MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Nauza
Piga simu43" sundar iuzwe 8 na Hisense inauzwa 85?
Tv 400 kaka kiroho safi
Ndiyo huyu kumbe?Nimekumbuka huu utabiri wako uliotuletea Dikteta Uchwara hadi Mungu alipoingilia kati kumuondoa.
Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa: "Tanzania itatawaliwa kidikteta" Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi sana kwa anayependa demokrasia kunibeza na kuniona kama naota. 1. Kwanza kuna uwezekano mkubwa...www.jamiiforums.com
Ila hapendi kabisa kuzingumzia huo utabiri. Inakuwa kama vile huyu MAGAMBA MATATU alioteshwa tu jambo hilo na kuliandika then hawezi hata kushiriki mjadalaNimekumbuka huu utabiri wako uliotuletea Dikteta Uchwara hadi Mungu alipoingilia kati kumuondoa.
Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa: "Tanzania itatawaliwa kidikteta" Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi sana kwa anayependa demokrasia kunibeza na kuniona kama naota. 1. Kwanza kuna uwezekano mkubwa...www.jamiiforums.com