kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,309
- 12,604
Timu ya Azam haipati matokeo ikiwa mikononi mwako pia. Inawezekana tatizo ni wewe, wachezaji, au viongozi na au wote kwa pamoja.
Lakini unasubiri hadi Azam ushuke nayo daraja ndio uondoke au unasubiri kutupiwa virago?
Wote tunafahamu kuwa wachezaji wako wana mgomo baridi kwaajili ya wachezaji wenzao waliokuwa wanadai maslahi kwa niaba Yao pia ambao wamesimamishwa kwa muda usiojulikana. hivyo wana waunga mkono kwa njia hii.
Tazama mpira waliocheza dhidi ya pyramids, walijituma kwa maslahi Yao wenye kama sehemu ya marketing yao wenyewe kwenye soka la Africa na dunia lakini sio kwaajili ya Azam team.
Wachezaji wa Azam ni kama wale wa Manchester united walivyomwangusha Ole. Timka zako bhana ili uwaache wafu wazikane wenyewe. Au unaogopa kupoteza maslahi?
Lakini unasubiri hadi Azam ushuke nayo daraja ndio uondoke au unasubiri kutupiwa virago?
Wote tunafahamu kuwa wachezaji wako wana mgomo baridi kwaajili ya wachezaji wenzao waliokuwa wanadai maslahi kwa niaba Yao pia ambao wamesimamishwa kwa muda usiojulikana. hivyo wana waunga mkono kwa njia hii.
Tazama mpira waliocheza dhidi ya pyramids, walijituma kwa maslahi Yao wenye kama sehemu ya marketing yao wenyewe kwenye soka la Africa na dunia lakini sio kwaajili ya Azam team.
Wachezaji wa Azam ni kama wale wa Manchester united walivyomwangusha Ole. Timka zako bhana ili uwaache wafu wazikane wenyewe. Au unaogopa kupoteza maslahi?