Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
aitaka serikali ishuhulikie matatizo isikimbilie mahakamani, migomo bado ipo
asema haiwezekani baba kugombana na mama na watoto halafu akawa wa kwanza kukimbilia polisi
Asema ukificha maradhi kifo kitakuumbua, migomo bado inaendelea
Adai nchi hii siyo tena na wakulima na wafanyakazi, ni ya wafanyabiashara, matapeli na wahuni
Awaonya wabunge wanaoponda walimu kugoma kwamba wakirudi majimboni kwao wataongea na nani
Aisuta serikali kwa nini haipeleki wabunge mahakamani kwa kudai posho zaidi
asema haiwezekani baba kugombana na mama na watoto halafu akawa wa kwanza kukimbilia polisi
Asema ukificha maradhi kifo kitakuumbua, migomo bado inaendelea
Adai nchi hii siyo tena na wakulima na wafanyakazi, ni ya wafanyabiashara, matapeli na wahuni
Awaonya wabunge wanaoponda walimu kugoma kwamba wakirudi majimboni kwao wataongea na nani
Aisuta serikali kwa nini haipeleki wabunge mahakamani kwa kudai posho zaidi