Hii picha katika Ajira Mianne kugombea na watu Elfu hamsini na sita sio mchezo !

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
17,998
45,501
Inafikirisha Sana siku ya usahili (TRA) you can't imagine
IMG_20230928_183427_852.jpg
 
Hapa ni wazi hapakosi mianya ya rushwa. Halafu ni dalili mbaya za kuwepo kwa umasikini na ufukara wa kutisha. Ajira kama hizi inatakiwa ikose watu wa kuomba mpaka watangaza ajira watoe bonus kwa watakaojitokeza kuomba. Wahitimu wakiwa na shughuli zao za kuingiza kipato cha kueleweka, nani ataenda kusota kuomba nafasi hiyo? Njaa kali, hakuna ajira inabidi wajitokeze wengi kuomba ajira hiyo
 
Back
Top Bottom