Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,013
- 12,277
Hizi ni nyuzi special kuelezea akili za mtu mweusi, naanzia hapa.
Akili za mtu mweusi season1.
ep 01 :
Kuchangishana pesa kwenye raha binafsi za watu( hizi wanaita sherehe za harusi, ubatizo, birthday n.k )
* Kuna huu ujinga unaoendelea kwenye jamii zetu wa kuchangishana kwenye furaha binafsi za watu pesa kwa ajili ya kuendeshea shughuli zao.
* Imefika hatua wajinga wanakusanya michango kama vile ana kudai, ni mwendo wa kukufuatilia kila uchwao ili tu umsaidie pesa ya kuendeshea huo upuuzi wake sijui ndoa, birthday na ujinga mwengine.
* Kuna watu wanavuka mstari mwekundu mpaka anakuunganisha kwenye magroup ya WhatsApp ili mpige zogo humo za namna gani mtapush upuuzi wake anao panga kuufanya.
* Kadi sasa hapa ndio kuna ujinga mwingi sana imekuwa kama kitambulisho cha taifa kwamba lazima uchukue na utie kiasi tajwa huu ni ufala wa level ya juu sana.
* Sherehe za harusi, ubatizo, birthday, vipaimara n.k hizi zote ni raha binafsi sio mchongo kutaka marafiki, ndugu, watu wa karibu, watu unao juana nao, majirani kukuchangia kwenye raha zako binafsi unazo taka fanya.
* Fanya vitu kwa uwezo wako usiwape shida jamii kuuwazia upuuzi wako namna gani ya kuupush.
NB: Hizi akili za namna hii kwa watu weusi inabidi zikome mara moja na najua kuna majitu humu huu uzi umewagusa kwa sababu ndizo akili hizi zimejaa vichwani mwao.
Akili za mtu mweusi season1.
ep 01 :
Kuchangishana pesa kwenye raha binafsi za watu( hizi wanaita sherehe za harusi, ubatizo, birthday n.k )
* Kuna huu ujinga unaoendelea kwenye jamii zetu wa kuchangishana kwenye furaha binafsi za watu pesa kwa ajili ya kuendeshea shughuli zao.
* Imefika hatua wajinga wanakusanya michango kama vile ana kudai, ni mwendo wa kukufuatilia kila uchwao ili tu umsaidie pesa ya kuendeshea huo upuuzi wake sijui ndoa, birthday na ujinga mwengine.
* Kuna watu wanavuka mstari mwekundu mpaka anakuunganisha kwenye magroup ya WhatsApp ili mpige zogo humo za namna gani mtapush upuuzi wake anao panga kuufanya.
* Kadi sasa hapa ndio kuna ujinga mwingi sana imekuwa kama kitambulisho cha taifa kwamba lazima uchukue na utie kiasi tajwa huu ni ufala wa level ya juu sana.
* Sherehe za harusi, ubatizo, birthday, vipaimara n.k hizi zote ni raha binafsi sio mchongo kutaka marafiki, ndugu, watu wa karibu, watu unao juana nao, majirani kukuchangia kwenye raha zako binafsi unazo taka fanya.
* Fanya vitu kwa uwezo wako usiwape shida jamii kuuwazia upuuzi wako namna gani ya kuupush.
NB: Hizi akili za namna hii kwa watu weusi inabidi zikome mara moja na najua kuna majitu humu huu uzi umewagusa kwa sababu ndizo akili hizi zimejaa vichwani mwao.