Natafuta kiwanja kwenye mradi wa serikali wa Kisota uliyopo Kigamboni. Ukubwa wa kiwanja uwe kati ya square meter 1700 hadi 2300.
Kama unacho na unauza tafadhali jibu hapa na aweke namba yako ya simu nitakupigia.
Tafadhali iwe ni ndani ya eneo Kisota lililopimwa na serikali tu
Vitendo vya kuboa nyumba za wananchi ili kupisha miradi ya wawekezaji vinaongezeka hapa Tanzania. Takribani kila wiki kuna taarifa za wananchi au mwananchi kubomolewa nyumba bila hata mali zake kuhifadhiwa. Kisha wanatelekezwa bila kupatiwa hifadhi yoyote.
Hata wakilalamika, vyombo vya habari...
Hebu jaribu kutafakari hizi habari mbili tofauti kisha utoe maoni yako
Habari ya kwanza
Farmers complain of rice glut Send to a friend
The Citizen Monday, 26 July 2010 11:01
By Enos Masanja, Moshi
Paddy growers in Moshi District, Kilimanjaro Region, at the weekend complained of...
Akihutubia katika swala ya eid el haji, amesema serikali imechoka kuwavumilia wanaoanzisha vurugu na uchochezi wa kidini. Amesema serikali itamchukulia hatua mtu yeyote atakayejihusisha na vitendo hivyo kwani havihusiki na dini ya kiislamu
source: Channel Ten
Akiongea na MakutanoShow sasa hivi ameongelea kuhusu mgombea urais kupitia CCM baada ya kuulizwa kuhusu tuhuma za rushwa zinazohusishwa na mbio za urais.
Amesema hata kama mtu akijaza wapambe wake CC na NEC siyo kigezo cha kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa urahisi.
Alitoa mfano mara tatu...
Ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama amemuagiza mkuu aw Wilaya ya Hai Novatus Makunga kuwafukuza kazi mara moja wenye viti wote wa vitongoji Wilaya ya Hai. Kisha ameagizwa ateue wengine mara moja. Kosa, hao wenyeviti walimwandikia barua mkuu aw mkoa kumuarifu kuwa hawatashiriki kwenye...
aitaka serikali ishuhulikie matatizo isikimbilie mahakamani, migomo bado ipo
asema haiwezekani baba kugombana na mama na watoto halafu akawa wa kwanza kukimbilia polisi
Asema ukificha maradhi kifo kitakuumbua, migomo bado inaendelea
Adai nchi hii siyo tena na wakulima na wafanyakazi, ni ya...
Mnakumbuka ile katuni iliyokuwa imechapwa kwenye gazeti la Kenya ikonesha wana habari wa Tanzania wakilamba viatu vya JK. Ililalamikiwa sana ingawa ilikuwa na ukweli fulani. Sasa imewekwa katuni kwenye gazeti la The East African kama ilivyo hapa chini. Sijui tena tukasirike au tukubali ukweli?
Kuna wakati nilidhani pengine iko siku nitagombea ubunge, niwe mbunge wa bunge la Jamhuri ya Tanzania
Nafurahi tamaa hii imepotea kwa kuwa Ubunge na Bunge letu vimekosa hishima na uadilifu mbele ya jamii ya Kitanzania na duniani kiasi kwamba sitamani kuhusishwa navyo.
Kuna nyakati wahalifu...
Serikali imesema Bungeni leo kwamba mojawapo ya vigezo vilivyotumika kuwagawia vigogo viwanja vya eneo la Gezaulole lililopo Kigamboni ni pamoja na uwezo wa waombaji kuendeleza eneo husika.
Waziri mhusika amesema kwamba Manispaa ya Temeke ilipokea maombi 16,000 lakini viwanja vilivyokuwepo ni...
Sasa iko wazi, Ngeleja kwenda kujiunga na wafanyakszi wa Wizara kumpokea Jairo na kumkumbatia
Skendo la mafuta ya kuendesha mitambo kuzalisha Umeme
Mgao feki kwa kipindi chote wamekuwa Mawaziri wa Wizara ya nishati na madini
Malima kuwa na pesa nyingi za kigeni hadi kuogopa kuweka...
Katika hotuba yake kwa watanzania kupitia sherehe za Mei Mosi leo, Rais Kikwete amezungumza mengi kuhusu taarifa za CAG na utekelezaji wa mapendekezo ya CAG. Mojawapo ya mambo aliyosema ni kwamba aliagiza CAG aweke taarifa za ukaguzi wazi ili wananchi wazijadili. Sijawahi kusikia hiyo kauli wala...
Kuna taarifa takribani kila wiki za ama wanachama au viongozi wa CCM kuhamia Chadema. Hadi sasa imechukuliwa kwamba ni jambo jema. Wengi wanalihisisha na kazi ya "Mungu"
Nilitarajia kwa kasi hiyo ya kuhamia, Chadema wangekuwa wametangaza mkakati wa kuwapokea, na kuwapunga mapepo ya CCM. Au...
`Parliamentary committees flouting House procedures`
By Correspondent
5th April 2012
Email
Print
Comments
CCM Secretary General Wilson Mukama
CCM Secretary General Wilson Mukama yesterday expressed...
Kwenye hii article Home
ameandika kwa urefu sana lakini angeweza kusema mambo hayo yote kwenye ukurasa mmoja tu. Anazunguka mno na kurudia kauli au wazo. Kisha amevunja sana lugha ya Malkia, ni aibu kwa sababu yeye ni mkuu wa kitivo cha chuo kikuu. Maeneo fulani fulani katumia maneno ya kabila...
Nilitazama Bunge asubuhi nikiwa na matarajio kwamba kila kitu kitawekwa pembeni lijadili kwanza hali ya uchumi wetu inayodorora siku hadi siku. Nilisikitishwa kuona kwamba wabunge wako busy wanauliza maswali ambayo ufumbuzi wake ni hadi uchumi wetu uwe umesimama imara. Waliuliza maswali mengi...
Wapambanaji natumaini hasira za Jairogate zinapungua sasa. Hivyo naomba sasa mtulie mnipe Mwongozo wa kikatiba na kikanuni kuhusu bajeti ya serikali kwa muktadha wa bajeti ya Nishat na MadiniKwa kuwa sasa tunajua kwamba Kamati za Bunge zimekuwa zikihongwa kupitisha bajeti za serikali,Kwa kuwa...
Bunge linaanza kikao chake cha bajeti tarehe 7 Juni 2011. Mabunge mawili yaliyopita (sina uhakika kabla ya hapo) C.V za wabunge zilikuwa zinapatikana kwenye tovuti ya Bunge sambamba na picha na majina yao.
Katika bunge hili kuna baadhi ya wabunge wachache ambao C.V zao zipo katika tovuti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.