Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaje Johnson Jonas mkazi wa Matejoo Jijini humo kwa tuhuma za kumpiga mtoto mwenye umri wa miaka kumi na tatu kufuatia picha mjongea inayosambaa katika baadhi ya mitandao ya kijamii ikionesha tukio hilo.
Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Askari Polisi aitwaye Roland Mollel ambaye ni mkazi wa Arusha yaliyotokea Aprili 15, 2026 muda wa usiku.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Justine...
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefanikiwa kukamata dawa za kuelevya aina ya mirungi kilo 106.25 katika wilaya ya Longido mkoani Arusha zikiwa zinasafirishwa kwa gari aina ya Toyota Wish yenye namba ya usajili T 889 DPG.
Akizungumza Aprili 14,202 jijini Dar es Salaam...
Oya
Nimekuja huu mji wa arusha kikazi.mwenyeji wangu kanileta hapa kwenye hii bar..wakuu kuna pisi sio za nchi hii.
Asante for your attention on this matter.
Mechi ya kiporo ya TRA SC dhidi ya Simba SC inatarajiwa kupigwa jioni saa 10:00 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium, ikiwa ni sehemu ya mashindano ya NBC Premier League, ambapo timu zote zinatarajia kuonesha ushindani mkali kusaka alama 3 muhimu.
Kikosi cha TRA United SC
Kikosi cha...
Niwaombe mamlaka ya LATRA waingilie kati maana costa za Moshi Arusha wamejipangia nauli wanavyo taka hii imekuwa ghali kuliko. Naomba Latra wafuatilie hili au wapange nauli halali kama inavyo takiwa. Shukran
“UKOSEKANAJI WA METER ZA MAJI ARUSHA”. Tumekuwa tunapitia changamoto kubwa ya kuunganishiwa huduma ya maji Arusha kwa kisingizio kutoka AUWSA kwamba hakuna meter.
Baadhi ya Wakazi wa Moshono, Kata ambayo ipo hapahapa Arusha Mjini tumefanya malipo tangu January lakini hakuna Meter na hili...
Mimi ni mwalimu wa Shule ya Sekondari katika Halmashauri ya Arusha DC.
Hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha nne walifanya mitihani ya pre-mock, ambapo kila mwanafunzi alitozwa shilingi 12,000 kwa madai ya kugharamia usahihishaji wa mitihani hiyo.
Cha kushangaza na kusikitisha ni kwamba...
Anonymous
Thread
arusha
halmashauri
karibuni
katika
kidato
kidato cha nne
mimi
mitihani
mwalimu
sekondari
shule
shule ya sekondari
wanafunzi
Ripoti ya CAG, ikiunganishwa na ripoti ya Ile tume ya Kodi itakuonesha kwa Nini Mimi natamani kujifia kila ninapo LIPA Kodi
Nauliza katika Ili la uwanja wa mpira Makonda na yule aliyekuwa mbunge wa Arusha wanaponaje?
Maccm majizi jaman jaman jaman.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akisoma ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, Machi 30, 2026 amesema alibaini upungufu katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha, ambapo ulikadiriwa kugharimu Tsh. Bilioni 187 lakini mkataba ukasainiwa kwa Tsh...
🚨 TANGAZO LA KAZI – SALES PERSON (2 POSTS) 🚨
Time Less International inatangaza nafasi za kazi za Sales Person kwa wahitaji wenye sifa zifuatazo:
✅ Awe na Degree au Diploma
✅ Awe smart na mwenye muonekano nadhifu
✅ Awe na uzoefu wa kazi za sales
✅ Awe tayari kuanza kazi tarehe 01/04
✅ Msichana...
Kuna Watumishi ambao wana nafasi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa hapa Arusha wamekuwa ni kero kubwa kwa baadhi ya Wafanyakazi.
Kati yao kuna Mhasibu na Katibu Tawala Msaidizi (Utawala), wamekuwa wakinyanyasa Watumishi kwa ufupi wanatumia ofisi vibaya.
Malalamiko Makuu
• Unyanyasaji na Lugha...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction Engineering Group kuhakikisha ifikapo Mei 2027 iwe imekamilisha ujenzi wa miundombinu ya bababara za kuelekea na kuzunguka uwanja mpya utakaotumika katika Mashindano ya...
Kijana Mmoja mwenye umri wa miaka 35 ajulikanae kwa jina la Allen Malya anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka lake, tukio hilo la kusikitisha limetokea katika Kitongoji cha Sereni Kijiji cha Usari, Kata ya Machame Narumu, Kilimanjaro.
Kaka Mkubwa wa marehemu ajulikanae kama Samora...
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Florent Kyombo ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa miradi ya TACTIC katika Jiji la Arusha, miradi ambayo imeweka kiwango bora cha utekelezaji wa miradi ya...
Wakuu,
Akizungumza Machi 13 2026 na watendaji wa Serikali mkoani Arusha Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Toba Nguvila amepiga marufuku wenyeviti wa mitaa na wenyeviti wa vijiji kutomiliki mihuri ya ofisi za Serikali akisisitiza kuwa mihuri hiyo inapaswa kutumiwa tu na watendaji walioko kisheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.