azam

  1. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania AzamPay | AzamPesa ni nini?

    Habari 👋🏾 Nimekuwa nikikutana na vitu viwili toka kampuni ya Azam ambavyo ni AzamPay na AzamPesa kupitia mitandao na mifumo ya kidijitali, ningependa kufahamu ni nini, na shughuli yake kubwa ni ipi.
  2. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Azam TV nawapongeza kwa kuandaa mapambano ya boxing. Andaeni na vipindi vya kuwaelimisha watu kuhusu mchezo huo

    Azam tv nawapongeza kwa kuandaa mapambano ya boxing na kusababisha mchezo huo kuwa na mashabiki wengi Ushauri wangu ni kuwa mnatakiwa muwe na kipindi ambacho kinatoa elimu ya boxing kwani watazamaji wenu wengi hawana uelewa na mchezo huu. Wanadhani ushindi ni mpaka mtu apigwe na kuanguka chini...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nasikia katimuliwa ubalozi Azam

    Ndugu zangu ya kweli haya? Kwamba Azam Media wameona ni ujinga kutumia taasisi yao ku facilitate vita binafsi? kama ni kweli basi hongereni sana azam tv Abakize tu Asas ili akiwa anapost bidhaa zao atumie platform hiyo kutukana bidhaa za MO maana ndiyo style yake utasikia nipo na boss wa Asas...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hivi Azam katika taarifa yao ya habari ya saa mbili usiku huu, wameonyesha uwepo wa wakilishi wa Mabalozi wa Nchi za nje?

    Naangalia Azam News hapa(UTV live) ambapo taarifa ya habari ndio inaendelea. Katika taarifa yao, wameripoti kesi ya Mbowe inayoondelea Mahakama Kuu ila katika picha za Mahakamani, sijaona uwepo wa Wawakilishi wa Mabalozi waliohudhuria hiyo kesi. Je, uwepo wao si muhimu, ni bahati mbaya tu au...
  5. Jacobus

    JamiiForums Tanzania King'amuzi cha Azam kunani E-FM haipatikani?

    Ni muda sasa radio ya E-FM haipatikani kwenye king'amuzi cha Azam, kunani?
  6. U

    JamiiForums Tanzania Azam Antena

    Habari Wakuu. Ivi king'amuzi cha Zam cha Antenna hakisumbui channels zake?
  7. igogondwa

    JamiiForums Tanzania Azam wapandisha bei kifurushi cha 28,000 mpaka 35,000

    Nimepata ujumbe huu kutoka Azam TV: Ndugu Mteja, kutakuwa na mabadiliko kidogo ya kifurushi cha Azam Play ambapo kutakuwa na nyongeza ya chaneli na sasa kitakuwa Tsh 35,000 kuanzia Sept 1,2021. Mwisho wa kunukuu. Jamani kazi iendelee [emoji134][emoji134][emoji134]
  8. Tujisahihishe Tz

    JamiiForums Tanzania Nauza kin'amzi cha azam na dstv Mwanza

    Kama unahitaji visimbusi hivyo karibu. Bei kwa vyote viwili ni 230000 kwa aliyeko tayari tafadhari tuwasiliane
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Azam TV tafuteni mabondia wengine , Twaha kiduku na Dulla Mbabe tumewachoka , ni local boxers , nje hawafiki hata round 3

    Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote . Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli Barbara alisaini na Azam mbona hawaonyeshi huko Rabat?

    Lopolopo Hajj Manara lilidai lina mkataba wa simba milion 384 kwa mwaka kuonyesha contents za simba huko Azam TV. Cha kushangaza ni contents za utopolo ndizo zinaonyeshwa huko Morocco ina maana hela yao imeliwa bure?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kutafsiri movie za Hollywood kwa sound dubbing kama wafanyavyo Azam two

    Habari wanajamii. Mwaka jana mwezi wa Desemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya...
  12. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Azam TV Decorder full set, iko Kiwalani-Dar

    Azam full set Decoder na dish na kifurushi cha mwezi Bei: 170k Kiwalani, Dar. Call 0683011003
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

    1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki? 2. Je, kati ya aliyekuwa CEO Magori ambaye hakuwa kumpa Mkataba wowote Haji Manara na CEO Barbara ambaye kwa mwaka...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Lengo la Manara Mo aondoke Azam wachukue matangazo ya simba

    Hoja ya Manara inajionyesha kabisa azam wa mission maana kama hawana huwezi kurusha matangazo bure 1hr na dk26 hivi hivi. Azam wanatamani sana wapate pia mkataba wa Simba na Azam. Sasa wanamtumia Manara kufanikisha deal Tuwe machoooo. MO asimjibu Manara kama anataka kuendelea na Simba kwa...
  15. Joseverest

    JamiiForums Tanzania Haji Manara: Mo alitaka niwe balozi wa bidhaa zake badala ya Azam. Asema Mo anadai hapati faida ilhali jezi za Simba zimejaa matangazo yake

    Aliyewahi kuwa Msemaji wa Klabu Kongwe ya Simba Sports Club leo hii anazungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam juu ya Masuala mbalimbali ikiwemo ya yeye kuondoshwa katika klabu ya Simba Kuwa nami hapa kwa updates/kinachoendelea -------------------------------------------- Ameanza...
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania Azam Media wekeza pia kwenye eneo la waamuzi wa ligi

    Itakuwa kazi bure kuwekeza sana kwenye timu za ligi luu bila kuangalia pia eneo la waamuzi ubora wa ligi. Maamuzi mabaya viwanjani yanatia karaha watizamaji wa mpira. Kuna watu wasiopenda karaha wanaoamua wasiangalie kabisa mechi za ligi kuu zenye makosa makubwa ya wazi na makusudi ya waamuzi...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji anzisha king'amuzi chako, Azam wanatawala sana

    Bilionea Mohamed Dewji, wewe ni mdau mkubwa wa soka na unaufahamu vizuri sana. Najaribu kukushawishi uanzishe king'amuzi au decorder itakayoitwa mo sattelite tv. Pamoja na vipindi vingine uanzishe channel za soka za kuonyesha live mechi za ligu kuu ya bara. Ukiritimba wa azam na TFF ni hatari...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kwanini Haji Manara anatangaza maji ya Uhai ya Azam badala ya maji ya Masafi ya Mo?

    Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest" Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam. Hii imekaaje kikanuni?
  19. A

    JamiiForums Tanzania Azam media

    Kuiga kitu kizuri kwa mwenzio sio vibaya ndio maana Leo China yuko vile kwa sababu alikubali kuiga na kucopy teknolojia kwenye maonesho ya kwanza ya sayansi na teknolojia yaliyofanyika nchini uingireza mwaka flani karne ya upinduzi wa viwanda. Hivyo basi azamtv kwakua nyie mmeingia kandarasi...
  20. hiram

    JamiiForums Tanzania ELIMU YA HISA: Simba wakipata bil40 za Azam basi 49% ni za Mo Dewji

    Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa. Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara...
Back
Top Bottom