WeedLiquorz
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 3,286
- 5,460
Salaam WanaJamii.
Naomba kujuzwa zaidi juu ya hii Course;
#Wahitimu ni Waalimu (wa Ngazi gani?)
#Je ni Ma-Engineer (kwa viwango gani)?
#Au ni Walimu na MaEngineer kwa wakati mmoja.
#Wanaweza kufanya Shughuli zipi mtaani na kwenye mataasisi?
Kingine chochote ukijuacho nje ya hivyo unaombwa kushare.
Naomba kujuzwa zaidi juu ya hii Course;
#Wahitimu ni Waalimu (wa Ngazi gani?)
#Je ni Ma-Engineer (kwa viwango gani)?
#Au ni Walimu na MaEngineer kwa wakati mmoja.
#Wanaweza kufanya Shughuli zipi mtaani na kwenye mataasisi?
Kingine chochote ukijuacho nje ya hivyo unaombwa kushare.