Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Bunge linaanza kikao chake cha bajeti tarehe 7 Juni 2011. Mabunge mawili yaliyopita (sina uhakika kabla ya hapo) C.V za wabunge zilikuwa zinapatikana kwenye tovuti ya Bunge sambamba na picha na majina yao.
Katika bunge hili kuna baadhi ya wabunge wachache ambao C.V zao zipo katika tovuti ya Bunge lakini idadi kubwa taarifa zao hazipo (no information)
Hili ni tatizo pale unapotaka kujua mbunge gani uwasiliane naye kuhusu hoja fulani unayotaka usaidizi wake kwani huna uhakika kama ataweza kuelewa na kuizungumzia bila kujua kiwango chake cha elimu na uzoefu wake katika hiyo hoja.
Wakati mwingine Mbunge anachangia hoja vizuri unashawishika kujua wasifu wake, au kinyume chake
Wakubwa wahusika wa hili jambo tusaidieni tafadhali
Katika bunge hili kuna baadhi ya wabunge wachache ambao C.V zao zipo katika tovuti ya Bunge lakini idadi kubwa taarifa zao hazipo (no information)
Hili ni tatizo pale unapotaka kujua mbunge gani uwasiliane naye kuhusu hoja fulani unayotaka usaidizi wake kwani huna uhakika kama ataweza kuelewa na kuizungumzia bila kujua kiwango chake cha elimu na uzoefu wake katika hiyo hoja.
Wakati mwingine Mbunge anachangia hoja vizuri unashawishika kujua wasifu wake, au kinyume chake
Wakubwa wahusika wa hili jambo tusaidieni tafadhali