ajira

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Monitoring And Evaluation Advisor at Mzumbe University October, 2023

    Position: Monitoring And Evaluation Advisor Reports to: Senior Technical Lead Duties and Responsibilities: Design and implement the Project’s Evaluation and Performance Measurement Plan (EPMP) indicators and IV&E data collection tools. Work closely with the portfolio lead to ensure all program...
  2. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwa ukosefu mkubwa wa ajira sasa na wakati ujao, Unadhani vijana wasomee nini ili waje kuwa wakina nani?

    Kwa mabadiliko makubwa ya teknolojia hatutegemei kwa na ajira nyingi za mkupuo kama miaka ya zamani. Hii ni dunia nzima. Zinabaki taaluma chache tu ambazo ni lazima awepo mtu watu wachache ili mambo yaende. Niliongea na muhandisi mmoja katika fani yake anasema wanafunga tech kwenye mashine...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Quality Assurance Manager at Expert Consultancy Ltd October, 2023

    Position: Quality Assurance Manager Our client is a registered Tanzanian Company under Companies Ordinance (Cap. 212) and a leading hospitality Company with Operations in Arusha, Meatu-Simiyu and Mara Regions. We are currently looking for a Quality Assurance Manager to be part of our team on...
  4. Musa Augustino Lweve

    JamiiForums Tanzania Connection ya kusafirisha magari kwenda nchi jirani

    Kwa Majina Naitwa Musa Augustino Lweve, ni dereva wa magari Manual pia na Automátic. Lengo la kuleta mada kwenu ni kusaidiana. Nilikuwa naomba mwenye connection ya kusafirisha gari kwenda nchi jirani Kwa yeyote atayeweza kunisaidia namba yangu ni 0714290584. Asanteni
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Receptionist at Enabel October, 2023

    Position: Receptionist Category: National Location: Dar Es Salaam, Tanzania Reference: 21164 Background Enabel in Tanzania is launching its new Country Strategy for the Bilateral Cooperation in Tanzania 2023-2027 while also preparing the kick-off of several interventions financed by other...
  6. and 998 others

    JamiiForums Tanzania UVCCM tuanzishe miradi ya Kimkakati kutengeneza ajira

    Umoja wa Vijana CCM tuanzisheni miradi mikubwa ya Kimkakati ili kutengeneza ajira Kwa wanachama wetu. Kwa kuanzia tunaweza kuanza na, 1. Viwanda vidogo vya kutengeneza unga wa sembe/dona katika pakiti, 2. Viwanda vya juice ya matunda, 3. Karakana za ukarabati wa mitambo ya Kilimo na magari...
  7. luangalila

    JamiiForums Tanzania Ajira portal ina bagua baadhi ya profession

    Una kuta mtu ktk program aliyosemea ndani yake kuna courses za profession fulan lkn kama utumishi ktk education qualification wakisema wanataka B.A Y basi ni Y tu Huu.mfumo ni wa kuutazama uendane na programs zinazo tolewa na vyuo sio kujichanganya tu. Mfano : system akisema imwombaji awe...
  8. Chale david

    JamiiForums Tanzania Ni ipi kozi yenye ajira kati ya Business Administration na Accountancy?

    Naombe msaada kujuzwa kozi nzuri kati ya Bussness Administration na Accountancy ipi yenye ajira zaidi?
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Internships at Geita Gold Mining LTD October, 2023

    GGML Internship Programme Geita Gold Mining Ltd (GGML) has been a strong supporter to the government initiatives to enhance graduates’ employability in Tanzania, having implemented internships and other graduate programmes for several years. GGML is contributing towards skills development in...
  10. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Dar es Salaam inayothamini usawa wa kijinsia inatangaza ajira kwa wanawake

    Kampuni yenye ofisi zake jijini Dar es Salaam inayothamini usawa wa kijinsia inatafuta wanawake 10 wa kushusha lori 4 za saruji. Yaani kwa siku ni kushusha saruji kwenye malori manne. Hii ajira ni ya kudumu. Changamkieni fursa kina dada.
  11. Mto Songwe

    JamiiForums Tanzania Kusomesha mtoto kwa pesa nyingi halafu kuja kulalamika hakuna ajira( za kitumwa ) ni ujinga uliopitiliza

    Acha tuambizane ukweli kuhusu hali zilizopo ndani ya jamii zetu hata kama tusipopenda kusikia ukweli sawa tu. Huu mtindo wa wazazi wa kitanzania kusomesha watoto kwenye shule zenye kuhitaji pesa nyingi na kuacha za kawaida huku hali ya maisha ikiwa haisomeki ni wa kishamba. Mzazi anaye...
  12. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Askari Polisi afariki kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi

    Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga ametoa taarifa za tukio la Askari kujiua kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi. Amesema tukio la kujiua kwa kujipiga risasi kwa aliyekuwa Askari J.2596 Konstebo wa Polisi Samwel Feston Kaziyote [24] wa kituo kikuu cha Polisi Mbeya...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Mchengerwa aagiza Fedha za Kujikimu za Ajira Mpya zilipwe kabla 30 Oktoba, 2023

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (Mb) amewaelekeza Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanalipa fedha za kujikimu kwa Watumishi wa ajira mpya za Ualimu na Afya walioripoti kwenye vituo vya kazi kuanzia mwezi...
  14. F

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa kusaka Mke/ Mume unaotumika Uarabuni mzuri sana. Dkt. Zakir Naik (islamic scolar) anamtafutia mke mwanae kwa Tangazo kama ajira vile

    Habari wadau Nimependa mfumo wa waarabu na wahindi jinsi ndoa zao zinavyokuwa Wazazi ndio wanawajibika kuwatafutia watoto wao Mke / Mume wanapofikia umri wa kuoa. Mfano tazama tangazo la Dr Zakir Naik ambaye ni islamic scolar maarufu duniani.. la kumtafutia mwanae wa kiume mke wa kuoa...
  15. Chongeni

    JamiiForums Tanzania Ajira za TRA zina ubaguzi kwa watu wa Banking and Finance

    TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga. Ajira za TRA kupitia utumishi hazijawahi kuwatenga watu wenye Elimu ya Finance, vijana wengi tunawafahamu wameajiriwa TRA na...
  16. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Hii picha katika Ajira Mianne kugombea na watu Elfu hamsini na sita sio mchezo !

    Inafikirisha Sana siku ya usahili (TRA) you can't imagine
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Laboratory Technologist (8 Positions) at HJFMRI September, 2023

    Position: Laboratory Technologist (8 Positions) Report to: Laboratory Manager and HJFMRI Regional Laboratory Lead Terms of Employment: One-year contract Salary: TGHS B Major function of the position The Laboratory Technologist will be a point of contact for all samples that are referred from...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Program Accountant at HJFMRI September, 2023

    Position: Program Accountant Report to: Chief Accountant and HJFMRI Contracts and Partnership Officer Terms of Employment: One-year contract Salary: TGS E Specific Duties and Responsibilities: Preparation of Annual budget for Mbeya RAS HIV program. Working in collaboration with the Districts...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Assistant Program Accountant at HJFMRI September, 2023

    Position: Assistant Program Accountant Report to: Program Accountant and HJFMRI Contracts and Partnership Officer Terms of Employment: One-year contract Salary: TGS C Major function of the position Under the supervision of the Program Accountant and guidance from the HJFMRI Contracts and...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Radiographer at Tindwa Medical & Health Services September, 2023

    Position: Radiographer Job Details Diploma in radiography or radiologic technology. A state license and certification to practice. Excellent communication, interpersonal, and patient service skills. Good analytical and problem-solving skills. The ability to operate and understand radiographic...
Back
Top Bottom