Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Akihutubia katika swala ya eid el haji, amesema serikali imechoka kuwavumilia wanaoanzisha vurugu na uchochezi wa kidini. Amesema serikali itamchukulia hatua mtu yeyote atakayejihusisha na vitendo hivyo kwani havihusiki na dini ya kiislamu
source: Channel Ten
source: Channel Ten