Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,531
- 3,331
Salaam,
Naomba nianze kwa kuipongeza kampuni ya Azam kwa kuliheshimisha soka la bongo kwa kurusha LIVE matangazo ya mechi za ligi kuu ya NBC. Ombi langu kwenu AZAM MEDIA ni kuwa mtume timu ya wataalamu wenu waende uingereza,spain au ujerumani wakajifunze namna ya kurekodi na kurusha matangazo ya mpira LIVE.
Bado mnatakiwa muongeze uwekezaji katika camera zenu hususani kamera za juu na zinazochukua uwanja kwa upana,camera za offside na pia replay zenu zinatakiwa ziwe instant kuonesha matukia yaliyotokea muda mfupi uliopita hii itasaidia hata TFF nao kujiongeza kuleta technolojia ya VAR hapa nchini ili kuondoa changamoto ya waamuzi hivyo kuifanya ligi yetu kuwa bora zaidi.
Naomba nianze kwa kuipongeza kampuni ya Azam kwa kuliheshimisha soka la bongo kwa kurusha LIVE matangazo ya mechi za ligi kuu ya NBC. Ombi langu kwenu AZAM MEDIA ni kuwa mtume timu ya wataalamu wenu waende uingereza,spain au ujerumani wakajifunze namna ya kurekodi na kurusha matangazo ya mpira LIVE.
Bado mnatakiwa muongeze uwekezaji katika camera zenu hususani kamera za juu na zinazochukua uwanja kwa upana,camera za offside na pia replay zenu zinatakiwa ziwe instant kuonesha matukia yaliyotokea muda mfupi uliopita hii itasaidia hata TFF nao kujiongeza kuleta technolojia ya VAR hapa nchini ili kuondoa changamoto ya waamuzi hivyo kuifanya ligi yetu kuwa bora zaidi.