Tafadhali nijuze hili;ile promotion katika airtel money kwa jina la HAKATWI MTU HAPA ishakwisha? Nimeuliza sababu silioni tena tangazo lake hapa JF,badala yake naona la YATOSHA.
Ni ujumbe wa maandishi niliotumiwa kwenye simu yangu tarehe 19 mwezi 7 mwaka 2013,kwa bahati mbaya au nzuri sijaweza kumuuliza mtumaji hilo swali hilo hapo kwenye 'title' kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu
Nahitaji,niuzie,ikiwa unaiuza simu yako aina ya
Nokia E63 au Nokia E66 sio kwa sababu ni mbovu ila kwa sababu tu labda umeichoka au una hitajio la fedha. Utaniuzia bei gani ya shilingi za kitanzania?
Shukrani zikufikie uliyepitia hapa.
A Father, anahitaji CHEREHANI ya kusukuma
kwa miguu (manual), nzima, bora,
mpya au iliyotumika, aina yoyote PAFF, SINGER au BUTTERFLY. Shilingi ngapi za
Kitanzania? Bei inazungumzika?
Inamhusu anayepatikana 'Muheza'
au 'Tanga Mjini'.
Mawasiliano '0682930078' au kwa Private Message (PM).
Miongoni mwa ndugu, jamaa na
marafiki wanaoishi mbali mbali yupo
ambaye analazimika kuwajulia
wenzake hali au yeyote anaweza
kumjulia hali mwingine?
Nahitaji kujuzwa maana wapo
wanaoona kuwa fulani ndiye
anayepaswa kuwajulia hali. Kwa upande
wangu naona si vibaya kwa yeyote
ambaye...
Miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki wanaoishi mbali mbali yupo ambaye analazimika kuwajulia wenzake hali au yeyote anaweza kumjulia hali mwingine?
Nahitaji kujuzwa maana wapo wanaoona kuwa fulani ndiye anapaswa kutujulia hali. Kwa upande wangu naona si vibaya kwa yeyote ambaye atapata fursa...
Jinsi mambo yanavokuwaga mwanzo mpaka mwisho wa mitihani ya chuo kuna kila sababu ya kushukuru kujaaliwa kuianza mpaka kuimaliza salama huku matumaini ya kutonaswa yakiwepo.
Sumatra kutangaza kuwafutia leseni watakaopandisha nauli za kwenda mikoani, na je, linatekelezeka?
Pia naona kama hii ni kwa wanaoanzia Dar, vp kuhusu watokao mikoani kuja mjini?
Wakala amepewa pesa atume kwenye namba f'lani, aliyempa akishuhudia, baadae...aliyetumiwa hajaona chochote, wakala? Anadai kwake salio limepungua hivyo pesa ilikwenda, SMS ya ushahidi? Hakuna. "Wapigie airtel customer care kwenye namba 100", hakuna maelezo yaliyonyooka, kila unayefanikiwa...
Salaam.Leo nimekuja huku. Naomba kujuzwa kama nawezapata huduma ya Free Sms ya kujiunga katika mtandao wa AIRTEL mfano wa xtreme au tano ktk tiGO. Natoka MUHEZA,TA kwenda MORO na RAHALEO sasa nahitaji kujiunga na huduma hiyo ili niwajulishe na wengine kuhusu hii safari.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.