TUKIO LA WAANDISHI WA HABARI KUKAMATWA NA KUPEWA KESI YA MCHONGO ARUSHA.
Waandishi wa Habari wawili wa vyombo vya Habari tofauti mmoja Korumba Victor Moshi na Wa Global Tv na Alphonce Kusaga Wa Tripal A Redio wote wa Mkaoni Arusha walikamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha wakiwa wanafatilia...
Mara ya kwanza, alikuwa akizungumzia suala la uhamiaji nchini Marekani
Mara ya pili, aliwazuia wafuasi wake wasimzomee mfuasi wa Trump aliyekuja kumpinga
Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important that being right.
UTANI NI MZURI NA MTAMU LAKINI ANGALIA UNAYEMTANIA.
Anaandika Robert Heriel.
Sisi wengine tumezoea matani, tumezoea kutaniwa, kudhihakiwa, kukejeliwa, hata kuzomewa piah. Mtu aliyebobea kwenye matani hayo kwake ni mambo madogo kabisa.
Sisi tuliozoea utani tunamiiko yetu, tunajua mipaka yetu...
Tuseme wewe ni mwanamume na watafuta mchumba , kitu gani utakachoangalia kwanza kabisa?. Yaani kivutio cha kwanza ni kipi? Utavutiwa na nini au sehemu gani ya mwanamke?
hapana Umekosea ,sivyo unavyofikiria?
Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kitu cha kwanza kabisa wanaume anachoangalia...
Kwema wana jf taifa kubwa
Naitwa makolelo
Mkazi wa dar
Elimu diploma
Uzoefu
Store keeper kampuni ya jiangxi Mwaka mmoja
Shop manager fashion shop
Revenue collector municipal
Cashier
Site foremen supervising 10 labour
Natafuta kazi yoyote ya kuingiza riziki na nimuuguze mama angu Kitu hiki...
Wale wapenzi wa boxing unaweza kuangalia sasa pambano la Canelo vs Plant kupitia link hii Boxing : Canelo Alvare vs Caleb Plant - HesGoal.Com Sports News
Jamaa ana ujuaji fulani wa kibwege sana hata kakiongea anang'ata ulimi na kurembaremba accent sijui ili a sound kama wazungu, unatuabisha wachaga wewe, sijasahau uliposababisha beef kubwa kati ya Magori na Efm baada ya Magori kuchanganya madesa na kudhani sport Hq ndiyo waliyotangaza habari...
Napongeza sana kushuhudia transformation inayokwenda kufanyika TANESCO kulifanya shirika la kujiendesha kibishara. Sina wasiwasi na uwezo wa MD Maharage Chande pamoja na bodi yake inayongozwa na gwiji wa ufuatiliaji wa miradi Omary Issa. Lakini pia naangalia wajumbe kama Zawadia Nanyaro alikuwa...
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.
Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.