biashara

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi Shishi Food na Nenga Tronix walikuwa na Bima kwenye Biashara zao au ndio tujiandae kuwachangia?

    Mgahawa wa Shishi Food unaomilikiwa na mwanadada mrembo Shilole na duka la electronic la Nenga Tronix linalomilikiwa na msanii machachali Billnass, vilishika moto kipindi mtandao umezimwa. Chanzo cha moto bado hakijajulikana, nadhani uchunguzi utafanyika. Sasa swali langu, hawa jamaa watakua...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Polisi wanalazimisha biashara ns nyumba zenye cctv kufuta picha.

    Kama una cctv ambayo imechukua picha zozote za maandamano, tafadhali hamisha hizo picha haraka na kuzitunza. Wanataka dunia isijue kilichotokea. Kama una ndugu Unajua ana cctv mfikishie ujumbe. Wa record hizo taarifa zote na kuzificha. Polisi wanaanza kupita kwenye biashara za watu kufuta...
  3. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Ulipoanza biashara yako,watu wa karibu[marafiki,ndugu] mwitikio wao ulikuwaje?

    Habari za wekeend wanajukwaa. Hongereni kwa ibada wanaoenda siku kama ya leo,naamini wengine wameenda juzi na jana ila wote tunamuomba Mungu mmoja wa haki. Hakuna anayeenda ibada kuombea maovu,hata mizimu nayo huwa inaombwa mema. Octoba 29 tntk! Utachagua mwenyewe irabu za kujaza hapo ila...
  4. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Biashara ya machungwa

    Habari mimi ni mfanyabiashara wa machungwa toka Muheza-Tanga nataka kuleta machungwa Bukoba naomba kuunganishwa na madalali wa huko
  5. youngkato

    JamiiForums Tanzania Ijue Biashara ya Vifaa vya Ujenzi Tanzania

    Ijue Biashara ya Vifaa vya Ujenzi Tanzania Unajua? Biashara ya vifaa vya ujenzi ni fursa kubwa hapa Tanzania 🏗️ Lakini kufanikiwa kunahitaji mikakati sahihi. Hebu tuangalie mambo ya msingi: 🔹 1. Litambue soko lako Usiingie gizani! Jua wateja wako ni nani, bei za washindani wako zikoje, na...
  6. youngkato

    JamiiForums Tanzania Ijue Biashara Ya Vifaa Vya Ujenzi

    Biashara ya vifaa vya ujenzi Tanzania ni fursa kubwa yenye faida endapo utaingia ukiwa na mikakati. 1. Litambue Soko Lako Kabla ya kuanzisha duka la vifaa vya ujenzi, hakikisha unatambua soko lako. Jua ni wateja gani unaowalenga wawe mafundi, wamiliki wa nyumba, au makandarasi wakubwa. Fanya...
  7. youngkato

    JamiiForums Tanzania Hatua za Kusajili Jina La Biashara Brela Tanzania

    Je, umewahi kujiuliza kwa nini baadhi ya biashara zinaaminika haraka na kupata wateja wakubwa, mikopo, au hata zabuni za serikali wakati zingine zinabaki mitaani zikihangaika? Siri kubwa ipo kwenye: kusajili jina la biashara kupitia BRELA. Bila jina lililosajiliwa, biashara yako ni sawa na...
  8. PAYE

    JamiiForums Tanzania Video: Mama huyu apigwa hadharani baada ya kugombania eneo la biashara na kudaiwa alipe fidia

    Huyu mama anayepigwa hapo inadaiwa alipanga biashara yake mahali siyo pake. Mwenye eneo alikuja, akashika biashara ya huyu Mama na akaanza kumpiga akidai alipwe fidia, mpaka msamaria mwema alipomuomba amwache tu. Wenye kujua sheria msaidieni huyu mama jamani apate haki, kunyanyaswa hivi siyo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Uzeeni ni heri uwe na mzigo wako wa kutosha unaukata taratibu au uwekeze kwenye biashara usubiri faida ?

    walengwa wakiwa ni waajiriwa zaidi. Uzeeni ni bora uwe na mzigo wa kutosha unaukata taratibu (Unaweza kuwa na vibiashara vidogo ili usikae sana ndani) Au ufungue biashara uwe unasubiria faida
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tujitahidi kuboresha biashara ya kitimoto, tunahitaji mapinduzi ya upikaji kitimoto katika nchi

    Hapa nilipo kitimoto inayopatikana ni ya kukaanga iliyo kavu au rosti tu, ya kuchoma inapatikana kwa nadra sana, na hivyo ndivyo hali ilivyo sehemu kubwa ya nchi. Kwa hakika tunahitaji ubunifu zaidi katika mapishi ya kitimoto katika hii nchi, karibia kila mahali wanapouza kitimoto mapishi ni...
  11. Equation x

    JamiiForums Tanzania Biashara gani ndogo kwa uwekezaji mdogo, inaweza kukupa faida ya shilingi 5000 kwa siku?

    Ni biashara ipi, kwa uwekezaji mdogo usiozidi 100,000 inaweza kukupa faida ya shilingi 5,000 kwa siku?
  12. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Kilimo biashara ni muhimu

    Habari Ndg naomba kwa wadhoefu wa field msaada mchanganuo wa gharama kwa ekari moja wa mazao yafuatayo tafadhali nipate mwanga 1. Nyanya ekari moja 2.Vitunguu vya kawaida ekari moja 3.Hoho ekari Moja 4.Kabage ekari Moja
  13. Golden Trust

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata leseni ya Biashara ya mapochi

    Habari zenu wana Jf naombeni muongozo kwa anaefahamu Nataka kufanya Biashara ya kuuza mapochi ya kike. Lakini changamoto kwenye kukata leseni sijui inasimamiwa katika kipengele kipi he ni urembo au kuuza mabegi,?
  14. Think2

    JamiiForums Tanzania Biashara gani uliambiwa inalipa afu ukala za uso

    Kuuza supu ya kongoro dadeki nilikunywa diaba zima mwenyewe wateja walinikimbia🤣🤣
  15. youngkato

    JamiiForums Tanzania Hatua za Kupata Leseni na kufanya Biashara ya Kuuza Nafaka (Mazao)

    Ngazi za Biashara ya Mazao Ngazi ya Kaya Hapa ndipo wakulima wadogowadogo huzalisha kwa ajili ya familia na ziada kidogo kuuza sokoni. Ngazi ya Wakulima Wakubwa na Makampuni Wao hulima kwa wingi kwa ajili ya biashara, kuuza ndani na hata nje ya nchi. Ngazi ya Usindikaji na Uuzaji Baadhi...
  16. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Wanawake Mnaweza Kuwa Na Ego Kwenye Biashara na Kazini Lakini Sio Kwenye Ndoa

    Sifa ya Ego ni ya mwanaume na si ya mwanamke, mwanaume ndio mwenye ego ya mamlaka na uongozi kwenye ndoa Hivyo basi mwanamke anapotaka kuchukua nafasi ya mwanaume na kuleta zile habar za 50/50 hapo anakuwa amevuka mstari mwekundu na kutikisa himaya ya mwanaume Ndio maana ndoa yoyote ambayo...
  17. M

    JamiiForums Tanzania The power of Branding: Tupeane elimu kuhusu kujenga brand kwenye biashara

    Ulitumia mbinu gani ? ilikuchukua muda gani ? Brand imekupa faida gani ? Ni kitu gani Unique kwenye brand yako ? Unajitofautishaje na washindani wako sokoni? Ni njia gani unatumia kuitangaza brand yako?
  18. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hivi biashara ya dawa za kulevya imeisha nchini?

    Nauliza si kwa ubaya. Sijasikia suala la kuwashughulikia wale wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kama kipindi kile cha awamu iliyopita namna walivyokuwa wanapambana nao na kuwataja kwa majina wazi wazi. Ila tangu afariki sijasikia tena zile harakati zikiendelea. Nini kipo nyuma...
  19. Jitu la-Mtumba

    JamiiForums Tanzania Biashara ni ngumu jamani!

    Habarini wana jukwaa,najua ni usiku wengine tupo tunakunywa mbili tatu na huku kukiwa na hali ya hewa murua sana nyanda za juu kusini kama mjuavyo. Siyo kila anayekesha bar anasherekea m, wengine tunatumia muda kuwaza jinsi mambo yanavyokuwa magumu kwenye mitikasi yetu. Biashara ngumu jamani...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kitu gani hiki ? biashara usiyo na interest nayo inalipa, lakini ile unayoijua na kuipenda haionekani kufanikiwa

    Una biashara unayoipenda, una uzoefu nayo, unaifanya kwa moyo wote, lakini haina mbele wala nyuma. Upande mwengine una biashara ambayo huna interest nayo, huipendi lakini inakulipa. Biahara zote ni halali.
Back
Top Bottom