Tanzania ni nchi nzuri iliyobarikiwa kila kitu.
Imebarikiwa kijiografia kwa kuwekwa mahali pazuri kwenye lango kuu la bahari ambayo ni tegemeoa la nchi takriban sita. Nazo ni Zambia, Congo DRC, Malawi, Burundi, Rwanda, Zimbabwe.
Tunayo kila aina ya madini muhimu duniani - Almasi, Dhahabu...