Belo unashangaa nyumba yalaki tatu kukosa parking?we vukabarabara kidogo tu toka hapo savei opposite na mliman city barabara ya samnujoma yaan sinza A na uone nyumba yalaki tatu ilivyo.ni chumba kimoja master sebule na jiko.ukiwa na gari utajijua mwenyewe.
ukweli gharama ya nyumba inawaumiza...
sisi sio kama chadema wengne waliotuma msg kibao eti tuwahi mahakamani na mabango nauli tutalipiwa.upuuzi mtupu.Nakuombea Zitto ushinde haki dhidi ya dhuluma
Nyani Ngabu mbona usafi ni mwepesi sana na unawezekana tu.tatizo wadada wengi wanajisahau.wala haihitaji mambo ya kizungu kujiweka safi,yaani kuna vitu asilia tu mfano barafu kwa kuboreshea papuchi na kuondoa harufu.Pia kuna pozi za kuzuia harufu ambazo inatakiwa mtoto wa kike azijue yaani wala...
Nakuelewa sana Sixgates ila pia nawaelewa zaidi hao wanaojiita Team zitto.watu wengi wameumizwa sana na wanajua mengi ambayo Zitto ameshindwa kuyasemea japo anayajua ikiwemo suala la ukanda hivyo baada ya kuona maonevu yamezidi wameamua kusimama kidete kutetea ukweli ikiwemo kuwafahamisha...
Nyakarungu nakuelewa sana.mtu asiyeijua chadema ataona unaropoka lakini sasa hivi lazima ukweli ujulikane na hakika Haki na Ukweli lazima vitashinda.Yaani watu wote waliokifia chama leo ni maluki kisa tu unasema ukweli hivyo automatically huwezi kuwa kambi ya Mbowe.Mimi naamini katika nguvu ya...
Noted Mkuu
Wewe acha kabisa kunyanyapaa jinsia ya kike kwa kuandika kuwa wanatumika.
Acha kabisa wewe, maana hata wewe ni jinsia hiyo hiyo pamoja na wenzako wengine akina Simiyu Yetu na Mamndenyi.
umeona eeh!Ben Kavurugwa tangu zamani na kavurugika zaidi ya waliomvuruga.toka nilivyomfahamu Ben nilimuona hamnazo na nikamshusha tham,ani tangu zamani.Ben sio wa kuaminika anatumika kotekote kwenye maslahi.anasiri zake nyingi tu na zitakuwa wazi mwakani nadhani.tuendelee kusubiri na ataumbuka...
Hahahaha.......wadau eti mimi mwanaume?tatizo mimi na wewe tunafanana sura hadi uzuri japo akili nimekuzidi ndio maana unadhani mimi ni mwanaume badala ya kujielewa kwamba mimi nakuona wewe kama jinsia yangu.Hiyo michezo yenu ni ya kitoto sana na hamuwezi mshika mchawi kwenye ndumba mnazorogea...
kweli mlijipanga kupika mambo mpaka mkafungua na email adress kutengeneza yenu?nadhani wasiokuwa na akilui ya kutafakari ndio watakuunga mkono kwenye hili.Ila nasema kila mara wewe Ben unaaibisha wanaume wenzio maana unatumika zaidi ya watoto wa kike.Hovyo kabisa.
Kumbe hata wewe huijui Chadema kabisa.nani kakwambia Kitila alikuwa mjumbe wa kuteuliwa?Kitila alikuwa mjumbe wa kuchaguliwa kwa kura yeye pamoja na Pro Baregu na walishinda kwa kura nyingi akiongoza Baregu.Kina Mbowe na Katibu ndio wanaingia kwa nafassi za vyeo vyao then kuna zuile nafasi 5 za...
Malengo ya Lema div 5 hayawezi kutimia huu ni mwanzo wa mchezo tu na karata ndo zinalambwa ila mwisho wa siku lazima Zitto amalize akiwa mshindi.Ukweli utakuwa wazi tu na hata wafanyeje Zitto amewazidi akili sana tu na kwenye changamoto hii atapita kama alivyop[ita zote zilizomtangulia
Hahaha....mimi sio kambi ya yeyote ila napenda kuona haki na demokrasia vinafuatwa kama vile tunavyohubiri.aliye nje anaweza kushabikia huu upepo unavyokwenda ila mwanachama yeyote wa chadema mwenye mapenzi mema na chama hiki na ambaye anakijua chama vizuri toka kilipotoka mpaka sasa hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.