Position: Monitoring And Evaluation Advisor
Reports to: Senior Technical Lead
Duties and Responsibilities:
Design and implement the Project’s Evaluation and Performance Measurement Plan (EPMP) indicators and IV&E data collection tools.
Work closely with the portfolio lead to ensure all program...
Kwa mabadiliko makubwa ya teknolojia hatutegemei kwa na ajira nyingi za mkupuo kama miaka ya zamani. Hii ni dunia nzima.
Zinabaki taaluma chache tu ambazo ni lazima awepo mtu watu wachache ili mambo yaende.
Niliongea na muhandisi mmoja katika fani yake anasema wanafunga tech kwenye mashine...
Position: Quality Assurance Manager
Our client is a registered Tanzanian Company under Companies Ordinance (Cap. 212) and a leading hospitality Company with Operations in Arusha, Meatu-Simiyu and Mara Regions. We are currently looking for a Quality Assurance Manager to be part of our team on...
Kwa Majina Naitwa Musa Augustino Lweve, ni dereva wa magari Manual pia na Automátic. Lengo la kuleta mada kwenu ni kusaidiana.
Nilikuwa naomba mwenye connection ya kusafirisha gari kwenda nchi jirani
Kwa yeyote atayeweza kunisaidia namba yangu ni 0714290584. Asanteni
Position: Receptionist
Category: National
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Reference: 21164
Background
Enabel in Tanzania is launching its new Country Strategy for the Bilateral Cooperation in Tanzania 2023-2027 while also preparing the kick-off of several interventions financed by other...
Umoja wa Vijana CCM tuanzisheni miradi mikubwa ya Kimkakati ili kutengeneza ajira Kwa wanachama wetu.
Kwa kuanzia tunaweza kuanza na,
1. Viwanda vidogo vya kutengeneza unga wa sembe/dona katika pakiti,
2. Viwanda vya juice ya matunda,
3. Karakana za ukarabati wa mitambo ya Kilimo na magari...
Una kuta mtu ktk program aliyosemea ndani yake kuna courses za profession fulan lkn kama utumishi ktk education qualification wakisema wanataka B.A Y basi ni Y tu
Huu.mfumo ni wa kuutazama uendane na programs zinazo tolewa na vyuo sio kujichanganya tu.
Mfano : system akisema imwombaji awe...
GGML Internship Programme
Geita Gold Mining Ltd (GGML) has been a strong supporter to the government initiatives to enhance graduates’
employability in Tanzania, having implemented internships and other graduate programmes for several years. GGML is contributing towards skills development in...
Kampuni yenye ofisi zake jijini Dar es Salaam inayothamini usawa wa kijinsia inatafuta wanawake 10 wa kushusha lori 4 za saruji. Yaani kwa siku ni kushusha saruji kwenye malori manne. Hii ajira ni ya kudumu. Changamkieni fursa kina dada.
Acha tuambizane ukweli kuhusu hali zilizopo ndani ya jamii zetu hata kama tusipopenda kusikia ukweli sawa tu.
Huu mtindo wa wazazi wa kitanzania kusomesha watoto kwenye shule zenye kuhitaji pesa nyingi na kuacha za kawaida huku hali ya maisha ikiwa haisomeki ni wa kishamba.
Mzazi anaye...
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga ametoa taarifa za tukio la Askari kujiua kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi.
Amesema tukio la kujiua kwa kujipiga risasi kwa aliyekuwa Askari J.2596 Konstebo wa Polisi Samwel Feston Kaziyote [24] wa kituo kikuu cha Polisi Mbeya...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (Mb) amewaelekeza Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanalipa fedha za kujikimu kwa Watumishi wa ajira mpya za Ualimu na Afya walioripoti kwenye vituo vya kazi kuanzia mwezi...
Habari wadau
Nimependa mfumo wa waarabu na wahindi jinsi ndoa zao zinavyokuwa
Wazazi ndio wanawajibika kuwatafutia watoto wao Mke / Mume wanapofikia umri wa kuoa.
Mfano tazama tangazo la Dr Zakir Naik ambaye ni islamic scolar maarufu duniani.. la kumtafutia mwanae wa kiume mke wa kuoa...
TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga.
Ajira za TRA kupitia utumishi hazijawahi kuwatenga watu wenye Elimu ya Finance, vijana wengi tunawafahamu wameajiriwa TRA na...
Position: Laboratory Technologist (8 Positions)
Report to: Laboratory Manager and HJFMRI Regional Laboratory Lead
Terms of Employment: One-year contract
Salary: TGHS B
Major function of the position
The Laboratory Technologist will be a point of contact for all samples that are referred from...
Position: Program Accountant
Report to: Chief Accountant and HJFMRI Contracts and Partnership Officer
Terms of Employment: One-year contract
Salary: TGS E
Specific Duties and Responsibilities:
Preparation of Annual budget for Mbeya RAS HIV program.
Working in collaboration with the Districts...
Position: Assistant Program Accountant
Report to: Program Accountant and HJFMRI Contracts and Partnership Officer
Terms of Employment: One-year contract
Salary: TGS C
Major function of the position
Under the supervision of the Program Accountant and guidance from the HJFMRI Contracts and...
Position: Radiographer
Job Details
Diploma in radiography or radiologic technology.
A state license and certification to practice.
Excellent communication, interpersonal, and patient service skills.
Good analytical and problem-solving skills.
The ability to operate and understand radiographic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.