africa

  1. Mutaitina

    Nigeria versus East Africa

    Okay you'll have seen that tweet from Nigeria about Zanzibar chiq who almost got raped. I was on her side until them Nigerians started tweeting nonsense about Swahili, Kenya and Tanzania!
  2. T

    Vyuo Vikuu vya Nchi za Afrika

    University of Zambia
  3. JF Member

    Kwanini Umoja wa Afrika usisaidie Waafrika kupunguza bei ya Mafuta?

    Wadau nawaza sana juu ya huu mfumko wa bei, hasa bei za Mafuta. Ukizingatia China na India wao wanapambana ili kupunguza gharama za wananchi wao kwa kukataa matakwa ya Nchi za Ulaya juu ya Urusi, je kwanini AU nao wasijipange vivyo hivyo? Wanunue ngano na mafuta kwa mrusi bila kufuata masharti...
  4. L

    Je Clatous chama wa simba atacheza robo fainali ya kombe la shirikisho Afrika?

    wasalaam wadau. napenda kujua Kama chama ataruhusiwa kucheza shirikisho caf kuanzia robo fainali maana napata mkanganyiko kuna wanaosema atacheza wengine wanasema hachezi
  5. Mtangoo

    The Best Startup Cities In Africa

    Commentary: Pamoja na kuwa na potential kubwa, Dar es Salaam haipo. Kuna mahali tunatakiwa kukaa na kurekebisha kama wajasi na kama nchi. Ukiangalia miji iliyopo kuna kitu kwa Bongoland yetu hakijakaa sawa ==============• Africa is an often underestimated and overlooked region when it comes to...
  6. Jamii Opportunities

    Medical Doctor - Re-Advertised at Maternity Africa

    RE-ADVERTISED MEDICAL DOCTOR Maternity Africa (www.maternityafrica.org) is a Christian-based, charitable, non-governmental organization registered in Tanzania. It is devoted to making childbirth safe by providing access to good maternity services and treatment of obstetric fistulae and other...
  7. GENTAMYCINE

    Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC utaandaa Uongo wa kutuambia kwanini Bernard Morrison hatoenda South Africa tarehe 24 April, 2022

    Na GENTAMYCINE najua ili 'Kutuzuga' zaidi na Wawahadae Majuha (Mazuzu) wengi huyu Mchezaji ataambiwa ama ajifanye Kaumia Mechi yetu ya Kwanza na Orlando Pirates FC tarehe 17 April, 2022 au acheze Faulo apate Kadi Nyekundu ili sababu ya Yeye kutoenda Afrika Kusini katika Mechi ya marudiano na...
  8. Meja Jenerali Isamuhyo

    Leo tuikumbuke World Cup ya 2010 pale South Africa

    Ilikuwa ni michuano ya kwanza kabisa kufanyika Afrika. Lakini ni michuano iliyoacha historia kubwa sana kwa wapenzi wapenda kandanda ulimwenguni kote. Mpira ulipigwa kwelikweli, nakumbuka ule mpira wa michuano uliotengenezwa na kampuni ya Adidas ukijulikana kama Jabulani. Mavuvuzela pia...
  9. Lycaon pictus

    Uislamu na Ukristo ndiyo vimeleta ubaguzi wa kijinsia, Afrika haikuwabagua wanawake

    Katika historia ya Tanzania kuna mtu aliyeitwa Kisabengo. Kisabengo alikuwa ni mtumwa wakati ambapo Sultani wa Zanzibar anatawala Zanzibar na pwani ya Afrika mashariki. Alikuwa ni mtu mwenye nguvu sana. Baada ya muda akatoroka atumwa akiwa na watumwa wengine akiwa kiongozi wao. Baada ya...
  10. N

    Simba ni kubwa Afrika. Comments za baadhi ya Waafrika Kusini wakiogopa Simba kupangwa na Orlando Pirates

    Ni vile tu tumezungukwa na majinga sana nchi hii ila simba kwa sasa ishajiweka kwenye level fulani kubwa sana soma mwenyewe comments za wana orlando pirates wakitamani wasipangwe na simba kwenye draw ya kesho.
  11. sinza pazuri

    Diamond aisimamisha Qatar na kuweka heshima kwa Africa

    Msanii namba moja Africa Diamond Platnumz au mashabiki wake wanapenda kumuita Simba mnyama mkali amekuwa trend namba moja nchini Qatar. Diamond amefanikiwa kuwa trending namba moja kwenye waandaaji hao wa World Cup akiwa na wimbo wake Watasubiri alomshirikisha malkia wa muziki Africa ya...
  12. MK254

    Kenya opens the only ice rink in East Africa

    Tourism and Wildlife secretary Najib Balala said the reopening of the rink will be a boost to ice-skating games, after Ice Lions, Kenya's only ice hockey team, hit global headlines two years ago. PHOTO | COURTESY Panari Nairobi has reopened its ice rink after two years, the only one in East...
  13. sinza pazuri

    Rayvanny aendelea kuvunja records za mauzo: Awa msanii wa kwanza East Africa kuingia Golden Club

    Msanii wa kimataifa Rayvanny anaeiwakilisha Tanzania kwenye matamasha makubwa ya kimataifa kwa sasa. Ameendelea kuonyesha nguvu yake kubwa ya kuuza muziki wake mtandaoni baada ya kufikisha streams million 100 kwenye mtandao wa boomplay. Anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo...
  14. Expensive life

    Nani alikuwa mkali wa kuimba hapa?

    Kati ya hawa malegend nani alikuwa mkali wa sauti tamu? Celine Dion Whitney Houston ( Rip) Mariah Carey Mimi naondoka na Celine Dion huyu mwana mama alikuwa ni shida, moja kati ya nyimbo zake kali ninazozipenda. Love doesn't ask why A new day has come Tiririka hapa ni nani ulikuwa...
  15. Priscallia

    History is made! Democratic Republic of Congo is now a new member of the East African Community

    EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community. H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State. === Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya...
  16. B

    Utatuzi bei ya mafuta: Serikali punguzeni matumizi ya V8. Mna matumizi makubwa sana, Afrika mpo nafasi ya pili

    Wanabodi, Kiukweli swala la MAFUTA ni changamoto, Siku zote bidhaa hupanda kwa sababu soko lake ni kubwa sana,huwezi kuta bidhaa inapanda Bei wakati solo hakuna, Hivyo hivyo kwa Tz ,Serikali hii ya huyu Bi mkubwa inaongoza kwa matumizi makubwa ya gari zitumiazo MAFUTA kwa wingi bila...
  17. Jamii Opportunities

    Senior Transport Specialist at World Bank

    Job #: req16704 Organization: World Bank Sector: Transportation Grade: GG Term Duration: 4 years 0 months Recruitment Type: International Recruitment Location: Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred Language(s): Closing Date: 4/8/2022 (MM/DD/YYYY) at...
  18. Jamii Opportunities

    General Manager Credit and Control at Bank of Africa

    GENERAL MANAGER: CREDIT AND CONTROL Location: Head Office Reporting to Managing Director Summary of Responsibilities: The role holder is responsible to provide strategic direction and oversight of the functions of Credit Analysis and Credit Control & Monitoring so as to coherently manage credit...
  19. The Sunk Cost Fallacy

    20 countries with the highest debt-to-GDP ratio in Africa

    Nawasalimu kwa jina la JMT. Moja kwa moja kwenye mada. Jarida la Business Insider liketoa orodha ya Nchi 20 zenye mzigo mkubwa wa madeni. Kwa mujibu wa aliyekuwa speaker wa Bunge la Tanzania bwana Jobo,alisema Tanzania inaweza kupigwa mnada kutokana na Kukopa Sana. Kwa mujibu wa hii orodha...
  20. Sky Eclat

    Jeff Bezos afungue ofisi Africa na kuajiri watu wakupeleka bidhaa kwa wateja

    Miaka ya 90 DHL walikua na ofisi mikoani na waliajiri vijana wa kupeleka mizigo kwa wateja. Vijana walipewa pikipiki kubwa na walifanya kazi kwa ufanisi. Amazon ni kampuni kubwa, ukiweza kufungua ofisi na kusimamia Uriah I wa makontena bandarini na wateja kupelekewa bidhaa zao mpaka nyumbani...
Back
Top Bottom