azam

  1. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

    Leo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana. ====== ⚽ 36' Fisto Mayele, Yanga 1-0 Azam ⚽73' Jésus Ducapel...
  2. Mzito Kabwela

    JamiiForums Tanzania Azam Marine boresheni vyoo vilivyoko kwenye boti zenu za Unguja kwenda Pemba

    Nimesafiri na Boti za Azam kutoka Dar kwenda Unguja mara nyingi, wamefanikiwa kuwa wasafi, ndani ya boat na hata kwenye vyoo vyao. Zile "boat" zinazofanya safari ya Unguja kwenda Pemba na Pemba kuja Unguja kwa kweli ni chafu. Ni chafu kuanzia kwenye viti hadi vyooni. Sielewi ni kwa nini...
  3. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Kwa wasiojua, Simba bado itapanda ndege: ipo CAF confederation cup kule kina Azam na Biashara wametolewa

    Hili niliseme maana naona wengi wanafatilia mpira lakini hawalijui. Mnyama Simba bado atapanda ndege. Amepelekwa kwenye CAF confederation cup yaani shirikisho kule ambako kina Azam na Biashara wametolewa. Ukiwa mkubwa ni mkubwa tu. Maana watu wanaumia na kwa wale mashabiki wenzangu na mi...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Azam yaaga mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika, wafungwa na Pyramids bao 0-1

    Maombi Yanahitajika. Ni Half time. WaTz hawa Wa Azam FC Wako nyuma Kwa Bao 1. Kimsingi Hawako Vibaya...ni game tu imekuwa Katili upande Wao kipindi cha Kwanza. MUHIMU...DUA.!
  5. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Suti za wachambuzi wa Azam sports hazina viwango. Wajifunze kwa wenzao UK

    Ali Mayai na wenzanke wanavaa suti zimewabana na zinaonyesha kushonwa na mafundi ambao hawana viwango kabisa. Azam Tv wanapata pesa nyingi kupitia matangazo ya soka. Kwa nini wasiwanunukie wachambuzi suti za ukweli?
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Azam Tv, Simba SC na Watangazaji wa Michezo Redioni mnatuchanganya kuhusu Muda wa Mechi ya Simba SC na Wabotswana leo

    Azam Tv katika Ukurasa wao wanasema Mechi ni Saa 9 Alasiri leo. Simba SC katika Kurasa zao wanasema Mechi ni Saa 10 Jioni leo. Watangazaji wa Vipindi vya Michezo Redioni wamegawanyika wapo wanaosema ni Saa 10 na wengine wakisema ni Saa 9. Tafadhali mwenye uhakika Kamili wa muda wa Mtanange (...
  7. C

    JamiiForums Tanzania FT: Azam 0 Pyramids 0

    Dakika ya 21 Sasa 0-0 ===
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania Azam wanavuna walichopanda

    Kuna wachezaji ambao hawana na mapenzi na Azam lakini wamewalazimisha kubaki kucheza Azam. Wachezaji hawa baadhi Yao wamewafungia kwa kisingizio Cha utovu wa nidhamu. Ukweli ni kwamba club zisiwababinie wachezaji wanaotaka kuondoka hata kama wanaenda kwenye timu ambazo viongozi hawazipendi.
  9. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Ukipewa timu ya AZAM utafanyaje ili angalau iwe kama TP Mazembe

    Timu za simba na yanga mtazamo wangu simepewa Muda wa kutosha na zimethibitisha zaidi ya majungu, marktime za kisoka na Maneno maneno hazitatufikisha popote... Nilipoiona AZAM na bosi tajiri yuko nyuma yake nikasema afadhali angalau tumepata team ambayo itakwenda hadi club bingwa duniani...
  10. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Wakuu vifurushi kwenye mtandao wa Azam vimekaaje?

    Jana baada ya kusajili laini ya Azam nataka kuanza kuitumia baada ya kusikia sifa zake. Wadau wanasema ina vifurushi vizuri na mtandao huko stable. Mliotumia vipi mtandao wa internet mfano MB 500 wanauzaje hawa jamaa? Natanguliza shukrani
  11. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Azam Full set: Dekoda na Dishi lake. Gongolamboto DSM kwa 150,000

    inauzwa full set. 0625750755 Dar es salaam Gongolamboto Bei 150000
  12. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Azam Tv kupandisha bei vifurushi

    Baada ya Dstv kupandisha vifurushi vyake mwezi septemba, nimedokezwa muda wowote kuanzia sasa, AzamTv nae atapandisha vifurushi vyake, kile cha kuona mpira elfu 20 sasa kuwa 25! Ni matokeo ya mlolongo wa kodi walizopanfishiwa. Je tutafika?
  13. Dr Restart

    JamiiForums Tanzania Azam Pesa: Huduma mpya ya kifedha

    Kampuni kubwa na iliyoenea katika nchi ya Tanzania pamoja na nchi jirani 'Bakhresa Group' imeleta sokoni huduma mpya ya kifedha ijulikanayo kama 'Azam Pesa'. Huduma hii ni kama zilivyo huduma nyinginezo za M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa and the like. Ili kuielewa zaidi huduma hii, nitaenda...
  14. Torch

    JamiiForums Tanzania Masada azam tv max

    Wakuu kama naomba masada kama wiki3 zilizopita kuna uzi uliwekwa wa FREE AZAM APP.. ambayo hulipii chochote, kuna KITU kama code scanner ndio iliwekwa ukishascann unakuwa uninstall... Hivyo niljkuwa mayo baada ya kurestore simu imepotea na huo uzi humu siuoni naomba mwenye hiyo APP anisaidie...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: King'amuzi changu cha Azam kimegoma

    Habari za wakati wana jamii forum, king'amuzi changu cha azam ghafla kimegoma kuonesha ili hali kila kitu kiko sawa kwa maana nkifunga kingine kina fanya kazi vizuri tu je shida inaweza kua nini hapo?
  16. aka2030

    JamiiForums Tanzania Azam telecom ni fire 🔥 tigo byee byee

  17. M

    JamiiForums Tanzania CCM wazipongeza na kuzitakia heri KMKM, Mafunzo, Azam, Biashara & Yanga kwenye mashindano yao ya Shirikisho & Club Bingwa Afrika

    Kazi iendelee | Soka liendelee, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka kwa niaba ya CCM na kwaniaba ya Mkt wa CCM Taifa ambae pia Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan. Wamezitakia heri na baraka timu nne zitakazopeperusha bendera ya Tanzania kwenye...
  18. Replica

    JamiiForums Tanzania Azam FC yaitwanga Horseed jumla ya bao 4-1 na kufuzu raundi ya kwanza. Kukutana na Pyramid ya Misri

    Leo timu ya soka Azam iko kwenye hatua za awali za kombe la shirikisho, mechi ya kwanza Azam iliibuka na ushindi wa 3-1. Kwa sasa mechi inaelekea mapumziko na Azam inaongoza kwa goli 0-1 goli lililofungwa na Ismail Kader dakika ya 37. Aggregate Horseed 1-4 Azam. Horseed inahitaji magoli matatu...
  19. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Azam tv decoder full set kwa 160,000 tu, Kiwalani Dar

  20. oxlade

    JamiiForums Tanzania Azam TV king'amuzi sauti

    Naomba msaada jamani, TV yangu imeharibika speaker. Sasa nataka sauti itike katika Kingamuzi maana naona vina speaker. Je nifanyeje? Asante
Back
Top Bottom