Search results

  1. The Son

    Tujuzane, ni lini???

    Walimu ajira mpya Sekondari Wilaya ya Mkinga, Tanga fedha za kujikimu kwa siku nne zilizobaki zitalipwa lini? Hali ya uchumi ngumu.
  2. The Son

    Msaada tafadhali;ni kuhusu kamusi ya Kiingereza-Kiingereza.

    Nitaipata wapi nii-download kamusi ya Kiingereza-Kiingereza ambayo maneno yake yamekuwa transcribed ki-fonetiki?
  3. The Son

    Dictionary

    Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
  4. The Son

    Dictionary

    Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
  5. The Son

    Ishakwisha?

    Tafadhali nijuze hili;ile promotion katika airtel money kwa jina la HAKATWI MTU HAPA ishakwisha? Nimeuliza sababu silioni tena tangazo lake hapa JF,badala yake naona la YATOSHA.
  6. The Son

    Is this serious? Angalia [color=blue]blue[/color]...

    Ni ujumbe wa maandishi niliotumiwa kwenye simu yangu tarehe 19 mwezi 7 mwaka 2013,kwa bahati mbaya au nzuri sijaweza kumuuliza mtumaji hilo swali hilo hapo kwenye 'title' kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu
  7. The Son

    Niuzie...

    Nahitaji,niuzie,ikiwa unaiuza simu yako aina ya Nokia E63 au Nokia E66 sio kwa sababu ni mbovu ila kwa sababu tu labda umeichoka au una hitajio la fedha. Utaniuzia bei gani ya shilingi za kitanzania? Shukrani zikufikie uliyepitia hapa.
  8. The Son

    Unaweza?

    Ana m-support aliye-abort ujauzito wa kujitakia. Anaonesha pia kuzijua local ways za ku-abort. Unaweza kumuamini kuwa naye hajawahi ku-abort?
  9. The Son

    Tuongee biashara.

    A Father, anahitaji CHEREHANI ya kusukuma kwa miguu (manual), nzima, bora, mpya au iliyotumika, aina yoyote PAFF, SINGER au BUTTERFLY. Shilingi ngapi za Kitanzania? Bei inazungumzika? Inamhusu anayepatikana 'Muheza' au 'Tanga Mjini'. Mawasiliano '0682930078' au kwa Private Message (PM).
  10. The Son

    Toka kitambo...

    Na mimi nimo humu.
  11. The Son

    Yapi maoni yako?

    Miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki wanaoishi mbali mbali yupo ambaye analazimika kuwajulia wenzake hali au yeyote anaweza kumjulia hali mwingine? Nahitaji kujuzwa maana wapo wanaoona kuwa fulani ndiye anayepaswa kuwajulia hali. Kwa upande wangu naona si vibaya kwa yeyote ambaye...
  12. The Son

    Lawama za nini???

    Miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki wanaoishi mbali mbali yupo ambaye analazimika kuwajulia wenzake hali au yeyote anaweza kumjulia hali mwingine? Nahitaji kujuzwa maana wapo wanaoona kuwa fulani ndiye anapaswa kutujulia hali. Kwa upande wangu naona si vibaya kwa yeyote ambaye atapata fursa...
  13. The Son

    Popote ulipo tafadhali jitokeze...

    Mjuzi wa receiver aina ya 'MediaCom' (MFT 910 +NEW), kuna kitu fulani kidogo tu nahitaji kujuzwa.
  14. The Son

    Kwa ajuaye...

    Jinsi mambo yanavokuwaga mwanzo mpaka mwisho wa mitihani ya chuo kuna kila sababu ya kushukuru kujaaliwa kuianza mpaka kuimaliza salama huku matumaini ya kutonaswa yakiwepo.
  15. The Son

    Huu mwaka ushaenda sana, au unasemaje?

    Gregorian Calendar - January 5, 2013 (Saturday) Hijri Calendar - Safar 23, 1434 AH.
  16. The Son

    Ni mara ya kwanza?

    Sumatra kutangaza kuwafutia leseni watakaopandisha nauli za kwenda mikoani, na je, linatekelezeka? Pia naona kama hii ni kwa wanaoanzia Dar, vp kuhusu watokao mikoani kuja mjini?
  17. The Son

    airtel money...

    Wakala amepewa pesa atume kwenye namba f'lani, aliyempa akishuhudia, baadae...aliyetumiwa hajaona chochote, wakala? Anadai kwake salio limepungua hivyo pesa ilikwenda, SMS ya ushahidi? Hakuna. "Wapigie airtel customer care kwenye namba 100", hakuna maelezo yaliyonyooka, kila unayefanikiwa...
  18. The Son

    Kunani?

    Mtandao wa tiGO haupatikani Morogoro mjini? Ni nini mbaya?
  19. The Son

    Kubali au Kataa hili:-

    Mwanaume = mpini na mwanamke = jembe kwa sababu kawaida, namaanisha naturally 'mpini' huingia kwenye tundu la 'jembe'
  20. The Son

    Kwa mara ya kwanza.

    Salaam.Leo nimekuja huku. Naomba kujuzwa kama nawezapata huduma ya Free Sms ya kujiunga katika mtandao wa AIRTEL mfano wa xtreme au tano ktk tiGO. Natoka MUHEZA,TA kwenda MORO na RAHALEO sasa nahitaji kujiunga na huduma hiyo ili niwajulishe na wengine kuhusu hii safari. Asante.
Back
Top Bottom