bank

A bank is a financial institution that accepts deposits from the public and creates a demand deposit while simultaneously making loans. Lending activities can be directly performed by the bank or indirectly through capital markets.
Due to the importance of banks in the financial stability and the economy of a country, most jurisdictions exercise a high degree of regulation over banks. Most countries have institutionalized a system known as fractional reserve banking, under which banks hold liquid assets equal to only a portion of their current liabilities. In addition to other regulations intended to ensure liquidity, banks are generally subject to minimum capital requirements based on an international set of capital standards, the Basel Accords.
Banking in its modern sense evolved in the fourteenth century in the prosperous cities of Renaissance Italy but in many ways functioned as a continuation of ideas and concepts of credit and lending that had their roots in the ancient world. In the history of banking, a number of banking dynasties — notably, the Medicis, the Fuggers, the Welsers, the Berenbergs, and the Rothschilds — have played a central role over many centuries. The oldest existing retail bank is Banca Monte dei Paschi di Siena (founded in 1472), while the oldest existing merchant bank is Berenberg Bank (founded in 1590).

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa wenye uzoefu mikopo ya Azania bank kwa wanachama wa NSSF

    Wakuu nawasalimu. Naomba kama Kuna mtu ana uelewa na Hili anisaidie. Azania bank wanatoa mikopo kwa wanachama wa NSSF. Kama mtu aliachishwa kazi kipindi cha janga la Corona kwa sababu kampuni iliamua kupunguza wafanyakazi na hakutoa mafao yake NSSF na ameamua kutokuajiriwa tena anaweza kupata...
  2. demigod

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NBC Wamemtoa Wapi Twiga Mwenye Rangi Nyekundu

    Tangu lini twiga anakuwa na rangi nyekundu, Sisi kama Wanajangwani Tutamrudishia Rangi Yake ya Khaki. Twiga wetu sisi ni huyu hapa Chini.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Swali : Nani mchunguzi mkuu wa matumizi ya Benki Kuu Tanzania?

    Ningependa kujua ni nani mchunguzi mkuu wa Benki Kuu ya Tanzania? Navyosema mchunguzi ni kwa matumizi ya bank kuu na budget za kujiendesha kama kulipa wafanyakazi, majengo, uendeshaji wote wa shughuli za kibank. Wasiwasi wangu ni kwamba bank kuu yetu ya Tanzania haijapewa mandate ya kusaidia...
  4. BAK

    JamiiForums Tanzania Tanzania seeks World Bank support for Covid effort, balance of payments

    Tanzania seeks World Bank support for Covid effort, balance of payments SATURDAY OCTOBER 02 2021 Summary In a meeting in Dodoma September 28, President Samia Suluhu held talks with the World Bank’s Regional Vice President for Eastern and Southern Africa, Hafez Ghanem, and discussed her...
  5. Rurakha

    JamiiForums Tanzania CRDB Bank rekebisheni internet upande wa huduma za uwakala

    Napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa Benki ya CRDB kwa hasara mnazotupatia sisi mawakala kutokana na mtandao wenu kuwa wa hovyo kushinda benki zote Mimi ni Wakala natoa huduma za uwakala wa kifedha upande wa mabenki binafsi kutokana na uzoefu kidogo katika kazi hii, nimegundua Benki ya CRDB...
  6. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

    RMB Bank wanasema Tanzania haikuvutia sana kuwekeza|Uwekezaji FY2018|19|20 lakini imesonga mbele,today is within "The Top Ten list" tutarajieni mafuriko ya wawekezaji " Hakuna kama Samia " Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head of Treasury And Trade Finance at Canara Bank

    Canara Bank (Tanzania) Limited [CBTL] was registered under Tanzania Company Act, 2002 on 2nd November 2015. The bank has started Banking Operations on 9th May 2016 with opening of Dar es Salaam branch at Plot No 16/1, Elia Complex (GF), Bibi Titi Road, Zanaki, Dar es Salaam. The Bank invites...
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Benki gani haisumbui kutoa Mkopo na yenye Riba nafuu?

    Wadau naomba mnisaidie ushauri bank gani nzuri kwa mfanyakazi au mfanyabiashara katika kutoa mikopo na kuwa na Riba Nafuu? Ukiondoa NMB na CRDB. naombeni ushauri katika hili ili leo hii nikafungue account. Kuna watu wa banks flani wamenikwaza sana. Nataka kuhama hizo banks.
  9. hp4510

    JamiiForums Tanzania Malalamiko yangu juu ya CRDB bank

    Siku ya Leo imekuwa mbaya Sana kwangu, Nilikuwa natuma pesa Kwa bimkubwa wangu huko kijijini kwetu kwa ajili ya matibabu yake Nimetuma pesa asubuh kwa SIM banking kwenda mpesa, tangu hiyo asubuh mpaka muda huu hiyo pesa haijafika, Nimepiga simu Sana huduma Kwa wateja wanasema shida sio crdb...
  10. knaan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania All in one power bank

    Natafuta kifaa kinaitwa all in one bank kinaweza kutumika kucharge simu, kuonesha TV pale umeme hakuna.
  11. successiful dreamer

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mabadiliko yoyote ya riba kwenye Benki?

    Habari ya uzima wanajamvi? Natumaini wote tumejaliwa zawadi adhimu ya uhai na Mola yeye atuwezeshaye kufanya yote tuyafanyayo kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada au jambo nililopenda kulijua kutoka kwenu.Mimi nipo kijijini kwa mda mrefu sijafika mjini. Huku niliko hakuna Benki...
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninon Marapachi, Dada Mtanzania anaydongoza kitengo Bank Of America New York

    On Resilience: How Ninon Marapachi Went From Poverty In Tanzania To Wall Street Domination Ninon Marapachi is the head of the Hedge Fund Business at Bank of America within the Global Wealth Investment Management division. Whew – long title. Having that much title at one of the biggest banks in...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nini kitatokea endapo IMF & World bank zikifilisika?

    Kwa wale waliosoma issue za uchumi wajaribu kunielewesha ni kipi kitatokea endapo taasisi tajwa hapo juu zitafilisika ghafla Je, ni kipi tufanye sisi raia wa kawaida kujiandaa na matokeo ya kufilisika kwa mashirika tajwa hapo juu. Halafu je mpaka sasa korona hajaweza kuzitia misukosuko ya...
  14. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan Journalist Named Director at Multi-National Bank Days After Quitting BBC

    Kenyan journalist Solomon Mugera has landed a new prestigious job just days after announcing his resignation from the British Broadcasting Corporation (BBC) on Friday, August 27. Mugera, who served as BBC boss for 23 years has been appointed as Director of Communication and External Relations...
  15. luangalila

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa ubora au udhaifu wa mabati aina ya Sun Bank

    Wadau Habari za asubuhi? Nikiwa site nilitembelewa na sales team wa haya mabati ya Sun Bank. Wakajinadi sana wakidai bati zao ni bora sana mithili ya ALAF Wakasema izo bati ni popular Arusha , nikaona bora niulize humu ili kupata taarifa walau kama kuna yeyote aliyewahi kutumia izi bati
  16. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?

    TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu CRDB Bank

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza kuendelea kuwepo katika biashara ya fedha katika kipindi chote na kuendelea kuwa miongoni mwa Bank bora Tanzania Baada ya Kimei kuondoka Bank iliendelea kuwa strong chini ya mkurugenzi mpya aliyekuwa CRDB mwanzoni na kuondoka kwenda NMB na baadae kurudi kuwa...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi ( staffs) wa NMB bank wanapwaya sana kujua huduma za mwajiri wao

    Habari wadau. Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao. Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa NMB Bank wanapwaya kwenye kuelimisha wateja kuhusu products zao

    Habari wadau. Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao. Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri...
  20. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bank of America Splashes Millions in Honour of Kenyan Hero

    Former Vice President Joseph Murumbi TWITTER Bank of America is splashing millions in honour of a Kenyan Hero in their latest project, targeting 13 countries across the world. US's most prestigious bank is directing funds aimed at preserving art pieces collected by Kenya's former...
Back
Top Bottom