ajali

Mozaffar Ajali (Persian: مظفر اجلی‎, born 30 December 1962) is an Iranian weightlifter. He competed in the 1992 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Kama kawaida yetu 'Waswaholi' Ajali ya Mtwara imeua Wengi, ila sasa Wote tuko tu kwa Mzazi aliyepoteza Watoto wake Wawili

    Niendelee kutoa Pole zangu za dhati kabisa kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na kwa wale waliopatwa na Majeraha nawaombeni kwa Mwenyezi Mungu awaponye upesi na huko mnakotibiwa mpate Tiba stahiki. Huu Msiba ni wa Jumla na hata tukiwa tunauongelea basi tuuongelee Kiujumla jumla na siyo kama...
  2. peno hasegawa

    Ajali iliyoua wanafunzi Mtwara, Haice ilikuwa na watu 30. Haice inaruhusiwa kubeba abiria wangapi?

    RTO Mtwara watanzania wanasubiri majibu ya swali hili.
  3. Boss la DP World

    MTWARA: Basi la Shule ya King David lapata ajali, watu 10 Wamefariki na wengine 19 Wakijeruhiwa baada ya gari 'kufeli breki'

    Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60) Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na...
  4. M

    Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

    Kuna mrembo alinizungusha miaka mitatu. Sms anajibu, story kwenye simu poa, kukutana maeneo tunakutana ila home hataki kuja. Gheto langu ningeliita tu kwa Mkapa maana ukiingia hutoki. Kuna basi la xxxxx liliwahi kupinduka na kuua watu kibao na majeruhi pia, nikamfata mshkaji wangu anafanya...
  5. Tonytz

    SoC02 Ajali za magari barabarani nchini Tanzania na athari zake katika maendeleo

    UTANGULIZI Nchini kwetu Tanzania kwa sasa kumekuwa na mwendelezo wa ajali mbalimbali ikiwemo za magari barabarani, mashuleni kuwepo na ajali za moto ambao vyanzo vyake havifahamiki kwa haraka. Ajali hizi zinaweza kusababishwa na hali ya kimazingira, kiufundi au kibinadamu. Hapa ina maana kuwa...
  6. Pascal Mayalla

    Ajali Mbaya Goba Rd Masana, Magari (4) na Bodaboda Yagongana USO Kwa Uso!. Congestion ya Balaa!. Thanks God No Casualty, No Fatality!

    Wanabodi Kumetokea ajali mbaya ya magari manne na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital. Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda...
  7. Roving Journalist

    RC Makalla apokea Vitanda 108, Meza 38 na Vyuma 161 kwaajili ya majeruhi wa Ajali kutoka Ujerumani

    RC MAKALLA APOKEA MSAADA WA VITANDA VYA WAGONJWA KUTOKA UJERUMANI. - Ni Vitanda 108, Meza 38 na Vyuma161 kwaajili ya majeruhi wa Ajali. - Avigawanya kwa kila Halmashauri ya Mkoa. - Ampongeza Rais Samia kwa kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia baina ya Tanzania na Ujerumani. Mkuu wa Mkoa wa...
  8. Poker

    Basi la Happy Nation lapata ajali kwa kugongana na lori uso kwa uso

    Updates soon! Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo la Mkambarani, mkoani Morogoro.
  9. Lady Whistledown

    Watu 20 wa Ukoo mmoja wafariki kwa ajali ya Mashua Pakistan

    Miili 20 imeopolewa na na takriban watu 30 hawajulikani walipo baada ya mashua iliyokuwa imebeba zaidi ya watu 100 wa ukoo mmoja kupinduka kwenye mto katikati mwa Pakistan. Boti hiyo iliyojaa mizigo ilikuwa ikielekea katika harusi ya kifamilia ilipopinduka katika Mto Indus katika wilaya ya...
  10. M

    LATRA yapiga Stop usafirishaji kwa kutumia magari madogo kuepuka ajali za kila siku

    RC Kafulila apiga marufuku ‘michomoko’ kusafirisha abiria Mkoa wa Simiyu Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC) nchini Tanzania, David Kafulila amepiga marufuku magari madogo maarufu michomoko kusafirisha abiria mkoani humo. Ni baada ya kuhusika kwenye matukio ya ajali yaliyosababisha vifo vya watu 10 na...
  11. JanguKamaJangu

    Kagera: Mama aliyefariki na wanaye wanne katika ajali yadaiwa alikuwa akimkimbia mume wake

    WATU wanane waliokufa kwenye ajali ya gari wilayani Biharamulo mkoani Kagera wakiwemo watano wa familia moja wamezikwa katika Kijiji cha Nyamalagala, Kata ya Lusahunga wilayani Biharamulo mkoani Kagera. Diwani wa Kata ya Lusahunga, Amos Madebwa alisema kijiji hicho kimepata simanzi kwa kupoteza...
  12. Roving Journalist

    Kagera: Ajali yaua watu nane wakiwemo watano wa familia moja Julai 12, 2022

    Watu wanane wamefariki Dunia watano wakiwa wa familia moja baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso katika Barabara Kuu ya kutoka Lusahunga kwenda Nyakahura Wilayani Biharamulo Mkoa wa Kagera, usiku wa kuamkia leo Julai 12, 2022. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, William Mwampaghale amesema...
  13. Analogia Malenga

    15 wafariki kwa ajali ya boti Nigeria

    Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti katika mji wa biashara wa Nigeria Lagos imeongezeka na kufikia 15 huku miili zaidi ikiopolewa, maafisa wa dharura wamesema Jumapili. “Kulikuwa abiria 16 ndani ya boti wakati ajali ilipotokea Ijumaa usiku,” Ibrahim Farinloye wa idara ya kitaifa ya...
  14. JanguKamaJangu

    Ajali ya treni Tabora, Rais Samia aagiza uchunguzi ufanyike na hatua zichukuliwe

    Rais Samia Suluhu ametuma salamu za rambirambi kutokana na tukio la treni ya abiria kuanguka na kusababisha vifo vya watu kadhaa eneo la Malolo Mkoani Tabora, pia ameagiza uchunguzi ufanyike kubaini chanzo na hatua zichukuliwe. Ajali hiyo ilitokea jana Juni 22, 2022 ambapo baadaye Mkurugenzi wa...
  15. JanguKamaJangu

    TRC yasema Ajali ya treni ya abiria Juni 22, 2022 iliyosababisha vifo na majeruhi ni HUJUMA

    Chanzo cha ajali ya treni ya abiria iliyotokea Juni 22, 2022 Mkoani Tabora na kusababisha vifo vya watu kadhaa na kujeruhi wengine kimetajwa kuwa ni hujuma. Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema kuna kipande cha reli kiliondolewa na kisha kurudishwa kwa...
  16. Tanzania Railways Corp

    Taarifa kwa Umma: Ajali ya Treni ya Abiria - Malolo, Tabora

    TAARIFA KWA UMMA TRENI YA ABIRIA KUTOKA KIGOMA YAPATA AJALI TABORA Shirika la Reli Tanzania (TRC) linautaarifu umma kuwa Treni ya abiria namba Y14 yenye injini namba 9019, iliyokuwa ikisafiri kutoka Kigoma kuelekea Dar es Salaam, imepata ajali majira ya saa 5:00 asubuhi eneo la Malolo...
  17. I

    Mkono kupoteza hisia baada ya ajali ya gari

    Habari za mida hii. Nina mdogo wangu wa kiume umri miaka 24 ni dereva, miezi minne iliyopita alipata ajali ya gari, alipata mikwaruzo mwilini pia akavunjika mkono wa kulia (mfupa mmoja wa chini na mfupa wa juu). Akawekewa POP kwa wiki sita, ila mpaka sasa mkono huo wa kulia hawez...
  18. Jackal

    Kamanda wa Anga Jeshi la Iran afariki kwa ajali ya Gari. Je, ni kazi ya Mossad?

    JUST IN: Iranian Air Force IRGC officer killed in a car accident during a mission. Is the Mossad behind it? I guess we will never know.
  19. Influenza

    Mufindi: Watu 18 wamefariki katika ajali ya Coaster na lori

    Watu 18 wamefariki dunia papo hapo, katika ajali ya gari Wilayani Mufindi katika barabara Kuu ya Iringa-Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema kuwa Coaster ilikuwa inatokea Dar kwenda Mbeya Aidha, amesema kwa taarifa za awali chanzo cha ajali hiyo ni kulikuwa na...
  20. JanguKamaJangu

    15% Majeruhi wa ajali wanaotibiwa Muhimbili hawana bima, huuza mali zao ili kujitibia

    Asilimia 15 majeruhi ajali wanaopata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wanauza vitu vyao vya ndani ili kupata fedha kwa ajili ya matibabu. Aidha, asilimia 20 ya majeruhi hao wanaazima fedha kwa ndugu najamaa kwa ajili ya kugharamia matibabu yao. Hayo yamesemwa Juni 6, 2022...
Back
Top Bottom