bangi

  1. Tronics guru

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

    Honestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza. Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea...
  2. bafetimbi

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuvuta bangi alafu muda huo huo ukatembea barabarani? Mwendo wake unauonaje?

    Huwa napenda sana baada ya kugonga msosi wa nguvu mchana mida ya saa saba, naingia chemba naulipua mjani wangu msumari mmoja tu mnene. Nikishaumaliza muda huo huo napiga mswaki kisha naelekea kwa mshkaji wangu mmoja hivi kwake pana kamwendo hivi. Sasa na lile jua la mchana mixa na mjani dry...
  3. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanavuta bangi pale Arsenal?

    Hilo ni swali ambalo Mmiliki wa liverpool John w.Henry aliwahi kuuliza hasa msimu wa 2012/2013 pale ambapo Arsenal walitaka kumsajili Suarez kwa Paund mil. 40 wakaambiwa waongeze hela wakaongeza Paund mil. 1 na kuwa 41! Yeye W. Heny aliwaona kama mateja wasiojielewa wanataka nini!! Nimeikumbuka...
  4. Influenza

    JamiiForums Tanzania Zambia yaridhia kufanyika kwa biashara ya bangi

    Serikali ya Zambia imehalalisha kilimo cha bangi kwa sababu za kiuchumi na tiba. Kwa hatua hiyo, taifa hilo linakuwa la hivi karibuni kabisa katika kuridhia matumizi ya bangi. Kwa mujibu wa taarifa ya msemaji mkuu wa serikali ya Zambia, Dora Siliya, idhini ya kufanya biashara ya bangi...
  5. bafetimbi

    JamiiForums Tanzania Kwanini watumiaji wa bangi wa Tanzania tuna midomo myeusi?

    Kila nikijiuliza sipati jibu, juzi hapa nimekutana na ndugu yangu hatujaonana kitambo sana. Katika kupiga stori akaniambia kati ya sigara au bangi kuna kimoja unatumia. Nikamuuliza umejuaje? Akasema nimeona tu mdomo mweusi. Sasa hawa wenzetu kina Bob Marley, Snoop Dogg, Wiz khalifa, Obama, Lil...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Afrika kuongoza kwa kilimo cha bangi ya matibabu

    Kundi la wanasayansi, watafiti na wajasiriamali limesema bara la Afrika linaweza kufikia kuwa mzalishaji mkubwa wa bangi inayotumika kwa ajili ya matibabu. Jordan Curl; mtaalamu kutoka Kituo cha Uwekezaji na Utafiti wa Bangi cha nchini Israel amewaambia wajumbe wanaohudhuria mkutano wa...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Serikali yataja mikoa vinara uvutaji bangi

    Serikali imesema matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi bado ni tatizo nchini, huku yakishika kasi katika mikoa ya Mara, Tanga, Morogoro, Arusha, Kagera na Ruvuma. Wabunge Jumanne Kishimba (Kahama), Joseph Msukuma (Geita Vijijini), Ali Keisy (Nkasi Kaskazini) na aliyekuwa Mbunge wa Arumeru...
  8. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mara yatajwa kinara kilimo cha bangi

    MATUMIZI ya dawa za kulevya aina ya bangi, yametajwa bado ni tatizo nchini, huku mkoa wa Mara ukiwa ni kinara katika kulima cha zao hilo ikifuatiwa na Tanga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama, ndiye aliyebainisha hayo bungeni...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video : Afande Sele alilia bangi kuhalalishwa

    Msikilize kwa makini
  10. sumu-ya-panya

    JamiiForums Tanzania Hizi Hapa Faida za Bangi ikitumiwa ipasavyo

    Mmea wa bangi una matumizi mengi ya matibabu, ujenzi, kutengenezea dizeli oganiki na pia hufumwa nyuzi zinazotumika katika ushonaji. Utafiti kuhusu mbangi unaendelea kufumbua matumizi mengine zaidi. Shida yake kubwa ni kusababisha uraibu. Majani ya mmea wa kike wa Mbangi hutumika kutengeneza...
  11. Chachasteven

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali haiwezi kuhalalisha bangi "for exportation only"?

    Dah! Kuna habari nimeiona BBC inaongelea kuhusu uhitaji wa bangi kwenye nchi za wenzetu kwa matumizi ya dawa nikahuzunika! Watu wanaohitaji hii kitu ni wengi, Demand ni kubwa kuliko supply na hela wanatoa kupata kimsokoto ni kubwa sana. Which is a benefit for the farmers! Kwanini hatuioni hii...
Back
Top Bottom