Suala sio wa muda gani? Suala ni je kuna twiga mwekunduHuyo wa NBC mbona ni wa kitambo
Huko Utopolo mwenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK waliobakia wote ni mazwazwa,hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Utopolo msukule wa GSMkama kawaida yako kujitoa akili
Kama ni uzalendo wangehoji tokea kipindi cha nyuma wangeelewekaWamemtoa wapi! Mbona katika Mbuga zetu hakuna "Red Giraffe"..?
Kweli mkuu bora hata yanga wapo wawili wenye akili kwenu waliitwa wote mbumbumbuHuko Utopolo mwenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK waliobakia wote ni mazwazwa,hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Utopolo msukule wa GSM
Siyo vibaya kuna vyura wa kijani na njano mnaweza kubandika nembo zaoSuala sio wa muda gani? Suala ni je kuna twiga mwekundu
Kwani NBC wameanza baada ya kudhamini ligi?
Ulikua wapi kuuliza kabla ya wao kudhamini ligi?
Naona watu wa njano hapo kwenye logo ya utopolo, unaweza kuniambia hao watu ni specie gani na wanatoka galaxy gani?
Akijibu nishtue Mkuu
Dont take life that much serious changaule. We're just having a good time right here. Nothing is serious though.Vitu vingine mkuu tunajiabisha na pia tunaabishana na kuonekana Yanga wote hatunazo vichwani, Yaani unafungua uzi kuongelea rangi ya twiga aliyopo kwenye nembo ya NMB wakati kila mtu...