biashara

  1. Ongezeko la huduma za kijamii kama biashara -haki inayotakiwa kuwekewa mipaka

    Sasa ni rasmi kuwa nchi imeendelea na ustawi wa watu umeanza kuonekana. Mwalimu Nyerere na Mzee wetu Karume wanaweza kuwa wanafuraha huko walipo miaka 61 ya Muungano Serikali zote zimejitahidi kuleta maendeleo. Ikumbukwe kuwa wapo maadui watatu waliowahi kutangazwa miaka hiyo yaani ujinga...
  2. R

    Hivi hizi njemba zinazoiga iga biashara mna deal nazo vipi, mtu anakuja kufungua biashara kama yako pembeni yako

    Umeumiza kichwa kuanzisha biashara yako, si kwa lelemama, si kwa bahati nasibu, umekesha sana usiku kwasababu ya kufanya research, ulichunguza location, ukapima mzunguko wa wateja, ukapanga jinsi bidhaa zako zitakavyokaa, ukafikiria bei ambayo inaweza kuvutia wateja, ukajifunza mbinu bora za...
  3. Dkt. Aneth Komba: Somo la Elimu ya Biashara ni la lazima kulingana na maboresho ya Mtaala

    Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba amesema somo la Elimu ya Biashara ni la lazima kulingana na maboresho ya Mtaala ulioanza kutekelezwa Januari 2024. Akifungua kikao kazi cha siku mbili cha Makatibu Tawala wa Mikoa na maafisa Elimu kilicholenga kujadili...
  4. Je, ni utaratibu upi unaotumika kuivisha ndizi za biashara kwa haraka? Je utaratibu huo una faida na hasara zipi kiafya?

    Je, ni utaratibu upi unaotumika kuivisha ndizi za biashara? Kuna jambo la kutatiza kiasi kuhusiana na ndizi za biashara, kawaida ndizi huchukuwa muda wa angalao siku nne kuiva, laiki uivaji wake ni ule wa maganda kubadilika kutoka kijani na kuelekea kijani kilichofifia lakini baada ya hapo...
  5. S

    Biashara ya dagaa nyama

    Natafuta watu mbalimbali wa kufanya nao bishara wa dagaa nyama .mimi nipo kilwa nazalisha dagaa nyama nimeanza mda kidogo lakini sina wateja wa kutosha natamani nipate mtu kwa baadhi ya sehemu nice nawapelekea mzigo sehemu kama dar es salaam. Kibaha morogoro dodoma chalinze na kwengine
  6. App tano unazotakiwa kuwa nazo kama mfanya biashara

    Kama wewe ni mmiliki wa biashara ndogo, kuna apps ambazo ni lazima uwe nazo kwenye simu yako. App hizi zinaweza kukuokolea muda, kukuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kukurahisishia maisha ya kila siku kwenye biashara yako. Nakuwekea list ya app hizi tano ambazo hautakiwi kuzikosa kabisa...
  7. B

    Frem ya biashara Mwanza

    kwa yule mwenye uhitaji wa frem ya biashara ipo nyingine hapa mwanza mjini kati.. KUBWA KUBWA na iko barabaran ** iko prime area ** main road ( barabara kuu) ** mjini kati biashara iliyopo ni nzuri,, kipato chake ( faida ) kwa mwezi ni kuanzia milioni 2.5 hadi 3.5 ina biashara tayari...
  8. Ufanyaji wa biashara holela

    Habarini wana nzengo, Nichukue fursa hii kutahadharisha kile kinachoendelea nchini na mamlaka husika zinafumbua macho na wala hazichukui hatua stahiki. Inashangaza kwamba kwenye miji mingi nchini biashara hufanywa holela pasipo kuzingatia sehemu husiku, na hivyo utakuta wafanyabiashara...
  9. Biashara gani ata ukiyumba kiasi gani msingi wako una baki palepale?

    Wakuu kuna biashara ukifanya ukipata changamoto yoyote kidogo tu itakuitaji kukopa ili kuongeza mtaji, naitaj biashara ata nikifanya matumizi makubwa, ila msingi haupotei nasoma comment.
  10. Tunaelekea Wapi? Umuhimu wa Crypto Kama Njia ya Malipo kwa Biashara Ndogo Tanzania

    Tumekuwa tukisikia habari au taarifa nyingi sana kuhusu cryptocurrency na blockchain. Neno Bitcoin limekuwa likitawala kwenye vinywa vya wengi, hususan vijana na wafuatiliaji wa teknolojia, lakini hadi sasa, bado ni watu wachache sana walioelewa kikamilifu maana na matumizi halisi ya teknolojia...
  11. Kwanini (Matangazo ya kulipia) Paid Ads Ni Muhimu kwa Biashara Yako?

    Kama unategemea tu kupost status au content bila kulipia matangazo, basi upo kwenye hatari kubwa. Organic reach ya leo ni ndogo sana! Unahitaji nguvu ya PAID ADS kama unataka kufikia watu wengi haraka. Kwanini (Matangazo ya kulipia) Paid Ads Ni Muhimu kwa Biashara Yako? 1. Unawafikia watu...
  12. J

    Mgogòro wa biashara na Malawi: wamalawi waja juu.

    Hamkani hali sio shwari. Hatua ya waziri Bashe imeibua hisia kali za wamalawi dhidi ya tanzania. Ikitajwa kuwa inafanya bullying https://www.nyasatimes.com/opinion-tanzania-is-a-bully-lets-rally-behind-vitumbiko-mumba-and-stand-for-malawi/
  13. Sheikh adai dini iko kinyume dhidi ya biashara ya kuuza maji.

  14. Kwa nini mfanyabiashara yeyote anayeanza kujitafuta anatakiwa kusajili jina la biashara?

    Kwa nini mfanyabiashara yeyote anayeanza kujitafuta anatakiwa kusajili jina la biashara? Kuna biashara nyingi mitaani zinafanya vizuri – zina wateja, zina jina zuri lakini hazijasajiliwa. Watu wanadhani kusajili jina ni kwa matajiri au makampuni makubwa. Hii siyo kweli. 👇1 Kusajili jina...
  15. App za biashara

    Habari Mimi ni kijana mpambanaji App gani kwa sasa nzuri za kuuza na kununua bidhaa mtandaoni Mfano kupatana
  16. M

    Ndugu zangu watanzania kwaherini, naenda zangu Palestina kufanya biashara ya vyuma chakavu!

    Nimechoshwa na swaga za ccm eti tumeleta maendeleo, maendeleo yepi hayo? ya kukamata wapinzani na kuwasweka lupango na kuwalazimisha watu wote wawe ccm utadhani watu wote wanapenda jehanamu Maana kazi nyingi izifanyazo ccm ni za jehanamu Naenda zangu Palestina (Gaza) kuuza vyuma chakavu...
  17. Kwa nini Mfanyabiashara anayejitafuta anapaswa kusajili jina la Biashara?

    Katika safari ya kujitafuta kupitia biashara, kuna hatua ambazo huweza kukuinua haraka au kukugharimu muda, jina, na hata fedha zako. Moja ya hatua za msingi kabisa ambazo kila mjasiriamali anayejitambua anapaswa kuchukua ni kusajili jina la biashara. Hii si tu kwa ajili ya kufuata sheria...
  18. Itakuwepo changamoto ya kulinda biashara katikati ya Jiji watu wakiandamana kesho kutwa

    Maeneo yale ya Maktaba ni katikati ya Jiji. Na watu wengine ikitokea vurugu huwa hawaoni haya kupora vitu. Kwa maana hiyo watu wengi wakikusanyika pale amani lazima idumishwe.
  19. Ushawai kufanyia kazi ushauri wa kibiashara kutoka kwa mtu ambaye biashara hiyo haifanyi wala hana ujuzi nayo ?

    MIMI PIA 🥺 tena nikaumia sana kuja kuona mtaji wangu ndio wa majaribio.Hiyo ilikuwa 2024 kariakoo. Hapa kuna mfano mwingine wa ujumbe wa kuhamasisha watu kununua kitabu chako: Nikasema imetosha kama hivi leo ambavyo utasema imetosha .Twende na mradi bomba sana huu hapa chini ujifunze kwanza...
  20. Pendekezo la ushirikiano wa Biashara ununuzi wa ufuta

    1. Utangulizi Mimi naitwa Ibrahimu Juma, mkazi wa wilaya ya Masasi, mkoa wa Mtwara. Ninatafuta fursa ya kushirikiana na mfadhili katika biashara ya ununuzi wa ufuta — zao muhimu linalopatikana kwa wingi katika eneo ninakoishi. Lengo langu ni kuwa wakala wa ununuzi kwa niaba ya mfadhili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…