Wanazuoni wa kiislam, wanaelimisha kuwa ni vyema muislam kujiepusha na aina zote za Bima Aidha iwe ya afya, chombo cha moto, nyumba, biashara n. K
Bima ni gambling tu, yaani pata potea,
Kwa tafsiri ya kiislam ni kamari maana unaweza pata usichostahiri
Mfano unaweza kuweka Bima laki 5...