Miradi mikubwa inajengwa Chato. Rais anashinda Chato, Watendaji wa ngazi za juu wa kitaifa wapo Chato muda wote.
Marais wa nchi ama viongozi waandamizi wa serikali wa mataifa mbalimbali wanakuja Chato kuonana na rais wetu.
Wakati huo huo Chato imetangazwa kuwa kitovu cha utalii, na usafiri wa ndege kwenda Chato umezinduliwa hivi karibuni. Kwahiyo fedha yote ya nchi ipo Chato.
Nakushangaa wewe unayeendelea kuishi maeneo mengine ya nchi hii ukiendelea kupigika wakati Chato kuna neema kubwa.
Pesa iko Chato. Nasema uwongo ndugu zangu?
Marais wa nchi ama viongozi waandamizi wa serikali wa mataifa mbalimbali wanakuja Chato kuonana na rais wetu.
Wakati huo huo Chato imetangazwa kuwa kitovu cha utalii, na usafiri wa ndege kwenda Chato umezinduliwa hivi karibuni. Kwahiyo fedha yote ya nchi ipo Chato.
Nakushangaa wewe unayeendelea kuishi maeneo mengine ya nchi hii ukiendelea kupigika wakati Chato kuna neema kubwa.
Pesa iko Chato. Nasema uwongo ndugu zangu?