Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Natafuta kiwanja kwenye mradi wa serikali wa Kisota uliyopo Kigamboni. Ukubwa wa kiwanja uwe kati ya square meter 1700 hadi 2300.
Kama unacho na unauza tafadhali jibu hapa na aweke namba yako ya simu nitakupigia.
Tafadhali iwe ni ndani ya eneo Kisota lililopimwa na serikali tu
Kama unacho na unauza tafadhali jibu hapa na aweke namba yako ya simu nitakupigia.
Tafadhali iwe ni ndani ya eneo Kisota lililopimwa na serikali tu