Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nimesafiri na Boti za Azam kutoka Dar kwenda Unguja mara nyingi, wamefanikiwa kuwa wasafi, ndani ya boat na hata kwenye vyoo vyao.
Zile "boat" zinazofanya safari ya Unguja kwenda Pemba na Pemba kuja Unguja kwa kweli ni chafu. Ni chafu kuanzia kwenye viti hadi vyooni.
Sielewi ni kwa nini mamlaka hazifanyi ukaguzi ila kusema ukweli unaweza kutoka na maradhi ya kuhara mara baada ya kusafiri na hizi boat. Ni uchafu mtupu.
Tazameni baadhi ya Picha zilizopigwa kwenye vyoo vya wanaume. Nimeelezwa na mhudumu mmoja ndani ya hizo "boti" kuwa vyoo vya wanawake ni vichafu mara kumi ya vyoo vya wanaume.
Azam Marine, boresheni hivi vyoo kwa kweli.
Zile "boat" zinazofanya safari ya Unguja kwenda Pemba na Pemba kuja Unguja kwa kweli ni chafu. Ni chafu kuanzia kwenye viti hadi vyooni.
Sielewi ni kwa nini mamlaka hazifanyi ukaguzi ila kusema ukweli unaweza kutoka na maradhi ya kuhara mara baada ya kusafiri na hizi boat. Ni uchafu mtupu.
Tazameni baadhi ya Picha zilizopigwa kwenye vyoo vya wanaume. Nimeelezwa na mhudumu mmoja ndani ya hizo "boti" kuwa vyoo vya wanawake ni vichafu mara kumi ya vyoo vya wanaume.
Azam Marine, boresheni hivi vyoo kwa kweli.