The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.
Habarini na poleni na majukumu
Uzi huu nimeandika kutokana na mada mbalimbali nilizokutana nazo zinazohusu mahusiano ya kindoa juu ya single mothers
Kwanza kabisa inabidi nitoe sababu chache za kwanini mwanamke anakuwa single mother.
1. Baba mtoto kukataa mimba au mtoto. Kiukweli hakuna jambo...
Boxer bm150
Haina tatizo lolote unapiga starter unaondoka
Nzuri sana kwa wenye maduka makubwa ya jumla kwa ajili ya usambazaji
bei Tsh 680,000
0658643636 Mbezi Magufuli stand
Habari wana JF,
Kwa wakazi wa Dodoma nina Dagaa aina ya uwono kutoka Tanga. Kwa anayehitaji au anayejua wapi ninaweza kupata wanunuzi wengi basi naomba anifahamishe ili tuwasiliane.
Habari wadau.
Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja.
Bei : 130,000
Mawasiliano : +255621396850
HAPA ndipo chimbuko la wazungu na baadhi ya waarabu, nchi ya Georgia, panaitwa CAUCASIA , milima Yao Inaitwa Caucasus mountains.
Bahari Yao Inaitwa BLACK SEA, haisapoti hata samaki... Ina kemikali zisizoruhusu uwepo wa wayama.
Tofauti na sisi great lakes ZETU za CHIMBUKO la mababu ZETU zote...
Rhond's company limited, we're car renting company with best services . All types of cars are available (Private)
Some of rental purposes include:
1.Tours
2.Weddings
3.Sendoffs
4.Funerals transfer
5.Picnics
6.Projects requiring car rental
7.NGO's
and many more
Location: Mwembechai
Call us...
Licha ya Takwimu za Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha 4 zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania kuonesha Watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu Mtihani huo, Watahiniwa 56,149 (10.64%) wamefeli kwa kupata Daraja 0.
Pia, Jumla ya Watahiniwa 274,001 (51.94%) wamepata Daraja la 4 ikiwa ni...
Kodi zifuatazo hutozwa kwenye magari yanayoingia nchini;
1. Ushuru wa forodha (Import Duty): asilimia 25% ya thamani ya kununulia gari (CIF Value)
2. Ushuru wa bidhaa (Excise Duty due to CC-EX): asilimia 0%, 5% & 10% kutegemea na ukubwa engine (chini ya 1000cc= 0%, cc 1000 mpaka 1,999=5% & cc...
Ndugu, katika pitapita kwenye magroup ya wahangaikaji, nimekuta mtu anasema kilimo cha parachichi (aina ya fuerte) kinastawi Wilaya ya Urambo Tabora...Vipi kuna ukweli??
asante
Leo mtandaoni nimeona kumepostiwa picha za jengo jipya la kimataifa la kuabudia (International worship centre) huko jimbo la Ikwa Ibom, Nigeria. Ni jengo linalotajwa kugharimu zaidi ya naira bilioni 20. Kwangu mimi huu ni uwendawazimu.
Afrika inahitaji viwanda, vyuo vya ufundi, hospitali na...
Habari Wanajamvi!
Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu.
Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo.
Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana hiyo Bado ni mpya na iko kwenye hali nzuri.
Bei ni Tshs 650,000/=
Kwa mawasiliano nicheki 0745 493961
Afrika kwa mfano Tanzania tuna 1. Umasikini wa mawazo/ fikra na 2. Umasikini wa kifedha.
Manake Inabid tupambane na two types za umaskini at the same time.
Mapambano yanakua makali tuna pambana na umaskin WA mawazo/ fikra kwa kiwango kidogo sana halafu tunapambana na umasikini wa kifedha. Kwa...
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;
1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.
2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni...
Kwa sasa pale united kuna mctonomy hyu dogo anafanya ya nick butt, kazi ya mchezaji anayetakiwa aharibu formation ya timu pinzani.
Hjulmand ni aina ya mchezaji ambaye hutakiwi kumtegemea katika box to box.
Anatakiwa acheze kama matic, butt, lkn huwez mtegemea katika box to box japo amazon...
Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8/1/2024 majira ya saa Nne usiku Familia ya Ndugu Nicholaus Kunju ilishambuliwa na Mbwa na kuisababishia madhara Kwenye sehemu mbalimbali za miili yao,walio shambuliwa ni Mke wake pamoja na watoto.
Walikuwa Mbwa aina ya Bull dog ambao anawafuga kwa ajili ya ulinzi...
Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina...
Baada ya jaribio la wiki iliyopita kuteka meli na kuipeleka kwenye maeneo yao kushindwa na kusababisha vifo vya askari 10 wa Houth kumewakasirisha sana wanamgambo hao na serikali ya Iran.
Iran imeamua kuingiza meli yake ya kivita katikati ya meli nyengine za kivita zinazojidai kuilinda bahari...
Wafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi.
1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru
2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom
3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom
4. Kama ni...
Mimi NI kijana wa miaka 23
Nahitaji kazi yoyote halali either ya nguvu au akili au zote kwa pamoja nimemaliz form four na nikisoma diploma miaka 2 wa tatu nimeshindwa kutoka na changamoto za ada hivyo nimeipata certificate course insurance and Risk management
Na Nina uzoefu wa kuuza Duka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.