GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,709
- 109,144
Nimedokezwa kuwa huko CIA na MOSSAD wao Kipaumbele chao kwa wanao wa recruit ni Akili za Kuzaliwa nazo pekee na hizo za Kitaaluma (za Darasani) nenda Katambe nazo kwa Washamba Wenzako huko Kijijini Kwenu.
Na nimedokezwa pia nchi zingine nyingi (hasa Barani Afrika) ila Tanzania haipo Wao ili uwe ni mwana Usalama wa Taifa wanaangalia Taaluma yako kama umeshawahi kupata Sup Chuoni au kama ulipokuwa Darasani ulikuwa unakaa mbele na muulizaji Maswali mzuri na Daftari zako ni Safi na Notes zako zinavutia na uwe na Uwezo mkubwa wa Kukariri Notes za Mwalimu wako (hata kama huzielewi) na Kuzijibia Mitihani ili upate Alama A na B.
Je, ukweli hasa ni upi? Najua hapa JamiiForums mpo /wapo Wabobezi wa Fani husika (tajwa) hivyo watanisaidia Kunifafanulia / Kutufafanulia akina siye tusiojua lolote lile kuhusu mambo / masuala ya Usalama wa Taifa ( Intelligence ) hapa duniani.
Na nimedokezwa pia nchi zingine nyingi (hasa Barani Afrika) ila Tanzania haipo Wao ili uwe ni mwana Usalama wa Taifa wanaangalia Taaluma yako kama umeshawahi kupata Sup Chuoni au kama ulipokuwa Darasani ulikuwa unakaa mbele na muulizaji Maswali mzuri na Daftari zako ni Safi na Notes zako zinavutia na uwe na Uwezo mkubwa wa Kukariri Notes za Mwalimu wako (hata kama huzielewi) na Kuzijibia Mitihani ili upate Alama A na B.
Je, ukweli hasa ni upi? Najua hapa JamiiForums mpo /wapo Wabobezi wa Fani husika (tajwa) hivyo watanisaidia Kunifafanulia / Kutufafanulia akina siye tusiojua lolote lile kuhusu mambo / masuala ya Usalama wa Taifa ( Intelligence ) hapa duniani.