Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Kuna wakati nilidhani pengine iko siku nitagombea ubunge, niwe mbunge wa bunge la Jamhuri ya Tanzania
Nafurahi tamaa hii imepotea kwa kuwa Ubunge na Bunge letu vimekosa hishima na uadilifu mbele ya jamii ya Kitanzania na duniani kiasi kwamba sitamani kuhusishwa navyo.
Kuna nyakati wahalifu fulani walikuwa wanajisikia fahari kuwa wahalifu au kuhusishwa na kundi fulani la uhalifu. Pale Magomeni mapipa paliwahi kutokea kundi linaitwa vijana wa Yoso, ambao walikuwa waporaji na wabakaji maarufu wanaojisikia fahari kufanya vitendo hivyo pamoja na kujulikana kwamba wao ni Yoso.
Bunge letu
linakula rushwa
limeshindwa kuwajibisha serikali kuhusu ufisadi na mikataba mibovu
limeshindwa kusimamia serikali kukuza uchumi na kushusha inflation
limeshindwa kusimamia serikali uporaji wa mashirika na viwanda vya umma
linapitisha sheria za misamahaa ya kodi kwa wawekezaji na wafanya biashara kubwa
limeshindwa kusimamia serikali kukusanya kodi kikamilifu
limeshindwa kusimamia serikali kuboresha huduma za jamii (elimu, afya, maji, etc)
linatumika na serikali kukandamiza haki
linajilimbikizia mali na pesa za umma
linatunga sheria kudhulumu wananchi
limeshindwa kuwatetea walimu na madaktari waliogoma
linapitisha bajeti za kifisadi
linajitukuza kuzidi wananchi
limegeuka kuwa uwanja wa mipasho na majungu
Wabunge wetu
wanakula rushwa, ni mafisadi
wameshindwa kudhibiti mafisadi
wameshindwa kusimamia mikataba yenye tija kwa taifa
wanajiongezea mishahara wakati wafanyakazi hawaongezewi
wameshindwa kuwatetea walimu na madaktari waliogoma
hawalipi kodi katika mishahara na posho zao
hawaungani kutetea maslahi ya wananchi bali maslahi yao
wanapitisha sheria za dhuluma kwa wananchi
wanapitisha bajeti kifisadi
wanajitukuza
wanapika majungu na mipasho
Sijisikii fahari kuhusishwa na Mbunge wala Bunge la Jamhuri ya Tanzania
Nafurahi tamaa hii imepotea kwa kuwa Ubunge na Bunge letu vimekosa hishima na uadilifu mbele ya jamii ya Kitanzania na duniani kiasi kwamba sitamani kuhusishwa navyo.
Kuna nyakati wahalifu fulani walikuwa wanajisikia fahari kuwa wahalifu au kuhusishwa na kundi fulani la uhalifu. Pale Magomeni mapipa paliwahi kutokea kundi linaitwa vijana wa Yoso, ambao walikuwa waporaji na wabakaji maarufu wanaojisikia fahari kufanya vitendo hivyo pamoja na kujulikana kwamba wao ni Yoso.
Bunge letu
linakula rushwa
limeshindwa kuwajibisha serikali kuhusu ufisadi na mikataba mibovu
limeshindwa kusimamia serikali kukuza uchumi na kushusha inflation
limeshindwa kusimamia serikali uporaji wa mashirika na viwanda vya umma
linapitisha sheria za misamahaa ya kodi kwa wawekezaji na wafanya biashara kubwa
limeshindwa kusimamia serikali kukusanya kodi kikamilifu
limeshindwa kusimamia serikali kuboresha huduma za jamii (elimu, afya, maji, etc)
linatumika na serikali kukandamiza haki
linajilimbikizia mali na pesa za umma
linatunga sheria kudhulumu wananchi
limeshindwa kuwatetea walimu na madaktari waliogoma
linapitisha bajeti za kifisadi
linajitukuza kuzidi wananchi
limegeuka kuwa uwanja wa mipasho na majungu
Wabunge wetu
wanakula rushwa, ni mafisadi
wameshindwa kudhibiti mafisadi
wameshindwa kusimamia mikataba yenye tija kwa taifa
wanajiongezea mishahara wakati wafanyakazi hawaongezewi
wameshindwa kuwatetea walimu na madaktari waliogoma
hawalipi kodi katika mishahara na posho zao
hawaungani kutetea maslahi ya wananchi bali maslahi yao
wanapitisha sheria za dhuluma kwa wananchi
wanapitisha bajeti kifisadi
wanajitukuza
wanapika majungu na mipasho
Sijisikii fahari kuhusishwa na Mbunge wala Bunge la Jamhuri ya Tanzania