<br><br>
Muungwana E.D; tatizo ni MFUMO wa nchi ambao MKUU amebariki kwa mlango wa nyuma. Katika nchi yoyote inayoelekea kwenye UGANDAMIZAJI WA DEMOKKRASIA, CCM kinatishiwa uhai wake madarakani.
Yote haya yanayotokea, WENYE AKILI NA UFAHAMU tunajua MKUU wa nchi; ametoa baraka kwa mlango wa nyuma ili kuangamiza UPINZANI. Chama kikikaa MADARAKANI muda mrefu hujiona MIUNGU WATU, na kutumia kila mbinu OVU kulazimisha kubaki madarakani.
Lakini, sauti ya WENGI haiwezi kunyamzishwa kwa kujaribu kuua harakati za UKOMBOZI.
Kweli Mkuu !