Niuzie...

Niuzie...

The Son

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
459
Reaction score
59
Nahitaji,niuzie,ikiwa unaiuza simu yako aina ya
Nokia E63 au Nokia E66 sio kwa sababu ni mbovu ila kwa sababu tu labda umeichoka au una hitajio la fedha. Utaniuzia bei gani ya shilingi za kitanzania?

Shukrani zikufikie uliyepitia hapa.
 
...ikiwa unaiuza simu yako aina ya
Nokia E63 au Nokia E66 sio kwa sababu ni mbovu ila kwa sababu tu umeichoka au una hitajio la fedha utaniuzia bei gani ya shilingi za kitanzania?

Ikiwa nimeichoka nitaigawa tu - bure.
Kama nina uhitaji wa fedha nitaiuza kwa kiasi kinachoendanaendana na mahitaji yangu.
 
Back
Top Bottom