwa wakilewa sifa kwa kiasi kikubwa na hii ikipelekea kupoteza mechi mfano ukiangalia nyota wa sasa Neymar ni mchezaji mzuri na kipaji kikubwa kinachomuharibu ni utoto wake.
Sasa kuelekea World Cup 2022 safari hii Brazil imepania hawatafanya uzembe na kulewa sifa kama miaka iliyopita, ukiangali takwimu Brazil toka mechi za kufuzu zianze kule America Kusini, Brazil kashinda mechi 24 kati ya 27 na sare 3 na ameongoza kundi. Hivyo, safari hii inashauku na nia ya kufanya vizuri na kutwaa taji.
Ngoja tusubiri!
Kwa miaka za hivi karibuni Brazil imekuwa ikifanya uzembe kwa kutotwaa makombe pendwa na hii imewafanya mashabiki wailaumu sana, ukiangalia Brazil ni taifa ambalo % kubwa wachezaji wengi wanacheza Ulaya tena klabu vikubwa vinavyocheza ligi kubwa EPL, Laliga, Seria A nk.
Tokea Brazil ifahamike inajua soka na vipaji vya hali ya juu wachezaji wamekuwa wakilewa sifa kwa kiasi kikubwa na hii ikipelekea kupoteza mechi mfano ukiangalia nyota wa sasa Neymar ni mchezaji mzuri na kipaji kikubwa kinachomuharibu ni utoto wake.
Sasa kuelekea World Cup 2022 safari hii Brazil imepania hawatafanya uzembe na kulewa sifa kama miaka iliyopita, ukiangali takwimu Brazil toka mechi za kufuzu zianze kule America Kusini, Brazil kashinda mechi 24 kati ya 27 na sare 3 na ameongoza kundi. Hivyo, safari hii inashauku na nia ya kufanya vizuri na kutwaa taji.
Ngoja tusubiri!