matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,541
- 15,199
Timu za simba na yanga mtazamo wangu simepewa Muda wa kutosha na zimethibitisha zaidi ya majungu, marktime za kisoka na Maneno maneno hazitatufikisha popote...
Nilipoiona AZAM na bosi tajiri yuko nyuma yake nikasema afadhali angalau tumepata team ambayo itakwenda hadi club bingwa duniani icheze na wakina Madrid au Barca.
Lakini kila nikiichungulia naona haina uwezo wa kuvuka siasa za simba na Yanga.
Mimi sio mpenzi wa soka ila ni mfuatiliaji wa karibu kila kitu kinachoendelea nchini.
Unadhani nini kikifanyika team ya tajiri huyu iwe angalau kama TP mazembe.
Nilipoiona AZAM na bosi tajiri yuko nyuma yake nikasema afadhali angalau tumepata team ambayo itakwenda hadi club bingwa duniani icheze na wakina Madrid au Barca.
Lakini kila nikiichungulia naona haina uwezo wa kuvuka siasa za simba na Yanga.
Mimi sio mpenzi wa soka ila ni mfuatiliaji wa karibu kila kitu kinachoendelea nchini.
Unadhani nini kikifanyika team ya tajiri huyu iwe angalau kama TP mazembe.