bachelor

A bachelor is a man who is not and has never been married.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Msaada: Vyuo vinavyotoa Bachelor of Science with Education vyenye ada nafuu

    Habari ya asubuhi, naomba msaada wa vyuo vyenye ada nafuu kwa kozi tajwa hapo juu Mbarikiwe
  2. The introvert

    UDOM waweka kozi ya Bachelor of pharmacy katika dirisha la 4

    UDOM nimeona wameijumuisha kozi ya Bachelor of pharmacy katika dirisha hili la nne la udahili ..hivyo basi hh ni ni fursa adhimu kwa ndugu zetu ambao bado hawajapata chuo na pia wenye ndoto za kusomea ufamasia kuweza kujaribu nafasi .mungu awatangulie .Naomba kuwasilisha
  3. S

    Bachelor of art in philosophy and political science

    (Bachelor's of art in philosophy and political science) mdog wang amechaguliw hii koz ninaomba ufafanuz wa mambo atakayo jifunza na fursa zake kweny soko la ajira!
  4. A

    Kwa ufaulu huu, je naweza kupata nafasi ya kusoma Bachelor Degree in Civil Engineering hapa Tanzania?

    Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1. Sasa swali langu ni kwamba je, TCU wanaangalia overall GPA ya miaka yote mitatu ya diploma aliosoma au ya mwaka wa mwisho? Maana siku za dirisha...
  5. D

    Naomba kujuzwa Bachelor of Cyber Security

    Jamanii naomba msaada kwa wanaofahamu hii kozi na soko lake hapa nchini. Na je inahusiana na nini hasa?
  6. M

    Kutoka diploma ya biotechnology naweza kusoma bachelor ya course yoyote ya afya?

    Habari.... Naomba nisaidiwe kutoka diploma ya biotechnology naweza kusoma bachelor yoyote inayohusiana na afya? Naomba msaada wenu
  7. AnyWayZ

    Bachelor of Technical Education in Civil Engineering

    Salaam WanaJamii. Naomba kujuzwa zaidi juu ya hii Course; #Wahitimu ni Waalimu (wa Ngazi gani?) #Je ni Ma-Engineer (kwa viwango gani)? #Au ni Walimu na MaEngineer kwa wakati mmoja. #Wanaweza kufanya Shughuli zipi mtaani na kwenye mataasisi? Kingine chochote ukijuacho nje ya hivyo unaombwa...
  8. The introvert

    Ipi bora kati ya Bsc in Environmental Health Science na Bsc in Environmental Science and Management

    Habari zenu wakuu, Nahitaji msaada wa maelezo wa uwanda wa ajira kati ya kozi Bsc in Environmental health science na Bsc in Environmental Science and managememt. Je ipi ni bora?
  9. J

    Mtu aliyesomea bachelor of library information studies anaweza fanya kazi gani mbali na ukutubi

    Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
  10. kindikinyer leborosier

    Wana MMU, kijana wenu yanataka kunishinda tena, nataka sasa kuwa 'senior bachelor'

    Hello bila shaka mu wazima, poleni kwa wale wenye changamoto za hapa na pale, Mola awape ujasiri wa kukabiliana nao na kuushinda! Niende moja kwa moja kwenye mada, nina mchumba wangu, nimemtambulisha mpaka nyumbani na kwa ndugu zangu, sijawahi kufanya hivi kwa mwanamke yeyote, hiki ni kiashiria...
  11. partsonamani

    Natafuta kazi, nimemaliza (UDOM) Bachelor degree in instructional design and information technology(IDIT).

    Kazi ambazo naweza kufanya ni: ✅Graphics Design(Logo design, posters design....nk) ✅Motion graphics ✅Video editing ✅Photography ✅2D animation ✅Design learning content for adults ✅Online courses development ✅Mobile maintenance ✅Computer maintenance ✅Maintain daily website activities Email...
  12. H

    Kusomea Bachelor Degree ingine

    Hello habari Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc? And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG? Inawezekana?
  13. HEARTZ

    Ushauri kuhusu Bachelor of Pharmacy na Master of Chemistry

    Habarini wanajamii, Naomba kufahamishwa kwa mtu mwenye bachelor of pharmacy na master of chemistry specialized in environmental chemistry soko lake lipo vipi hapa nchin Tanzania.
  14. Gotze Giyani

    Msaada: Ufahamu juu ya Kozi ya Bachelor of Public Health inayotolewa Chuo cha Makerere pamoja na hali ya ajira

    Wadau habari za muda poleni na majukumu na changamoto za hapa na pale zikiwepo za mkataba wa kubinafsisha bandari kwa DP world. Mambo yasiwe mengi, nimevutiwa na Course ya Public Health inayotolewa Makerere University. Kwa anayeijua hiyo kozi vizuri naomba ufafanuzi ikiwepo kazi gani mtu...
  15. matunduizi

    Nashauri ianzishwe Kozi ya Bachelor of arts in artifical intelligence (AI) vijana waendande na kasi ya wenzao duniani

    Naomba nieleweke ni Arts sio Science. Kimsingi kasi ya matumizi ya AI karibu katika kila kitu mitandaoni ni kubwa na kuna baadhi ya taaluma zitakufa kifo cha mende. Napendekezwa ianzishwe kozi maalum ya jinsi ya kutumia hii kitu kujipatia kipato katika real life na kuachana na yale mamitaala ya...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Tangazo: Scholarships kwa Diploma, Bachelor, Masters na PhDs

    1. Leeds University Scholarship 2023/2024 Programmes: Accounting and Finance Country: England Level: PhD Financial coverage: Fully Funded Deadline: May 31, 2023 Apply: Leeds University Business School Accounting and Finance Department Scholarship 2023/24 2. University of Oxford Scholarships...
  17. DOMINGO THOMAS

    Bachelor of Science in Social Protection

    A Bachelor of Science in Social Protection can open up a wide range of career opportunities in various fields related to social work, social welfare, and social development. Here are some areas where graduates with a Bachelor of Science in Social Protection can work: 1. Social work: Graduates...
  18. Q

    Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

    Mfano kwenye tangazo la ajira linataka Data Analyst ila kwenye qualification wameandika Bachelor degree ila mimi nina Masters Je, nitakuwa disqualified kwa ku orodhesha kuwa ngazi yangu kubwa ya elimu ni Masters au katika kufanya maombi nisiseme kuwa nina Masters nionyeshe tu nina Bachelor...
  19. geezerlad

    Bachelor of public health

    Habari, naomba kufahamishwa ni vyui gani kwa hapa Tanzania vinatoa degree ya public health?
  20. Mr kenice

    Msaada: Chuo Kikuu Mbeya (MUST) kinatoa kozi ya Bachelor of Medical Laboratory Science & Technology

    Habari zenu wakuu, Poleni na majukumu, Moja kwamoja kwenye mada, Kuna bwana mdogo kaniomba ushauri nimsaidie lakini sio mjuzi zaidi nikaona NIVYEMA kuliweka hapa JF. Huyu dogo kasoma diploma ya Medical laboratory, na mwaka huu kaomba mkopo elimu ya juu akaendelee, chuo alichoomba ikawa ni...
Back
Top Bottom