Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,060
- 4,844
Honestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza.
Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.
Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa
Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.
Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.
Natanguliza shukrani
Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.
Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa
Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.
Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.
Natanguliza shukrani