The Son
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 459
- 58
Salaam.Leo nimekuja huku. Naomba kujuzwa kama nawezapata huduma ya Free Sms ya kujiunga katika mtandao wa AIRTEL mfano wa xtreme au tano ktk tiGO. Natoka MUHEZA,TA kwenda MORO na RAHALEO sasa nahitaji kujiunga na huduma hiyo ili niwajulishe na wengine kuhusu hii safari.
Asante.
Asante.