Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ataka waliolima Bangi waruhusiwe kuiuza

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,442
3,353
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.

Amesema kwa sasa wapo wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kutaka ambao wamelima zao hilo kupewa msamaha wa miezi sita ili waweze kuuza kabla soko la zao hilo kuporomoka.

1.png

Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 3, 2020 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa kamati za Bunge.

Mara kadhaa mbunge huyo amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho kwa kuwa bangi ina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania.

Akizungumzia kauli ya mbunge huyo, Spika Job Ndugai ameitaka Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo.

Hoja ya mbunge huyo ikiwaibua mawaziri Angellah Kairuki (Uwekezaji) aliyesema kuna mwekezaji anayetaka kuwekeza katika madawa ya kutumia mbegu za pamba huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akisema Tanzania haina sheria ya kuruhusu kilimo cha bangi.
 
Huyu mzee sasa anatuchosha, mara "bangi iruhusiwe" tena anakuna na "waliolima waruhusiwe" Huyu jamaa inawezekana anauwekezaji huko

Tuonyeshe hayo mashamba kwanza, serikali inajuaje kama watu wanalima wakati ni haramu? Mwisho wa siku atakuja na walio na pembe za ndovu waruhusiwe kuuza! Kwanza huo ujasiri anautoa wapi kwamba kuna wakulima wa bangi Tanzania
 
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.

Amesema kwa sasa wapo wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kutaka ambao wamelima zao hilo kupewa msamaha wa miezi sita ili waweze kuuza kabla soko la zao hilo kuporomoka.


Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 3, 2020 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa kamati za Bunge.

Mara kadhaa mbunge huyo amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho kwa kuwa bangi ina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania.

Akizungumzia kauli ya mbunge huyo, Spika Job Ndugai ameitaka Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo.

Hoja ya mbunge huyo ikiwaibua mawaziri Angellah Kairuki (Uwekezaji) aliyesema kuna mwekezaji anayetaka kuwekeza katika madawa ya kutumia mbegu za pamba huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akisema Tanzania haina sheria ya kuruhusu kilimo cha bangi.
Huyu mzee ni mpumbavu kabisa ! Nchi ina mijadala mizito ya Makonda na Mwamposa anaanza kuwatoa watu mchezoni ! Hovyo kabisa. Mwambie akavute hayo mabangi mwenyewe ! Na ukoo wake mzima !
 
Bila shaka atakuwa amewekeza uko kwenye kilimo cha bangi au ana mpango wa kuwekeza ili apate pesa ya kumaliza kujenga bandari yake pale mwaloni kirumba
 
Sasa kama shida pekee anayoiona Mhagama ni kutokuwa na sheria si hoja imeibuliwa bungeni na kazi ya bunge ni kutunga sheria!
 
Nchi imekwama kuna mambo ya maana wanapaswa kuyajadili wanatumia muda wao kujadili kitu ambacho ni kosa kwa mujibu wa sheria. Bahati mbaya spika/bunge dhaifu amekuwa akikipokea kila ambacho kitaletwa na Mbunge wa ccm.
 
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.

Amesema kwa sasa wapo wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kutaka ambao wamelima zao hilo kupewa msamaha wa miezi sita ili waweze kuuza kabla soko la zao hilo kuporomoka.


Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 3, 2020 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa kamati za Bunge.

Mara kadhaa mbunge huyo amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho kwa kuwa bangi ina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania.

Akizungumzia kauli ya mbunge huyo, Spika Job Ndugai ameitaka Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo.

Hoja ya mbunge huyo ikiwaibua mawaziri Angellah Kairuki (Uwekezaji) aliyesema kuna mwekezaji anayetaka kuwekeza katika madawa ya kutumia mbegu za pamba huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akisema Tanzania haina sheria ya kuruhusu kilimo cha bangi.
Hiyo ni hoja na ndio maana walipingwa na Wabunge wengine
 
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.

Amesema kwa sasa wapo wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kutaka ambao wamelima zao hilo kupewa msamaha wa miezi sita ili waweze kuuza kabla soko la zao hilo kuporomoka.


Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 3, 2020 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa kamati za Bunge.

Mara kadhaa mbunge huyo amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho kwa kuwa bangi ina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania.

Akizungumzia kauli ya mbunge huyo, Spika Job Ndugai ameitaka Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo.

Hoja ya mbunge huyo ikiwaibua mawaziri Angellah Kairuki (Uwekezaji) aliyesema kuna mwekezaji anayetaka kuwekeza katika madawa ya kutumia mbegu za pamba huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akisema Tanzania haina sheria ya kuruhusu kilimo cha bangi.
Naunga mkono hoja ya Mbunge huyu, tena sio tu tuhalalishe bangi, bali pia turuhusu ile biashara kubwa kuliko biashara zote duniani, inayofanywa na watu wengi zaidi duniani, na ndio profession ya kwanza kabisa duniani.


P
 
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.

Amesema kwa sasa wapo wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kutaka ambao wamelima zao hilo kupewa msamaha wa miezi sita ili waweze kuuza kabla soko la zao hilo kuporomoka.


Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 3, 2020 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa kamati za Bunge.

Mara kadhaa mbunge huyo amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho kwa kuwa bangi ina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania.

Akizungumzia kauli ya mbunge huyo, Spika Job Ndugai ameitaka Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo.

Hoja ya mbunge huyo ikiwaibua mawaziri Angellah Kairuki (Uwekezaji) aliyesema kuna mwekezaji anayetaka kuwekeza katika madawa ya kutumia mbegu za pamba huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akisema Tanzania haina sheria ya kuruhusu kilimo cha bangi.
Tangu nimeanza kuvuta bangi nimekuwa mchangamfu
 
Back
Top Bottom